Vege
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 338
- 365
😀😀😀Wewe jamaa bana.
Makao makuu Tena unataka starehe?
Starehe nenda Dar/Tanga n.k
Dodoma ni serikali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀Wewe jamaa bana.
Makao makuu Tena unataka starehe?
Starehe nenda Dar/Tanga n.k
Dodoma ni serikali.
HahahahaNimefika dodoma toka juzi wagogo
Hawachangamki
Hwaongei
Wala hawacheki
Dodoma sio mji wa kibiashara
Dodoma sio mji uliochangamka
Dodoma kuna wagogo ambao hawajui shughuli yao maalumu ni ipi
Dodoma hamna kitu
Nimefika dodoma hamna sehemu ya starehe ambayo watu wanakosa seat za kukaa ata ukifika sa 6 usiku unapata seat sehemu maalumu za starehe
Bora Mbeya uje uone kulivyo changamka
Mbeya pazuri
City pub
Mwailubi
Ni raha tupu
Bora mbeya
Niwapongeze kwa nyama choma mpo vizuri ila vingine hamna kitu...
Dodoma haifai kua makao makuu ya nchi wagogo wamelala mnoo
Magufuli pia alikulupuka kujenga eneo lote lile kwaajili ya stand yamebaki magofu tuu sijui ndimo alimokua napigia pesa kwa kampuni yake ya ukandarasi
Eneo la stand la ndugai ni kubwa mnoo lulingana na uhalizia jamaa alifuja pesa saanaView attachment 2215992
Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
[emoji3][emoji3]Kwa mawazo yake anafikiri hutolewa kwa wingi wa kelele na kurukaruka labda!
Sio bure lzm kuna kitu ulifanyiwaUsinilazimishe kupenda sehemu mbovu kama hiyo.
Hapo namba nne umenena vyemanlchokiona mbeya
1, wachafu na wananch s wastaarabu yan bas zima wanaongea uyu wa mbele anaongea na wa nyuma cm ikpgwa ndio sir zao zote znajulkana mana hawajui kuongea pole pole
2, kitu kinaitwa muda kwa sio shda kukukalsha masaa 3 wao n jambo la kawaida
3,Wako rafu kwenye kila ktu hata uandaaj wa vyakula
4 nlchopenda n chips za buku n mzgo wa maana na nyama kwao bado iko bei ya chin kwaio pale bado n kijiji na apafai kuitwa jiji
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Ni Bahati mbaya Tu.Ile bar pale karibu na Nyerere square mlijenga kutunzia mazao...?
Pamezidi hapa. Na ndiyo makao makuu ya nchi.Mbeya wachafu
Nimefika dodoma toka juzi wagogo
Hawachangamki
Hwaongei
Wala hawacheki
Dodoma sio mji wa kibiashara
Dodoma sio mji uliochangamka
Dodoma kuna wagogo ambao hawajui shughuli yao maalumu ni ipi
Dodoma hamna kitu
Nimefika dodoma hamna sehemu ya starehe ambayo watu wanakosa seat za kukaa ata ukifika sa 6 usiku unapata seat sehemu maalumu za starehe
Bora Mbeya uje uone kulivyo changamka
Mbeya pazuri
City pub
Mwailubi
Ni raha tupu
Bora mbeya
Niwapongeze kwa nyama choma mpo vizuri ila vingine hamna kitu...
Dodoma haifai kua makao makuu ya nchi wagogo wamelala mnoo
Magufuli pia alikulupuka kujenga eneo lote lile kwaajili ya stand yamebaki magofu tuu sijui ndimo alimokua napigia pesa kwa kampuni yake ya ukandarasi
Eneo la stand la ndugai ni kubwa mnoo lulingana na uhalizia jamaa alifuja pesa saanaView attachment 2215992
Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
Mkuu nmekaa Dodoma Zaid ya miaka mitatu nmekaa Mbeya zaidi ya mwaka mmoja ko mikoa yote unayoringanisha naifaham nmekaa Sana tuUmeishi Mbeya na kufanya biashara.... Hivi utafananisha Mbeya na dodoma ki biashara kweli!?
Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
Ahsante mkuuUbora wowote unauona Mbeya hata kama ni kidogo sehemu kubwa ni jitihada zao watu wa mbeya.
Mbeya ilitengwa na serikali toka 1995,walipoamua kuichagua nccr. Umekuwa mkoa wa mapambano na serikali kwa kipindi chote.
Hata wao wanafahamu huwa hawapendwi, fikiria mpaka mwananchi wa kawaida aushambulie msafara wa Rais kwa mawe,siyo jambo dogo.
Inafikia mahali wanaona bora hata wapigwe risasi lakini.siyo kwa kuonewa vile!!
Raslimali zilizowekezwa Dodoma,zingepelekwa hata theluthi moja tu mbeya,ungeishangaa mbeya wewe.
Miundombinu yote huwekwa na serikali kupitia Kodi inayokusanywa kwa wananchi.
Lakini cha kushangaza fedha hizo za umma zimegeuzwa mali ya chama fulani.
Wao ndio wanaamua wapi tujenge barabara,kwa vigezo vya walitupa kura ngapi kwenye uchaguzi.
Naamini kama Magufuli angeendelea kutawala pengine angefikiria kuishusha mbeya siyo kwa chuki zile.
Ubora wowote unauona Mbeya hata kama ni kidogo sehemu kubwa ni jitihada zao watu wa mbeya.
Mbeya ilitengwa na serikali toka 1995,walipoamua kuichagua nccr. Umekuwa mkoa wa mapambano na serikali kwa kipindi chote.
Hata wao wanafahamu huwa hawapendwi, fikiria mpaka mwananchi wa kawaida aushambulie msafara wa Rais kwa mawe,siyo jambo dogo.
Inafikia mahali wanaona bora hata wapigwe risasi lakini.siyo kwa kuonewa vile!!
Raslimali zilizowekezwa Dodoma,zingepelekwa hata theluthi moja tu mbeya,ungeishangaa mbeya wewe.
Miundombinu yote huwekwa na serikali kupitia Kodi inayokusanywa kwa wananchi.
Lakini cha kushangaza fedha hizo za umma zimegeuzwa mali ya chama fulani.
Wao ndio wanaamua wapi tujenge barabara,kwa vigezo vya walitupa kura ngapi kwenye uchaguzi.
Naamini kama Magufuli angeendelea kutawala pengine angefikiria kuishusha mbeya siyo kwa chuki zile.
FUTA wewe kama umekomaa sanaa utosiNI DODOMA IPI UNAYOSEMA?
MBEYA IWE MAKAO MAKUU KWA SABABU YA UWEPO WA STAREHE?
KUONYESHA UKOMAVU, FUTA HII POST
mbeya kwa dodoma itasubiri sana.Nimefika dodoma toka juzi wagogo
Hawachangamki
Hwaongei
Wala hawacheki
Dodoma sio mji wa kibiashara
Dodoma sio mji uliochangamka
Dodoma kuna wagogo ambao hawajui shughuli yao maalumu ni ipi
Dodoma hamna kitu
Nimefika dodoma hamna sehemu ya starehe ambayo watu wanakosa seat za kukaa ata ukifika sa 6 usiku unapata seat sehemu maalumu za starehe
Bora Mbeya uje uone kulivyo changamka
Mbeya pazuri
City pub
Mwailubi
Ni raha tupu
Bora mbeya
Niwapongeze kwa nyama choma mpo vizuri ila vingine hamna kitu...
Dodoma haifai kua makao makuu ya nchi wagogo wamelala mnoo
Magufuli pia alikulupuka kujenga eneo lote lile kwaajili ya stand yamebaki magofu tuu sijui ndimo alimokua napigia pesa kwa kampuni yake ya ukandarasi
Eneo la stand la ndugai ni kubwa mnoo lulingana na uhalizia jamaa alifuja pesa saanaView attachment 2215992
Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
mbeya madume na majike mengi ni makorofi...majuajiUliza nawewe mkuu au jamaa hajawahi fika Mbeya apewe mahitaji yake yote muhimu
Ningekua nakujua ningekununulia hata sida🙌Ubora wowote unauona Mbeya hata kama ni kidogo sehemu kubwa ni jitihada zao watu wa mbeya.
Mbeya ilitengwa na serikali toka 1995,walipoamua kuichagua nccr. Umekuwa mkoa wa mapambano na serikali kwa kipindi chote.
Hata wao wanafahamu huwa hawapendwi, fikiria mpaka mwananchi wa kawaida aushambulie msafara wa Rais kwa mawe,siyo jambo dogo.
Inafikia mahali wanaona bora hata wapigwe risasi lakini.siyo kwa kuonewa vile!!
Raslimali zilizowekezwa Dodoma,zingepelekwa hata theluthi moja tu mbeya,ungeishangaa mbeya wewe.
Miundombinu yote huwekwa na serikali kupitia Kodi inayokusanywa kwa wananchi.
Lakini cha kushangaza fedha hizo za umma zimegeuzwa mali ya chama fulani.
Wao ndio wanaamua wapi tujenge barabara,kwa vigezo vya walitupa kura ngapi kwenye uchaguzi.
Naamini kama Magufuli angeendelea kutawala pengine angefikiria kuishusha mbeya siyo kwa chuki zile.