Bora Mbeya ikawa makao makuu ya nchi kuliko Dodoma

Bora Mbeya ikawa makao makuu ya nchi kuliko Dodoma

Nimefika dodoma toka juzi wagogo
Hawachangamki
Hwaongei
Wala hawacheki

Dodoma sio mji wa kibiashara
Dodoma sio mji uliochangamka
Dodoma kuna wagogo ambao hawajui shughuli yao maalumu ni ipi

Dodoma hamna kitu
Nimefika dodoma hamna sehemu ya starehe ambayo watu wanakosa seat za kukaa ata ukifika sa 6 usiku unapata seat sehemu maalumu za starehe

Bora Mbeya uje uone kulivyo changamka

Mbeya pazuri
City pub
Mwailubi

Ni raha tupu

Bora mbeya

Niwapongeze kwa nyama choma mpo vizuri ila vingine hamna kitu...

Dodoma haifai kua makao makuu ya nchi wagogo wamelala mnoo

Magufuli pia alikulupuka kujenga eneo lote lile kwaajili ya stand yamebaki magofu tuu sijui ndimo alimokua napigia pesa kwa kampuni yake ya ukandarasi

Eneo la stand la ndugai ni kubwa mnoo lulingana na uhalizia jamaa alifuja pesa saanaView attachment 2215992

Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
Hahahaha
 
Dah,, maeneo mengi ya miji ya mbeya ukitoka hatua kidogo tu kutoka barabara kuu unakutana na mitaa ya hali ya chini kuanzia mpangilio Hadi status ya maisha. Lakini hii Ni kwa maeneo mengi ya miji ya nchi yetu. Sijui ndo maana tunauswahili mwingi sana. Tunalundikana barabarani tu halaf kazi hamna zaidi kuonglea maisha ya watu.
 
nlchokiona mbeya
1, wachafu na wananch s wastaarabu yan bas zima wanaongea uyu wa mbele anaongea na wa nyuma cm ikpgwa ndio sir zao zote znajulkana mana hawajui kuongea pole pole
2, kitu kinaitwa muda kwa sio shda kukukalsha masaa 3 wao n jambo la kawaida
3,Wako rafu kwenye kila ktu hata uandaaj wa vyakula
4 nlchopenda n chips za buku n mzgo wa maana na nyama kwao bado iko bei ya chin kwaio pale bado n kijiji na apafai kuitwa jiji

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Hapo namba nne umenena vyema
 
Mbeya wachafu
Pamezidi hapa. Na ndiyo makao makuu ya nchi.

IMG_20220504_233724.jpg
 
Nimefika dodoma toka juzi wagogo
Hawachangamki
Hwaongei
Wala hawacheki

Dodoma sio mji wa kibiashara
Dodoma sio mji uliochangamka
Dodoma kuna wagogo ambao hawajui shughuli yao maalumu ni ipi

Dodoma hamna kitu
Nimefika dodoma hamna sehemu ya starehe ambayo watu wanakosa seat za kukaa ata ukifika sa 6 usiku unapata seat sehemu maalumu za starehe

Bora Mbeya uje uone kulivyo changamka

Mbeya pazuri
City pub
Mwailubi

Ni raha tupu

Bora mbeya

Niwapongeze kwa nyama choma mpo vizuri ila vingine hamna kitu...

Dodoma haifai kua makao makuu ya nchi wagogo wamelala mnoo

Magufuli pia alikulupuka kujenga eneo lote lile kwaajili ya stand yamebaki magofu tuu sijui ndimo alimokua napigia pesa kwa kampuni yake ya ukandarasi

Eneo la stand la ndugai ni kubwa mnoo lulingana na uhalizia jamaa alifuja pesa saanaView attachment 2215992

Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app

1 Mwanza
2 Morogoro
3 Mbeya
 
Ubora wowote unauona Mbeya hata kama ni kidogo sehemu kubwa ni jitihada zao watu wa mbeya.
Mbeya ilitengwa na serikali toka 1995,walipoamua kuichagua nccr. Umekuwa mkoa wa mapambano na serikali kwa kipindi chote.
Hata wao wanafahamu huwa hawapendwi, fikiria mpaka mwananchi wa kawaida aushambulie msafara wa Rais kwa mawe,siyo jambo dogo.
Inafikia mahali wanaona bora hata wapigwe risasi lakini.siyo kwa kuonewa vile!!
Raslimali zilizowekezwa Dodoma,zingepelekwa hata theluthi moja tu mbeya,ungeishangaa mbeya wewe.
Miundombinu yote huwekwa na serikali kupitia Kodi inayokusanywa kwa wananchi.
Lakini cha kushangaza fedha hizo za umma zimegeuzwa mali ya chama fulani.
Wao ndio wanaamua wapi tujenge barabara,kwa vigezo vya walitupa kura ngapi kwenye uchaguzi.
Naamini kama Magufuli angeendelea kutawala pengine angefikiria kuishusha mbeya siyo kwa chuki zile.
Ahsante mkuu
 
NI DODOMA IPI UNAYOSEMA?
MBEYA IWE MAKAO MAKUU KWA SABABU YA UWEPO WA STAREHE?
KUONYESHA UKOMAVU, FUTA HII POST
 
Ubora wowote unauona Mbeya hata kama ni kidogo sehemu kubwa ni jitihada zao watu wa mbeya.
Mbeya ilitengwa na serikali toka 1995,walipoamua kuichagua nccr. Umekuwa mkoa wa mapambano na serikali kwa kipindi chote.
Hata wao wanafahamu huwa hawapendwi, fikiria mpaka mwananchi wa kawaida aushambulie msafara wa Rais kwa mawe,siyo jambo dogo.
Inafikia mahali wanaona bora hata wapigwe risasi lakini.siyo kwa kuonewa vile!!
Raslimali zilizowekezwa Dodoma,zingepelekwa hata theluthi moja tu mbeya,ungeishangaa mbeya wewe.
Miundombinu yote huwekwa na serikali kupitia Kodi inayokusanywa kwa wananchi.
Lakini cha kushangaza fedha hizo za umma zimegeuzwa mali ya chama fulani.
Wao ndio wanaamua wapi tujenge barabara,kwa vigezo vya walitupa kura ngapi kwenye uchaguzi.
Naamini kama Magufuli angeendelea kutawala pengine angefikiria kuishusha mbeya siyo kwa chuki zile.

Kuna mwaka walikuwa na agenda ya kujitenga
 
Nimefika dodoma toka juzi wagogo
Hawachangamki
Hwaongei
Wala hawacheki

Dodoma sio mji wa kibiashara
Dodoma sio mji uliochangamka
Dodoma kuna wagogo ambao hawajui shughuli yao maalumu ni ipi

Dodoma hamna kitu
Nimefika dodoma hamna sehemu ya starehe ambayo watu wanakosa seat za kukaa ata ukifika sa 6 usiku unapata seat sehemu maalumu za starehe

Bora Mbeya uje uone kulivyo changamka

Mbeya pazuri
City pub
Mwailubi

Ni raha tupu

Bora mbeya

Niwapongeze kwa nyama choma mpo vizuri ila vingine hamna kitu...

Dodoma haifai kua makao makuu ya nchi wagogo wamelala mnoo

Magufuli pia alikulupuka kujenga eneo lote lile kwaajili ya stand yamebaki magofu tuu sijui ndimo alimokua napigia pesa kwa kampuni yake ya ukandarasi

Eneo la stand la ndugai ni kubwa mnoo lulingana na uhalizia jamaa alifuja pesa saanaView attachment 2215992

Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
mbeya kwa dodoma itasubiri sana.
 
Ni
Ubora wowote unauona Mbeya hata kama ni kidogo sehemu kubwa ni jitihada zao watu wa mbeya.
Mbeya ilitengwa na serikali toka 1995,walipoamua kuichagua nccr. Umekuwa mkoa wa mapambano na serikali kwa kipindi chote.
Hata wao wanafahamu huwa hawapendwi, fikiria mpaka mwananchi wa kawaida aushambulie msafara wa Rais kwa mawe,siyo jambo dogo.
Inafikia mahali wanaona bora hata wapigwe risasi lakini.siyo kwa kuonewa vile!!
Raslimali zilizowekezwa Dodoma,zingepelekwa hata theluthi moja tu mbeya,ungeishangaa mbeya wewe.
Miundombinu yote huwekwa na serikali kupitia Kodi inayokusanywa kwa wananchi.
Lakini cha kushangaza fedha hizo za umma zimegeuzwa mali ya chama fulani.
Wao ndio wanaamua wapi tujenge barabara,kwa vigezo vya walitupa kura ngapi kwenye uchaguzi.
Naamini kama Magufuli angeendelea kutawala pengine angefikiria kuishusha mbeya siyo kwa chuki zile.
Ningekua nakujua ningekununulia hata sida🙌
 
Back
Top Bottom