Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 12,599
- 26,263
Naipenda Mbeya ila Mbeya is no better.
Hizo pubs zenyewe Mbeya pazuri, City pub na Mwailubi ni utopolo mtupu. Majina makubwa ukifika utachoka huwezi kukaa hata dakika 5.
Mbeya hakuna viwanja classic. Hizo clubs ni more of vilabu vya pombe than clubs. Kifupi Mbeya hakuna nightlife.
Zamani ilikuwepo Pamodzi sijui iliishia wapi?
Mbeya service ndogo tu hakuna unaweza tafuta kitu cha kawaida kabisa mji mzima na ukakosa utasikia hadi tuagize Dar.
Naipenda Mbeya ila ule mji hauendelei kabisa.
Hizo pubs zenyewe Mbeya pazuri, City pub na Mwailubi ni utopolo mtupu. Majina makubwa ukifika utachoka huwezi kukaa hata dakika 5.
Mbeya hakuna viwanja classic. Hizo clubs ni more of vilabu vya pombe than clubs. Kifupi Mbeya hakuna nightlife.
Zamani ilikuwepo Pamodzi sijui iliishia wapi?
Mbeya service ndogo tu hakuna unaweza tafuta kitu cha kawaida kabisa mji mzima na ukakosa utasikia hadi tuagize Dar.
Naipenda Mbeya ila ule mji hauendelei kabisa.