Bora Mbeya ikawa makao makuu ya nchi kuliko Dodoma

Bora Mbeya ikawa makao makuu ya nchi kuliko Dodoma

Naipenda Mbeya ila Mbeya is no better.

Hizo pubs zenyewe Mbeya pazuri, City pub na Mwailubi ni utopolo mtupu. Majina makubwa ukifika utachoka huwezi kukaa hata dakika 5.

Mbeya hakuna viwanja classic. Hizo clubs ni more of vilabu vya pombe than clubs. Kifupi Mbeya hakuna nightlife.

Zamani ilikuwepo Pamodzi sijui iliishia wapi?

Mbeya service ndogo tu hakuna unaweza tafuta kitu cha kawaida kabisa mji mzima na ukakosa utasikia hadi tuagize Dar.

Naipenda Mbeya ila ule mji hauendelei kabisa.
 
Uliza nawewe mkuu au jamaa hajawahi fika Mbeya apewe mahitaji yake yote muhimu
Mwambie Mbeya kuna kila kitu ambacho kinapatikana kwenye majiji makubwa 👇

FRMro2nWYAAZvVc.jpeg
 
Naipenda Mbeya ila Mbeya is no better.

Hizo pubs zenyewe Mbeya pazuri, City pub na Mwailubi ni utopolo mtupu. Majina makubwa ukifika utachoka huwezi kukaa hata dakika 5.

Mbeya hakuna viwanja classic. Hizo clubs ni more of vilabu vya pombe than clubs. Kifupi Mbeya hakuna nightlife.

Zamani ilikuwepo Pamodzi sijui iliishia wapi?

Mbeya service ndogo tu hakuna unaweza tafuta kitu cha kawaida kabisa mji mzima na ukakosa utasikia hadi tuagize Dar.

Naipenda Mbeya ila ule mji hauendelei kabisa.
Kitu gani hicho ulitafuta hakipo Mbeya ikiwa Scania tuu Wana branch yao pale?
 
Mbeya inazidiwa Hadi na iringa kimaendeleo ndo mje mlinganishe na Dodoma kweli??

Yaan mbeya ni Jiji la ovyo Sana kwanza miundombinu yake ya ajabu Sana akija kiongozi yoyote wa serikali jam itakayotengenezwa barabarani sio ya kawaida

Mbeya mzunguko wa pesa hakuna unakuta mtu anakaa mjini ila anamashamba huko milimani ko chakula analima huko milimani , anavuna analeta ndani hakuna kununua chakula na uyo anakaa mjini

Mbeya ni Jiji la ovyo saana sijawai kuona.
Haters kama Kawa huwa hamkosekani 👇

Screenshot_20220408-205429.png


Screenshot_20220408-205554.png
 
Nimefika dodoma toka juzi
Hawachangamki
Hwaongei
Wala hawacheki

Dodoma sio mji wa kibiashara
Dodoma sio mji uliochangamka
Dodoma kuna wagogo ambao hawajui shughuli yao maalumu ni ipi

Dodoma hamna kitu
Nimefika dodoma hamna sehemu ya starehe ambayo watu wanakosa seat za kukaa ata ukifika sa 6 usiku unapata seat sehemu maalumu za starehe

Bora Mbeya uje uone kulivyo changamka

Mbeya pazuri
City pub
Mwailubi

Ni raha tupu

Bora mbeya

Niwapongeze kwa nyama choma mpo vizuri ila vingine hamna kitu...

Dodoma haifai kua makao makuu ya nchi wagogo wamelala mnoo

Magufuli pia alikulupuka kujenga eneo lote lile kwaajili ya stand yamebaki magofu tuu sijui ndimo alimokua napigia pesa kwa kampuni yake ya ukandarasi

Eneo la stand la ndugai ni kubwa mnoo lulingana na uhalizia jamaa alifuja pesa saana

View attachment 2215992

Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
Ukoroofiiiii
 
Ni bora makao makuu ya nchi yangepelekwa TORONTO "Tabora"
 
  • Kicheko
Reactions: EEX
Dah,, maeneo mengi ya miji ya mbeya ukitoka hatua kidogo tu kutoka barabara kuu unakutana na mitaa ya hali ya chini kuanzia mpangilio Hadi status ya maisha. Lakini hii Ni kwa maeneo mengi ya miji ya nchi yetu. Sijui ndo maana tunauswahili mwingi sana. Tunalundikana barabarani tu halaf kazi hamna zaidi kuonglea maisha ya watu.
Wapi kuna status ya maisha kubwa? Nataka jibu tulinganishe maana Mbeya ni mkoa namba3 Tzn kwa kuwa na watu wenye Hali nzuri kimaisha.
 
Mbeya hii ambayo ikifika saa mbili mji wote kimya, wakati mwingine tuache chuki dodoma ya sasa hakuna asiyeipenda.

DeepPond embu tia neno basi dear
 
Nimefika dodoma toka juzi
Hawachangamki
Hwaongei
Wala hawacheki

Dodoma sio mji wa kibiashara
Dodoma sio mji uliochangamka
Dodoma kuna wagogo ambao hawajui shughuli yao maalumu ni ipi

Dodoma hamna kitu
Nimefika dodoma hamna sehemu ya starehe ambayo watu wanakosa seat za kukaa ata ukifika sa 6 usiku unapata seat sehemu maalumu za starehe

Bora Mbeya uje uone kulivyo changamka

Mbeya pazuri
City pub
Mwailubi

Ni raha tupu

Bora mbeya

Niwapongeze kwa nyama choma mpo vizuri ila vingine hamna kitu...

Dodoma haifai kua makao makuu ya nchi wagogo wamelala mnoo

Magufuli pia alikulupuka kujenga eneo lote lile kwaajili ya stand yamebaki magofu tuu sijui ndimo alimokua napigia pesa kwa kampuni yake ya ukandarasi

Eneo la stand la ndugai ni kubwa mnoo lulingana na uhalizia jamaa alifuja pesa saana

View attachment 2215992

Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
Mwamba ngoma, ngozi huivutia kwake!
 
Kwa mawazo yake anafikiri hutolewa kwa wingi wa kelele na kurukaruka labda!
Hawa ndo tuliokuwa tukiwaongelea dakika chache zilizopita
 
Mbona mikoa mnayoizungumzia ni ya ovyo? Kama Bukoba ingelifanywa mkoa! Makao makuu yakawa pale ingelipendeza sana!!
Kesho tu tungelifika uchumi wa kati!
 
Wapi kuna status ya maisha kubwa? Nataka jibu tulinganishe maana Mbeya ni mkoa namba3 Tzn kwa kuwa na watu wenye Hali nzuri kimaisha.
Kwenye upande wa status ya maisha, vyakula na uweza wa kumudu gharama za maisha ni kweli angalau mbeya kidogo unafuu upo. Ila kwenye mpangilio wa mitaa, na makazi kiukweli bado. Nyumba za kuishi angala Kuna unafuu japo ndoivo wengi akishamaliza zungusha tofali ndo Basi, finishing na mambo mengine yanasahaulika.
 
Back
Top Bottom