Bora nioe mama wa nyumbani, atanisikiliza

p diddy mwenyewe anamuogopa baltazar😂

Wakiwekwa sero moja lazima p didy atolewe linda ushindi kwa Afrika
 
Umechelewa sana kulijua hili
 
Kupost, share picha za watoto wa jamaa ni ujinga, ukatili na ushamba.

Your life, your choice. Oa mama wa nyumbani ila usiishie hapo mwanao wa kike usimpeleke shule kabisa ili nae aje kuwa mke bora kwa mme wake.
 
Kwa mwenye akili wakati huu wa haki sawa darasa la saba ndiyo mpango mzima.

Akisoma sanaaa basi four or six zaidi ya hapo baba jiandae kulipia matibabu ya mgongo ya mkeo muajiriwa maana anavyokunjwa kwenye meza na viti vya office na boss na stuff wenzake akitoboa 45 yrz spinal cord haijaanza kumsumbua niite umbwa.
 
Jidanganye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…