Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
-
- #41
Hapo kuna umauti unamsogeleanani wa kumpeleka huko uhamishoni sasa, Kala wake wa vigogo mpaka dada wa raisi, uhamishoni kwake ni pembe nne tu, amefanya jambo la kijinga sana hakufikiri akajua itaendelea kuwa siri
KumekuchaaWa nyumbani tunaliwa na mafund wa ku repair things endapo ziki break hapo nyumbani,na wale wa bill za maziwa nk....hayana mwenyewe mkuu
p diddy mwenyewe anamuogopa baltazar😂ushujaa usio na nishani? shujaa saizi yuko nyuma ya nondo anajutia, usikute ameshahasiwa, mpaka sasa hivi hata ndugu watapata kigugumizi cha kwenda kumuangalia, pengine hata dhamana wataona haifai kumtolea akae huko kwanza hasira zao zipungue, ni jambo la kijinga kafanya, angekuwa kama king mswat angekuwa shujaa
Mzee shkamoo...Kumekuchaa
Umechelewa sana kulijua hiliDunia imeingiwa na changamoto mbali mbali, tamaa imetawala kwenye mahusiano; mdada anaingia kwenye mahusiano kwa maslai fulani.
Bora hawa wamama wa nyumbani hawana shida sana, ila hawa wengine niumiza kichwa.
Nikifikiria hizi nyuzi za wanawake 400; naishiwa nguvu kabisa. Bora nioe mama wa nyumbani tu, ataweza kunitunzia heshima na kunisikiliza.
View attachment 3146509
Bartazar alikuwa anadili na wanawake Pddy anadeal na wote nyuma sijui nani atamkimbia mwenzie hapop diddy mwenyewe anamuogopa baltazar😂
Wakiwekwa sero moja lazima p didy atolewe linda ushindi kwa Afrika
😆 Wale jamaa taleban wana akili sana sema tu adhabu zao za kuuaua kali sana la sivyo wanapatia sanaAfghanistan naona wanaweka sheria ngumu za kuwabana
Nini kifanyike ili picha zake zilizo zagaa duniani wazitoe?Kupost, share picha za watoto wa jamaa ni ujinga, ukatili na ushamba.
Kwa hili, nawaunga mkono AfghanistanYour life, your choice. Oa mama wa nyumbani ila usiishie hapo mwanao wa kike usimpeleke shule kabisa ili nae aje kuwa mke bora kwa mme wake.
Marhaba binti yangu mpendwa, naona baada ya purukushani za kutwa nzima umekitulizaMzee shkamoo...
Yaani nmekuja kwa adabu zote ila bado nakula za uso...Marhaba binti yangu mpendwa, naona baada ya purukushani za kutwa nzima umekituliza
Namaanisha kichwa ni muda wa kupumzisha akili huu binti yangu 🤣Yaani nmekuja kwa adabu zote ila bado nakula za uso...
Hapana nimekuelewa sasa kesho ntakuja nikiwa na cocaine kichwani😂Namaanisha kichwa ni muda wa kupumzisha akili huu binti yangu 🤣
Ukija na cocaine kichwani nakupeleka kwa sober house nakutibu akili zinakukaa sawa, elewa maneno sober house 🤣Hapana nimekuelewa sasa kesho ntakuja nikiwa na cocaine kichwani😂
Kwa hili, nawaunga mkono Afghanistan
Nini kifanyike ili picha zake zilizo zagaa duniani wazitoe?
JidanganyeDunia imeingiwa na changamoto mbali mbali, tamaa imetawala kwenye mahusiano; mdada anaingia kwenye mahusiano kwa maslai fulani.
Bora hawa wamama wa nyumbani hawana shida sana, ila hawa wengine niumiza kichwa.
Nikifikiria hizi nyuzi za wanawake 400; naishiwa nguvu kabisa. Bora nioe mama wa nyumbani tu, ataweza kunitunzia heshima na kunisikiliza.
View attachment 3146509