Bora nioe mama wa nyumbani, atanisikiliza

Utawajua mda ukifika
 
Wa nyumbani utagongewa na Waha wakopesha vyombo na wapaka rangi NB; yanga imetudharirisha leo
Wakina fundi Maiko ndio mademu zao mama wa nyumbani Tena wanawapikia kabisa mkuu! Mungu atuepushe na Janga hili,wa nyumbani anakapikia kajamaa kapete nguvu za kuacha,Tena anampa na matunda pamoja na mazagazaga, watoto wengi wanakuwa wetu majina tuu, biological ni watoto wa fundi Maiko!
 
Hivi hadi leo hii haujaoa tu? We kijana unyongwe.
 
Bora uolewe tu mkuu, hautapata hizo karaha zote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…