Bora tukose umeme na Maji kuliko watu kupotea na kuokotwa kwenye Viroba baharini Coco Beach

Bora tukose umeme na Maji kuliko watu kupotea na kuokotwa kwenye Viroba baharini Coco Beach

Hatari zaidi ni kuwa na mtawala dikteta, halafu mtawala huyo dikteta awe aliwahi kuugua magonjwa ya akili. Na magonjwa ya akili, kama tunuavyo hayaponi kwa 100%.
Katika ulimwengu wa Ki-Roho yule Jiwe alishakufa miaka saba nyuma kabla! Tanzania ni nchi ya kwanza Duniani kuongozwa na Mfu!....kuna Nabii wa kitanzania humu u tube! alitabiri kifo hiki! (mtafute)

Kuwa alionyeshwa Bendera NUsu mlingoti!! lkn jiwe akapuuza!
 
Ni ujinga kufuta makosa ya mtu kwa makosa ya mtu mwingine.

Hakuna uhalali huo, mwendazake alikuwa anakosea na hata bi tozo nae anatoa maboko.
 
Tukose maji na umeme Huko Muhimbili, KCMC, Bugando nk si watakufa wengiiii!! wewe rudi drasani nyau kabisa
 
Tumieni hii fursa vizuri mafunzo yaendelee Afganistani, kabla mtanganyika mwingine hajaibuka, Tanganyika haiwezi kuwa Nigeria, heri bahari ijae damu
 
Ni kweli Aiseee!!,Bora tukose vyote Ila tuwe Salama!!
 
Salaam Wakuu,

Nape Nnauye aliwahi kusema "Bahari imetulia, Mwenyezi Mungu ameamua ugomvi".

Kuna utawala uligubikwa na Sintofahamu ya Watu kupotea, kufa, kubambikiziwa kesi.

Utawala uliteneza kundi la watu wasiojulikana ambao kazi yao ilikuwa kumshughulikia yoyote atakayekuwa na Mawazo mbadala au kuhoji matumizi ya fedha za Serikali.

Tukamuomba Mungu na kusoma albadiri ili atuepushie na kikombe kile, Mungu akasikia maombi yetu

Sasa leo kuna watu wamekosa maji na umeme kwa siku kadhaa wanatamani kurudi utumwani Mungu alikotutoa na wanamlaumu Mungu kwanini katutoa kule ambapo mtu alikuwa hajui kesho yake kama ataamka salama. Mbona vijijini watu hawana Umeme na Wanaishi? Itakuwa huu umeme wa kukosa mwezi mmoja ndo utamani kurudi Misri? Jipe moyo Utashinda

Hata Wana wa Israel walipookolewa Misri utumwani walitamani kurudi huko. Ndo hawa wanaotamani kurudi tulikotoka.

Nawatia Moyo, tulieni tuiunge Mkono Serikali na Mamlaka yake kwani Mamlaka ya Serikali yanatoka kwa Mungu. Giza likiwa nene kunakalibia kupambazuka

KUTOKA 14:11

11 Wakamwambia Mose, “Je, hapakuwa na makaburi ya kutosha nchini Misri hata ukatuleta tufie huku jangwani? Mbona umetutendea haya, kwa tututoa katika nchi ya Misri?

12Je, hatukukuambia mambo haya tulipokuwa bado Misri? Tulikuambia utuache tuendelee kuwatumikia Wamisri. Ingalikuwa afadhali kuwatumikia Wamisri kuliko kufia huku jangwani.”

13Mose akawaambia Waisraeli, “Msiogope! Kaeni imara! Leo mtaona jinsi Mwenyezi-Mungu atakavyowaokoa. Maana, hawa Wamisri mnaowaona leo, hamtawaona tena.

14Mwenyezi-Mungu atawapigania; nyinyi mnachotakiwa kufanya ni kutulia tu.”

15Mwenyezi-Mungu akamwambia Mose, “Kwa nini mnanililia? Waambie Waisraeli waendelee mbele.

16Inua fimbo yako na kuinyosha juu ya bahari. Maji yatagawanyika na Waisraeli wataweza kuvuka katikati ya bahari mahali pakavu.

Viongozi wetu washainua Fimbo juu, tutavuka salama
Tulipita njia yenye giza nene sana. Mungu alivyo mwema, muongoza njia akauma magego, ndo ilikuwa salama yetu.
 
Alikuwa ana Anagema damu za watanzania ya kufanyia tambiko la kudumu Madarakani! ili atawale milele km mkondefu alilo ambiwa na mganga wa Kagame mkondefu!....

si unaona alikimbilia kwa kagame faster baada ya kuapishwa??.....Kagame alimtoza hela ndefuuu.....lkn kagame nina jambo naye kuhusu Mauaji ya kimbali!
Mimi navyojua mambo kama hayo ya kutoa kafara vifo vyake sio hivyo vya kutekelezwa na wasiojulikana.
 
Sasa msihalalishe huu udhaifu wa kukosa umeme na maji kwa kukumbusha mambo yaliyopita, ni kweli kwamba jamaa alifanya uhalifu na mambo yasiyofaa, ila isiwe kichaka, tunataka maji na umeme wa uhakika.
Kwani kwenye huu ukame hata kama angekuwapo angefanya nini Magufuli? Hivi mnapoandika mnajaribu hata kusoma taarifa za South Sudan, Kenya na Ethiopia kuhusu ukame?
 
Hebu tuulizane kitu kimoja, hao watu waliyokuwa wanauliwa katika utawala uliyopita walikuwa ni kundi gani la watu kwa maana ni wananchi tu wa kawaida? Waaandishi wa habari? Wanasiasa? Wafanya biashara au ni kundi gani hasa?

Hapa napoandika Tanesco washafanya yao muda huu huu.
1.Mauaji ya akina Ben Saanane, Azory Gwanda na wale zaidi ya 300 wa Mkuranga, Kibiti na Rufiji
2. Kumshambulia Tundu Lissu
3. Kumtuma yule hayawani Makonda kuvamia kituo cha Clouds
4. Kumteka Mo Dewji na Roma Mkatoliki
5. Wale waliokuwa wanatupwa kwenye viroba baharini na mto Ruvu.


Kweli Tanzania ni mahali salama bila dikteta Magufuli
 
Kwani kwenye huu ukame hata kama angekuwapo angefanya nini Magufuli? Hivi mnapoandika mnajaribu hata kusoma taarifa za South Sudan, Kenya na Ethiopia kuhusu ukame?
Shida ya umeme ilianza kabla hata ya ukame.
 
1.Mauaji ya akina Ben Saanane, Azory Gwanda na wale zaidi ya 300 wa Mkuranga, Kibiti na Rufiji
2. Kumshambulia Tundu Lissu
3. Kumtuma yule hayawani Makonda kuvamia kituo cha Clouds
4. Kumteka Mo Dewji na Roma Mkatoliki
5. Wale waliokuwa wanatupwa kwenye viroba baharini na mto Ruvu.


Kweli Tanzania ni mahali salama bila dikteta Magufuli
Sababu za mauwaji ni zipi?
 
Chama cha CCM ni kizuri,na baadhi ya viongozi wake ni waziri,tatizo chama kinapoamua kutumia Watu wasio na Akili timamu kama huyu mleta Mada ndo kinachafuka.
 
Kwani kwenye huu ukame hata kama angekuwapo angefanya nini Magufuli? Hivi mnapoandika mnajaribu hata kusoma taarifa za South Sudan, Kenya na Ethiopia kuhusu ukame?
Najua hakuna yeyote wa CCM angefanya kitu, ni vile hawa chawa wengine wanataka kujifanya wao watakatifu sana, wamchafue mwingine ili wao tuwaone bora wakati wote ni zao moja.
 
Salaam Wakuu,

Nape Nnauye aliwahi kusema "Bahari imetulia, Mwenyezi Mungu ameamua ugomvi".

Kuna utawala uligubikwa na Sintofahamu ya Watu kupotea, kufa, kubambikiziwa kesi.

Utawala uliteneza kundi la watu wasiojulikana ambao kazi yao ilikuwa kumshughulikia yoyote atakayekuwa na Mawazo mbadala au kuhoji matumizi ya fedha za Serikali.

Tukamuomba Mungu na kusoma albadiri ili atuepushie na kikombe kile, Mungu akasikia maombi yetu

Sasa leo kuna watu wamekosa maji na umeme kwa siku kadhaa wanatamani kurudi utumwani Mungu alikotutoa na wanamlaumu Mungu kwanini katutoa kule ambapo mtu alikuwa hajui kesho yake kama ataamka salama. Mbona vijijini watu hawana Umeme na Wanaishi? Itakuwa huu umeme wa kukosa mwezi mmoja ndo utamani kurudi Misri? Jipe moyo Utashinda

Hata Wana wa Israel walipookolewa Misri utumwani walitamani kurudi huko. Ndo hawa wanaotamani kurudi tulikotoka.

Nawatia Moyo, tulieni tuiunge Mkono Serikali na Mamlaka yake kwani Mamlaka ya Serikali yanatoka kwa Mungu. Giza likiwa nene kunakalibia kupambazuka

KUTOKA 14:11

11 Wakamwambia Mose, “Je, hapakuwa na makaburi ya kutosha nchini Misri hata ukatuleta tufie huku jangwani? Mbona umetutendea haya, kwa tututoa katika nchi ya Misri?

12Je, hatukukuambia mambo haya tulipokuwa bado Misri? Tulikuambia utuache tuendelee kuwatumikia Wamisri. Ingalikuwa afadhali kuwatumikia Wamisri kuliko kufia huku jangwani.”

13Mose akawaambia Waisraeli, “Msiogope! Kaeni imara! Leo mtaona jinsi Mwenyezi-Mungu atakavyowaokoa. Maana, hawa Wamisri mnaowaona leo, hamtawaona tena.

14Mwenyezi-Mungu atawapigania; nyinyi mnachotakiwa kufanya ni kutulia tu.”

15Mwenyezi-Mungu akamwambia Mose, “Kwa nini mnanililia? Waambie Waisraeli waendelee mbele.

16Inua fimbo yako na kuinyosha juu ya bahari. Maji yatagawanyika na Waisraeli wataweza kuvuka katikati ya bahari mahali pakavu.

Viongozi wetu washainua Fimbo juu, tutavuka salama
Bado una mimba ya magufuli ukihifungua akili itakaa sawa
 
Asinge fanya kazi na adui yetu! akamjua barabara! tusingekombolewa hadi hivi leo!.......lazima ukae na adui ili umjue vizuri! na pa kuanzia pawe bora! big up alifanya kazi nzuri!

hata shetani aliishi kwa Mungu!
Kwa vyovyote vile kama bwana yule alikua mchafu na yeye ni mchafu tuuu
 
Kwa vyovyote vile kama bwana yule alikua mchafu na yeye ni mchafu tuuu
Yeye Mama si Mchafu! ila

alifanya kazi ya kutukomboa kutoka kwenye uchafu ule!! Mama ni Mama tu!! anajua kucheza michezo yote ili watoto wake wale!.. Papasa unakosea kusema ivo.......sisi km sisi hatukuwa na njia sahihi!

bali kumuangalia na kumlilia Mama atafanya nini!....unaona thatha!! weye MAma hawa niachie mimi hawa kina Papasa nakundi lake wala usiwajibu ntalia nao tu, weye chapa kazi mpaka kieleweke!

Aksante Mama yetu! kutukomboa! weye ni mwanamke kweli hasa wa shoka! akhsante Zanzibar hatuta watukana tena kama ile ya ''Nabonyeza, Bonyeee!''........ iishe iyo rasmi! ole enu niwasikie!! zanzbar njooni sasa mkae Bara bureee!
 
Back
Top Bottom