Bora tukose umeme na Maji kuliko watu kupotea na kuokotwa kwenye Viroba baharini Coco Beach

Bora tukose umeme na Maji kuliko watu kupotea na kuokotwa kwenye Viroba baharini Coco Beach

Salaam Wakuu,

Nape Nnauye aliwahi kusema "Bahari imetulia, Mwenyezi Mungu ameamua ugomvi".

Kuna utawala uligubikwa na Sintofahamu ya Watu kupotea, kufa, kubambikiziwa kesi.

Utawala uliteneza kundi la watu wasiojulikana ambao kazi yao ilikuwa kumshughulikia yoyote atakayekuwa na Mawazo mbadala au kuhoji matumizi ya fedha za Serikali.

Tukamuomba Mungu na kusoma albadiri ili atuepushie na kikombe kile, Mungu akasikia maombi yetu

Sasa leo kuna watu wamekosa maji na umeme kwa siku kadhaa wanatamani kurudi utumwani Mungu alikotutoa na wanamlaumu Mungu kwanini katutoa kule ambapo mtu alikuwa hajui kesho yake kama ataamka salama. Mbona vijijini watu hawana Umeme na Wanaishi? Itakuwa huu umeme wa kukosa mwezi mmoja ndo utamani kurudi Misri? Jipe moyo Utashinda

Hata Wana wa Israel walipookolewa Misri utumwani walitamani kurudi huko. Ndo hawa wanaotamani kurudi tulikotoka.

Nawatia Moyo, tulieni tuiunge Mkono Serikali na Mamlaka yake kwani Mamlaka ya Serikali yanatoka kwa Mungu. Giza likiwa nene kunakalibia kupambazuka

KUTOKA 14:11

11 Wakamwambia Mose, “Je, hapakuwa na makaburi ya kutosha nchini Misri hata ukatuleta tufie huku jangwani? Mbona umetutendea haya, kwa tututoa katika nchi ya Misri?

12Je, hatukukuambia mambo haya tulipokuwa bado Misri? Tulikuambia utuache tuendelee kuwatumikia Wamisri. Ingalikuwa afadhali kuwatumikia Wamisri kuliko kufia huku jangwani.”

13Mose akawaambia Waisraeli, “Msiogope! Kaeni imara! Leo mtaona jinsi Mwenyezi-Mungu atakavyowaokoa. Maana, hawa Wamisri mnaowaona leo, hamtawaona tena.

14Mwenyezi-Mungu atawapigania; nyinyi mnachotakiwa kufanya ni kutulia tu.”

15Mwenyezi-Mungu akamwambia Mose, “Kwa nini mnanililia? Waambie Waisraeli waendelee mbele.

16Inua fimbo yako na kuinyosha juu ya bahari. Maji yatagawanyika na Waisraeli wataweza kuvuka katikati ya bahari mahali pakavu.

Viongozi wetu washainua Fimbo juu, tutavuka salama
Muheshimiwa Supika Taharifa
 
Wewe wasema tuwe wavumilivu lakini wakati huo tunakamuliwa tozo na kodi bila huruma na pesa za umma zinaliwa kama senene
 
Kwani umesahau juzi tu hapa viroba viliokotwa?, au unajisahaulisha tu?
 
Salaam Wakuu,

Nape Nnauye aliwahi kusema "Bahari imetulia, Mwenyezi Mungu ameamua ugomvi".

Kuna utawala uligubikwa na Sintofahamu ya Watu kupotea, kufa, kubambikiziwa kesi.

Utawala uliteneza kundi la watu wasiojulikana ambao kazi yao ilikuwa kumshughulikia yoyote atakayekuwa na Mawazo mbadala au kuhoji matumizi ya fedha za Serikali.

Tukamuomba Mungu na kusoma albadiri ili atuepushie na kikombe kile, Mungu akasikia maombi yetu

Sasa leo kuna watu wamekosa maji na umeme kwa siku kadhaa wanatamani kurudi utumwani Mungu alikotutoa na wanamlaumu Mungu kwanini katutoa kule ambapo mtu alikuwa hajui kesho yake kama ataamka salama. Mbona vijijini watu hawana Umeme na Wanaishi? Itakuwa huu umeme wa kukosa mwezi mmoja ndo utamani kurudi Misri? Jipe moyo Utashinda

Hata Wana wa Israel walipookolewa Misri utumwani walitamani kurudi huko. Ndo hawa wanaotamani kurudi tulikotoka.

Nawatia Moyo, tulieni tuiunge Mkono Serikali na Mamlaka yake kwani Mamlaka ya Serikali yanatoka kwa Mungu. Giza likiwa nene kunakalibia kupambazuka

KUTOKA 14:11

11 Wakamwambia Mose, “Je, hapakuwa na makaburi ya kutosha nchini Misri hata ukatuleta tufie huku jangwani? Mbona umetutendea haya, kwa tututoa katika nchi ya Misri?

12Je, hatukukuambia mambo haya tulipokuwa bado Misri? Tulikuambia utuache tuendelee kuwatumikia Wamisri. Ingalikuwa afadhali kuwatumikia Wamisri kuliko kufia huku jangwani.”

13Mose akawaambia Waisraeli, “Msiogope! Kaeni imara! Leo mtaona jinsi Mwenyezi-Mungu atakavyowaokoa. Maana, hawa Wamisri mnaowaona leo, hamtawaona tena.

14Mwenyezi-Mungu atawapigania; nyinyi mnachotakiwa kufanya ni kutulia tu.”

15Mwenyezi-Mungu akamwambia Mose, “Kwa nini mnanililia? Waambie Waisraeli waendelee mbele.

16Inua fimbo yako na kuinyosha juu ya bahari. Maji yatagawanyika na Waisraeli wataweza kuvuka katikati ya bahari mahali pakavu.

Viongozi wetu washainua Fimbo juu, tutavuka salama
Bora aisee.
 
Hebu tuulizane kitu kimoja, hao watu waliyokuwa wanauliwa katika utawala uliyopita walikuwa ni kundi gani la watu kwa maana ni wananchi tu wa kawaida? Waaandishi wa habari? Wanasiasa? Wafanya biashara au ni kundi gani hasa?

Hapa napoandika Tanesco washafanya yao muda huu huu.
Acha kupoteza muda unajifanya hujui?
 
Huwa nashangaa Sana watu wanavyo msema bwana yule na kumuona wa sasa hivi kama ni malaika, na wakati walifanya kazi pamoja na kama alifanya mabaya basi huyu wa sasa na yeye na anahusika kwa sababu alijua nini kinafanyika
Unajifanya kushangaa tu.
 
Siku kibuyu cha asali ukipokonywa ndy akili zitakurudia.,
 
Hawa hawana tofauti na wamisiri ya Musa
Sasa leo kuna watu wamekosa maji na umeme kwa siku kadhaa wanatamani kurudi utumwani Mungu alikotutoa na wanamlaumu Mungu kwanini katutoa kule ambapo mtu alikuwa hajui kesho yake kama ataamka salama. Mbona vijijini watu hawana Umeme na Wanaishi? Itakuwa huu umeme wa kukosa mwezi mmoja ndo utamani kurudi Misri? Jipe moyo Utashinda
 
Kwaiyo unaunga mkono utawala huu uoni ndugu zako wanavyolia njaa uko vijijini,ukute hata mamako anauza papuchi ili aweze kumudu ghalama za maisha wakati watu wanalamba asali tu
Wajinga hao. Badala walime wapate mazao walikalia ujinga tu wa ccm mbere kwa mbere🤣🤣
 
Salaam Wakuu,

Nape Nnauye aliwahi kusema "Bahari imetulia, Mwenyezi Mungu ameamua ugomvi".

Kuna utawala uligubikwa na Sintofahamu ya Watu kupotea, kufa, kubambikiziwa kesi.

Utawala uliteneza kundi la watu wasiojulikana ambao kazi yao ilikuwa kumshughulikia yoyote atakayekuwa na Mawazo mbadala au kuhoji matumizi ya fedha za Serikali.

Tukamuomba Mungu na kusoma albadiri ili atuepushie na kikombe kile, Mungu akasikia maombi yetu

Sasa leo kuna watu wamekosa maji na umeme kwa siku kadhaa wanatamani kurudi utumwani Mungu alikotutoa na wanamlaumu Mungu kwanini katutoa kule ambapo mtu alikuwa hajui kesho yake kama ataamka salama. Mbona vijijini watu hawana Umeme na Wanaishi? Itakuwa huu umeme wa kukosa mwezi mmoja ndo utamani kurudi Misri? Jipe moyo Utashinda

Hata Wana wa Israel walipookolewa Misri utumwani walitamani kurudi huko. Ndo hawa wanaotamani kurudi tulikotoka.

Nawatia Moyo, tulieni tuiunge Mkono Serikali na Mamlaka yake kwani Mamlaka ya Serikali yanatoka kwa Mungu. Giza likiwa nene kunakalibia kupambazuka

KUTOKA 14:11

11 Wakamwambia Mose, “Je, hapakuwa na makaburi ya kutosha nchini Misri hata ukatuleta tufie huku jangwani? Mbona umetutendea haya, kwa tututoa katika nchi ya Misri?

12Je, hatukukuambia mambo haya tulipokuwa bado Misri? Tulikuambia utuache tuendelee kuwatumikia Wamisri. Ingalikuwa afadhali kuwatumikia Wamisri kuliko kufia huku jangwani.”

13Mose akawaambia Waisraeli, “Msiogope! Kaeni imara! Leo mtaona jinsi Mwenyezi-Mungu atakavyowaokoa. Maana, hawa Wamisri mnaowaona leo, hamtawaona tena.

14Mwenyezi-Mungu atawapigania; nyinyi mnachotakiwa kufanya ni kutulia tu.”

15Mwenyezi-Mungu akamwambia Mose, “Kwa nini mnanililia? Waambie Waisraeli waendelee mbele.

16Inua fimbo yako na kuinyosha juu ya bahari. Maji yatagawanyika na Waisraeli wataweza kuvuka katikati ya bahari mahali pakavu.

Viongozi wetu washainua Fimbo juu, tutavuka salama
S.T.U.P.I.D! Hao wa kwenye viroba unajua walikua kina nani? Where you sure kwamba wameuwawa na huyo unaemuhisi? Unawaza kwa kutumia kiungo gani cha mwili? So wanaharakati mlichokua mnakipigania kipindi kile against JPM Kilikua nini maana sasa hali ni mbaya zaidi ila mmeufyata kazi kusifia tu kama manyumbu
 
Sasa msihalalishe huu udhaifu wa kukosa umeme na maji kwa kukumbusha mambo yaliyopita, ni kweli kwamba jamaa alifanya uhalifu na mambo yasiyofaa, ila isiwe kichaka, tunataka maji na umeme wa uhakika.
Huko nyuma mliyapata
 
Yeye Mama si Mchafu! ila

alifanya kazi ya kutukomboa kutoka kwenye uchafu ule!! Mama ni Mama tu!! anajua kucheza michezo yote ili watoto wake wale!.. Papasa unakosea kusema ivo.......sisi km sisi hatukuwa na njia sahihi!

bali kumuangalia na kumlilia Mama atafanya nini!....unaona thatha!! weye MAma hawa niachie mimi hawa kina Papasa nakundi lake wala usiwajibu ntalia nao tu, weye chapa kazi mpaka kieleweke!

Aksante Mama yetu! kutukomboa! weye ni mwanamke kweli hasa wa shoka! akhsante Zanzibar hatuta watukana tena kama ile ya ''Nabonyeza, Bonyeee!''........ iishe iyo rasmi! ole enu niwasikie!! zanzbar njooni sasa mkae Bara bureee!
Endelea na ngonjera hizo labda machawa wake watakufisha kwake upate uteuzi
 
Nairobi yenyewe hakuna maji na watu wanajua ni kwasababu ya Drought.

Sijawahi kusikia wakisema ni sababu ya Ruto

Sisi sijui tumelaaniwa na nani?
 
Nairobi yenyewe hakuna maji na watu wanajua ni kwasababu ya Drought.

Sijawahi kusikia wakisema ni sababu ya Ruto

Sisi sijui tumelaaniwa na nani?
Aina ya uongozi wake mwenyewe Samia ndio unafanya alaumiwe hata kwa ambavyo viko nje ya uwezo wake, kwa yanayoendelea nchini ni wazi nchi imelaaniwa kwa sasa full majanga tu.
 
Aina ya uongozi wake mwenyewe Samia ndio unafanya alaumiwe hata kwa ambavyo viko nje ya uwezo wake, kwa yanayoendelea nchini ni wazi nchi imelaaniwa kwa sasa full majanga tu.
Hii Nchi kulalamika imekuwa too much ndio maana Magufuli aliwaziba midomo wakawa wanaogopa hata kufungua midomo.
 
Hii Nchi kulalamika imekuwa too much ndio maana Magufuli aliwaziba midomo wakawa wanaogopa hata kufungua midomo.
Hao waliyozibwa midomo wakati wa Magufuli sasa ndio wameifungua au bado hawajafunguliwa?
 
Back
Top Bottom