Bosi wa Toyota ajiuzulu kupisha mabadiliko ya kampuni kuingia kwenye Magari ya Umeme

Bosi wa Toyota ajiuzulu kupisha mabadiliko ya kampuni kuingia kwenye Magari ya Umeme

Kuna watu walikuwa na laana na wanasifiwa bado
Huwa hatujii tofauti ya uzuri na ubaya
Means wengi hawana akili ya ku reasoning
Huyo ndio aliharibu kila kitu
Nyerere alipochukua nchi hakufikiria miaka 50 Mbele, alijiwaza yeye ndio maana Katiba yetu ikawa mbovu. Aliondoka tu pale ambapo aliona mapinduzi yamezidi.

Nyerere hakuwekeza katika upangaji wa miji na vijiji na hili ni moja wapo ya tatizo kubwa linaloiumiza nchi.

Nyerere aliendeleza mfumo wa utawala wa wakoloni

Hakuwekeza katika Elimu bora.


Wakulima wa zamani walitumia zana kuvuna na kupanda, Nyerere kwa uoga wake akataifisha mali zao, kilimo ndio kikafia pale.

Azimio la Arusha lilirudisha molari ya uwekezaji Tanzania.

Tungekuwa na Katiba nzuri leo hii isingetokea mtu anatoka huko alipo na kuja badilisha chochote anachoona hakimpendezi yeye
 
Nyerere alipochukua nchi hakufikiria miaka 50 Mbele, alijiwaza yeye ndio maana Katiba yetu ikawa mbovu. Aliondoka tu pale ambapo aliona mapinduzi yamezidi.

Nyerere hakuwekeza katika upangaji wa miji na vijiji na hili ni moja wapo ya tatizo kubwa linaloiumiza nchi.

Nyerere aliendeleza mfumo wa utawala wa wakoloni

Hakuwekeza katika Elimu bora.


Wakulima wa zamani walitumia zana kuvuna na kupanda, Nyerere kwa uoga wake akataifisha mali zao, kilimo ndio kikafia pale.

Azimio la Arusha lilirudisha molari ya uwekezaji Tanzania.

Tungekuwa na Katiba nzuri leo hii isingetokea mtu anatoka huko alipo na kuja badilisha chochote anachoona hakimpendezi yeye
Ameifanya nchi kila anaeshika madaraka anakuwa na nguvu kuliko watu 60m
Yaani kila kitu hewala
Anakuja mtu anatukana watu wanaomzidi umri na wanacheka tu
Katiba ni muhimu sana ila kama itafuatwa
Kuna nchi zinafuata utawala wa sheria kwa vitendo je sisi tutaweza?

Hii tuliyonayo bado haifuatwi na inakanyagwa haswa
Mtu anatoa amri kutoka kichwani haipo popote
Mkuu umeelezea vizuri nimekuelewa ila lazima tubadilike

Bado tuko nyuma sana kimaendeleo na tumo kwenye list ya moja ya nchi masikini duniani wakati tuna kila kitu
 
Nchi yetu yatakiwa ipunguze kodi kwa Brand New cars angalau iwe 25% pekee hii itasababisha nchi iondokane na magari makuu kuu.

Maana watu watanunua magari mengi, ambayo hayatumii mafuta mengi, hii itasababisha serikali isitumie dollar nyingi kununua mafuta.

Pia itasababisha nchi isigeuke dampo
 
huku kwetu mbowe ni mkwe wa muanzilishi wa chama. Tutarajie nini baada ya mabadiliko huko toyota. Huenda nae atajiuzuru kuamsha muamko mpya kisiasa.
ndoto
 
Back
Top Bottom