Naweza kuwa natumia kuliko wewe na badi ninasema unaweza kuficha na ninaahangaa huyo bocy waka ana mama ntilie?Namba ya simu ya mtu ukusev kama ipo telegram inajisev kule au utumii sna mitandao iyo
Siyo kwa yule mzee ukiitwa nae kwaza unakazi ya kuuliza mara mbili huo salama kweli ndani πππ sasa now sitacomment ujinga ujingaAta gangster hulegeza macho π
SawaNaweza kuwa natumia kuliko wewe na badi ninasema unaweza kuficha na ninaahangaa huyo bocy waka ana mama ntilie?
upo goodKabla sijajoin huwa naangalia members nikiona Kuna mtu kwa phone book yangu sijoinπ€£π€£
Aisee,nlimkuta uncle wangu badoo,na aliyenisanua ni mtoto wa sister angu ambaye naye alinikuta huko,ikatubidi mimi na uncle mdogo tutoke mbioSi Bora we boss.... Mimi niliamua ku left baada ya kuona mjomba naye yumo,!! [emoji1787]
Huwa wanatuma picha ya mtu kama unataka namba unapewa2167 members ππ group limepoa ilo sijaona wauzaji wakijinadi
Wote mlikuwa sokoni ase si ungeendelea kuangalia mahitajinyakoAisee,nlimkuta uncle wangu badoo,na aliyenisanua ni mtoto wa sister angu ambaye naye alinikuta huko,ikatubidi mimi na uncle mdogo tutoke mbio View attachment 2535338
Ahah mimi mule ndio nyumban tunapataga pis
Duh hadi wew mdau πππ ipo juu hapoTuma link chap,acha porojo.
Wa kongewe tuna warleweshaje sasaEmbu Semeni Kbs, ndo Wapi Huko..?
Enzi hizo Telegram ilikuwa ni just Communication iliyokuwa inatumia telegraph.
Ingia humu utajipatia humu wapo wengi wakukutoaha Join group chat on TelegramSasa hao si madalali
Ahaha kawaida idWe jamaa ni wa hovyo sana pamoja na supporters wako.
Dah usipokuwa makini heshima yako inapitea ππ kisa nice picture au kishundu ichooo nimekiona ππAlgorithm za mitandao ya kijamii wengi hawana ufahamu nao mfano telegram mtu akiwa kweny group unamuona moja kwa moja kwa jina ulilomsave kama namba yek unayo ,na hata akijiunga kwa mara ya kwanza telegram unapata notification mtu fulani amejiunga na unajua kabisa.
Facebook hata ukoment kweny page yeyote ile ambao friends zako hawapo basi wao wataiona moja kwa ile post kupitia comment yako na hapo kama ulikoment ujinga basi wanaona kabisa ...Unakuta page za mambo ya zinaa mwanamke kajipost nusu uchi then unamuona hata babaako kakoment "nice picture"π€£π€£
π€£π€£π€£ Yaani mitandao tunatumia ila wengi hwanaga ufahamu nayoDah usipokuwa makini heshima yako inapitea ππ kisa nice picture au kishundu ichooo nimekiona ππ
Wanafwata mikumbπ€£π€£π€£ Yaani mitandao tunatumia ila wengi hwanaga ufahamu nayo
Dah mida hii naingia zangu telegram nakuna na Boss join kwenye group la ovyo sana, sasa najiuliza how ameweza jiunga halafu ni mtu anaheshimika sana
Dah nawaza nileft mimi au nibaki nikomae