BoT yakataza rasmi kampuni za mikopo mitandaoni kuchukua mawasiliano ya wateja ili kuwadhalilisha. Yatoa mwongozo mpya!

Mimi niliwatukana matusi makubwa makubwa sijapata kuona hadi wakaniblock. Baadaye akanipigia mtu aliyejitambulisha kuwa ni mhasibu wao ndio tukaongea lugha inayoeleweka tukamalizana.
 
Hebu cheki wanavyochafua watu. Na saizi hawaandiki jina la kampuni makusudi ili wasishtakiwe. Hawa wafungiwe tu
 
Sasa ungekua umekopa kwenye online apps hiyo laki 5 ungelipa laki 8 tena kwa wiki moja, na ungekula matusi na vitisho juu
 
Hebu cheki wanavyochafua watu. Na saizi hawaandiki jina la kampuni makusudi ili wasishtakiwe. Hawa wafungiwe tu
View attachment 3131608View attachment 3131608
Wanaposema katumia taarifa za watu binafs, wanamanisha nini kama huyu ni mkopaji?

Makampuni ya mikopo ndio yanayotumia taarifa binafs kudhalilisha watu. Sass huyu yeye katumiaje hizo taarifa kudhalilisha watu?

Kama wanandai, basi watakuwa wameamua tu kumchafua baada ya kushindwa kulipa deni lao ndio wameamua kusambaza picha yake.

Au alkkopa kwa kutumia majina na taarifa za watu wengine?
 
Kiufupi hawa ni matapeli na wanafanya kublack mail watu. Kuna kesi nyingi tu za watu ambao ukimaliza kulipa wanaendelea kukuzingua wanasingizia malipo hayakuingia uwatumie wao pesa kisha wao walipe. Na unakuta mtu alishalipa
 
Hakuna lolote hapa. Hizi ni sinema
 
Mimi natafuta mwanasheria ambaye yuko tayari tufungue kesi kuhusu hawa jamaa kutumia taarifa zangu kunidhalilisha.
 
ebana leo ndo nimejua serikali kweli inaafanya kazi nilishaanza kusumbuliwa leo na pdf ndo linatoka.
Serikali ilitakiwa iyajue yote haya na kuweka masharti yote kwenye leseni zao wanapotoa
Ila sisi tunasubiri janga litokee ndio tuweke sheria.
Hizi sheria zingetumika zamani kwenye mikataba na wataalamu lazima walijue hili
 
Siku ya kulipa ni kesho tarehe ishirini lakini wao wanani lazimisha kulipa leo japo nimewataarifu kuhusu tarehe sahihi ya malipo lakini wameanza kuwapigia na kuwatumia watu kwenye contact zangu kama wananidai na huondo uthibitisho hivi vilio tuvipeleke wapi ili sheria itufute haya machozi ya kudhalilishwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…