Wewe unafanya hivyo?nguo za ndani hazitakiwi kurudiwa kuvaliwa hadi zifuliwe tena
Unavaa shanga au ngoziNilishaacha kuvaa chupi na boksa miaka ya 2000 mwanzoni
[emoji38][emoji38] kile kiharufu hakina siri unakua unanukia kimbuzi mbuzi tuUliwanusa ukiwa wapi?
Kwann huvai mkuu...!?[emoji1] unasaidia dada zako kutovaa chup** eehh...Sivai kbs
Siku kumi sio mbaya.
Kwann huvai mkuu...!?[emoji1] unasaidia dada zako kutovaa chup** eehh...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwann huvai mkuu...!?[emoji1] unasaidia dada zako kutovaa chup** eehh...
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Labda uvae juu ya nepi
What's nice about dirty boxers?Mmmmmh it's nice to wear for couple of days without washing
Hata wiki.Siku 1 tu jamani.....Unairudishaje mwilini tena kesho yake?
mhhh,,, siyo kweli.nguo za ndani hazitakiwi kurudiwa kuvaliwa hadi zifuliwe tena
Duhhh,, hapo umeua!!Mimi Kama sijafanya ujinga na mwamke napiga Siku 7 hadi 10.
Ah wapi. Nakula full upepo tuu[emoji23] [emoji23]Hata hizo za kwenye picha ya mada huvaagi mkuu utakua na matatizo