Boxer yangu katika chumba cha mpangaji mwenzangu

Angetoka huyo mwanaume aseme mwenye boxer yake ajitokeze.
 
Hao majirani uliowaeleza ni wachawi tu!
Hiyo ishu mbona ndogo sana, ungemwambia tu aamue alivyotaka!
Halafu huo uwazi wa chumba vipi yani, yaani kilikuwa wazi kiasi kwamba hakikuwa na paa ma vipi aiseeh…?[emoji23][emoji23]
 
Huu uzi utumike kufungia mwaka huu wa mauzauza na mwaka wa matendo makuu ya Mungu.
Hapo jiandae kumwoa huyo mwanamke
 
Je ungesikia jamaa anasema siwezi mwachia Mungu bukta hii lazima ifike kwa sangoma na mara unasikia jamaa anaongea na mganga wake anamwambia ili kuondoa lawama waulize kwanza majirani wako. Ungeulizwa ungejitokeza?
 
Muda uleule mm ningetoka mbio mpaka nje ningewaambia"jamani eeh nimekungu'ta boksa yangu imegonga chandarua imeruka huko juu imedondokea huko chumbani nami nina haraka nina safar nataka nivae nimuwahi jamaa hebu nipeni nisije nikachelewa".

Lkn jamaa ulijua yatakayotokea kabla hayajatokea ndio maana ulikaa kimya.Wewe ni muharibifu hivyo pambana urudishe ndoa ya watu uliyoharibu kwa jambo lako la kijinga.
 
Hapo kwenye bukta yako kurukia chumba cha jirani wakati wa kukung'uta sijaelewa vizuri,huo ukuta unaotenganisha hivyo vyumba ni mfupi kiasi gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…