Daktari W Sindabhalla
JF-Expert Member
- Jan 29, 2017
- 600
- 580
- Thread starter
-
- #61
Ni sawa ndugu. Tatizo langu lilikuwa ni hofu iliyonijaa mala baada ya vichapo kutembezwa na kutotokea mpangaji hata mmoja aliyejitokeza kuamulia.Km wewe kweli ni mwanaume kamili na unajimini ulipaswa kumuitabmwanaume mwenzako na umwambie hali ilivyo
Umwambie uhalisia sababu hamna ukichokufanya na unaogopa kuvunja ndoa ya mwanaume mwenzako bila sababu.
Huwezi kuogopa kusimamia kitu kidogo km hicho.Yeye ndo achague kusuka au kunyoa.
Kuna ukweli ktk usemalo.
ila sikupenda kuubeba ukweli huo ambao niliusikia ktk majibizano yao.
mimi najihisi kuwa na hatia tu.
kwa face to face, siendi. labda nitendee ushauri wa ndugu mmoja aliyeshauri kwamba nitafute na niwaombe wazee waende kwa niaba yangu.Unataka jamaa auliwe? Mapenzi ni kitu kingine usijaribu kufanya masihara
ni kweli usemalo. ila sikupata solution kwa haraka. Ni kama ganzi tu ilinishika hata nisijue chakufanya kwa haraka.Kama ni hivyo
Pale pale bukta ilipoanguka ilikuwa uende kuiomba na kumwambia mshkaji
Oya bukta imedondokea kwako
Ila ukauchuna na kutoa kiti nje na kufurahia movie likiendelea [emoji12]
Ila sitaki kuamini sana hii ya pili
Lakini wapo wa hivyo pia
Dunia Ina mambo hii
Duh!Simu zinarekodiwa usijaribu huo mchezo utafunguliwa kesi na ushahidi utapatikana.Tafuta demu aliyeaxhwa umtafune
ok.Sio mara ya kwanza kusoma. Jamaa kaamua aulete hapa achangamshe jamvi
Zipompa,,,,,,,,,,ilikuwa accidentally tu ndugu yangu.Kwamba bukra ikiwa imelowana inakuwa nzito kwa kg ngap? Hadi ishindwe ruka chumba cha pili
si mrefu saaana wala si fupi sana, baada ya lenta una step kozi 2 tu.Huo ukuta ni mfupi kiasi gani mpaka Bukta iweze kudondokea upande Wa pili? Ama uliirusha kwa Ku Dank?
hakika nimezingua. Ndio maana linanisumbua kwasasa. ningeweza ku mute, tatizo moyo unanisuta.Uncle umezingua...ilitakiwa wakati uleule ilipodondoka utoke kuwaeleza wenyeji
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ni ajali tu ndugu.Hiyo boxer itakuwa ya Spiderman iliwezaje kuruka huku ikiwa imeloa?
Duh, nimesema kweli ila umeninyima ushirikiano.Aisee hata mm nimeshtuka, ila nimeshtuka zaidi boxer yenye maji kuruka kwenye neti kisha ikadunda na kwenda chumba cha pili 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
sawa.Muwe mnaweka na Tangawizi na mdalasini ndio hunukia na kuvutia vizuri.
yaani kwa issue yako ilivyo kuwa sensitive hukutakiwa kuchukua muda wa kuomba ushauri...Habari wana JF.
Ninaomba ufahamu ili niiokoe ndoa ya watu.
Wiki iliyopita nilimtembelea dada yangu anayeishi Dodoma mjini - Chang'ombe Extension.
Yeye na MR. wake na watoto 2 wana chumba na sebule.
Kwakuwa nilikuwa na majukumu binafsi mbali na kuitembelea familia hii na kutokana na ufinyu wa nyumba yao, ilinilazimu kuchukua room guest.
Siku ya tatu, dada na shemeji yangu wakanitaarifu kuwa kuna chumba kimoja pale kwao ambacho bado hakina mpangaji hivyo nikilipie 20,000/= kwa wiki 2 za kuishi kwangu Dom.
Chumba kilikuwa na changamoto 1 tu, juu palikuwa wazi kabisa.
Tatizo lilitokea siku mbili kabla ya mimi kuondoka Dom. wakati wa usiku wa saa mbili, nimetoka kuoga bafu la nje, wamama wa pembeni mwa chumba changu walikuwa wakiendelea na mapishi jirani na milango yao.
Walizoea kuniita Uncle kwasababu ya vile watoto wa sister wanavyoniita
Nikiwa chumbani nikung'uta bukta niliyotokanayo bafuni, ghafla ile bukta ikagusa kamba ya net na kuniponyoka mkononi na kuangukia chumba cha pili.
Muda si mrefu jamaa wa chumba hicho akawa anaingia ndani kwake na moja kwa moja akaelekea kuwasha TV.
Hapo ndipo alipoikuta bukta yangu nyuma ya TV penye switch ya ukutani. Bukta ya mtu mzima tena bado inamajimaji,,,,,,,,,,,Duh!
Alimuita mkewe aliyekuwa anapika, na hapo ndipo malumbano ya kuwa mwanamke huwa anaingiza wanaume ndani yakakolea.
Kichapo kikatembea,,,,,,hakika moyo uliniuma ila nilikaa kimya.
Kesho yake niliwaeleza wenyeji wangu, ila walinionya nisiingilie wala nisiseme uhalisia. wakiamini kuwa yataisha tu.
Wana miaka 2 ktk mahusino yao ila mdada hajawahi kushika mimba.
ukijumlisha na hili,,,, jamaa kaamua kumuacha mkewe na yuko mbioni kuoa mwingine.
Nimejulishwa kuwa mdada ameanza kwenda kwenye maombi kwaajili ya ndoa yake.
Mimi tayari nimeisha ondoka.
Ila naomba ufahamu kwenu wana JF, jinsi ninavyoweza kuwa msaada wa kurejesha ndoa ya hawa jamaa.
Okay, nashukuru kwa ushauri huo. nimepata namba yake ila bado navuta kasi nione jinsi ya kujieleza kwa ufasaha.UKWELI HUMUWEKA MTU HURU
KAMCHANE JAMAA UOKOE NDOA YAKE
nilikuwa kama nimebutwaa hivi, na ghafla nikasikia mdada akiitwa na kuulizwa " mala ngapi umekuwa ukifanya uchafu wako humu ndani ya chumba changu na kujifanya mtakatifu.......niambie haraka, hii nguo ni yanani?"yaani kwa issue yako ilivyo kuwa sensitive hukutakiwa kuchukua muda wa kuomba ushauri...
Ungemuita yule mwanamme huku umevalia taulo yako muombe msamaha kuwa kuna ngua yako imerukia kwake kwa bahati mbaya wakati unaikunguta. Mambo mengine hayataki kuomba ushauri kwani yanataka maamuzi ya haraka; sasa hivi ni vigumu kuaminika...
sijui kama watafanikiwa, maana sikushiriki uchafu wowote zaidi ya kosa hili la ghafla.Iyo bukta yako mkuu nmemuona nayo jamaa kwenye basi la Saratoga sijui anaenda nayo kigoma kukufanyaje
Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
Aaaaaah! Ni username tu, japo inamaana ukiitafakari kiundani.Hebu ngoja username yako ndio hiyo JAMBA KWA NGUVU ??
Mbunge ni shabiki wa Wananchi, na huyohuyo ni ndio leader wa Dom jiji.Leo dodoma jiji anachezea kichapo cha kufunga mwaka unalizungumziaje hili
kusema kweli haikuwa poa.Duh hiyo nyumba ni zile ambazo hazina singibodi nn maana sio powa boksa kusafir Tanzania hadi kenya sio powa
Kwahiyo mkuu wewe huwa unaiachia mishuzi kwa nguvu zote?😂 haya babaAaaaaah! Ni username tu, japo inamaana ukiitafakari kiundani.