Daktari W Sindabhalla
JF-Expert Member
- Jan 29, 2017
- 600
- 580
- Thread starter
-
- #81
sio hivyo madam, hii nimekutaka wewe ujambe kwa nguvu.Kwahiyo mkuu wewe huwa unaiachia mishuzi kwa nguvu zote?π haya baba
Vitu vya jamii ndiyo uvifananishe na vijambo vya nguvu mkuu? Aah hii ulimanisha mashuzi tuπso wewe huwa unaijambia jamii kwa nguvu?πsio hivyo madam, hii nimekutaka wewe ujambe kwa nguvu.
Yaani kwa lolote unalolitoa ama chochote unachokitoa Moyoni mwako kwaajili ya jamii, hakikisha unakitoa kwa nguvu zote hadi jamii yote isikie. yamkini ikaleta matokeo fulani ktk jamii.
MkuuHabari wana JF.
Ninaomba ufahamu ili niiokoe ndoa ya watu.
Wiki iliyopita nilimtembelea dada yangu anayeishi Dodoma mjini - Chang'ombe Extension.
Yeye na MR. wake na watoto 2 wana chumba na sebule.
Kwakuwa nilikuwa na majukumu binafsi mbali na kuitembelea familia hii na kutokana na ufinyu wa nyumba yao, ilinilazimu kuchukua room guest.
Siku ya tatu, dada na shemeji yangu wakanitaarifu kuwa kuna chumba kimoja pale kwao ambacho bado hakina mpangaji hivyo nikilipie 20,000/= kwa wiki 2 za kuishi kwangu Dom.
Chumba kilikuwa na changamoto 1 tu, juu palikuwa wazi kabisa.
Tatizo lilitokea siku mbili kabla ya mimi kuondoka Dom. wakati wa usiku wa saa mbili, nimetoka kuoga bafu la nje, wamama wa pembeni mwa chumba changu walikuwa wakiendelea na mapishi jirani na milango yao.
Walizoea kuniita Uncle kwasababu ya vile watoto wa sister wanavyoniita
Nikiwa chumbani nikung'uta bukta niliyotokanayo bafuni, ghafla ile bukta ikagusa kamba ya net na kuniponyoka mkononi na kuangukia chumba cha pili.
Muda si mrefu jamaa wa chumba hicho akawa anaingia ndani kwake na moja kwa moja akaelekea kuwasha TV.
Hapo ndipo alipoikuta bukta yangu nyuma ya TV penye switch ya ukutani. Bukta ya mtu mzima tena bado inamajimaji,,,,,,,,,,,Duh!
Alimuita mkewe aliyekuwa anapika, na hapo ndipo malumbano ya kuwa mwanamke huwa anaingiza wanaume ndani yakakolea.
Kichapo kikatembea,,,,,,hakika moyo uliniuma ila nilikaa kimya.
Kesho yake niliwaeleza wenyeji wangu, ila walinionya nisiingilie wala nisiseme uhalisia. wakiamini kuwa yataisha tu.
Wana miaka 2 ktk mahusino yao ila mdada hajawahi kushika mimba.
ukijumlisha na hili,,,, jamaa kaamua kumuacha mkewe na yuko mbioni kuoa mwingine.
Nimejulishwa kuwa mdada ameanza kwenda kwenye maombi kwaajili ya ndoa yake.
Mimi tayari nimeisha ondoka.
Ila naomba ufahamu kwenu wana JF, jinsi ninavyoweza kuwa msaada wa kurejesha ndoa ya hawa jamaa.
π π π π ahahaha!!!!! haya Financial S.Vitu vya jamii ndiyo uvifananishe na vijambo vya nguvu mkuu? Aah hii ulimanisha mashuzi tuπso wewe huwa unaijambia jamii kwa nguvu?π
Ok,Mkuu
Siku hizi wanaume hatuvai boxer.
Joto la Dar utaunguza watoto kwenye mifuko ya mbegu.
nilikuwa kama nimebutwaa hivi, na ghafla nikasikia mdada akiitwa na kuulizwa " mala ngapi umekuwa ukifanya uchafu wako humu ndani ya chumba changu na kujifanya mtakatifu.......niambie haraka, hii nguo ni yanani?"
Hapo ndipo hofu iliponishika.
hakika sikuweza kufanya lolote zaidi ya kwenda kuwaebukta yenyewe ilikuwa imelowa na umetokea bafunileza wenyeji wangu ambao waliniambia nikae kimya
Namshauri afuate alichoambiwa na nduguze.Kwa maumivu anayo pitia huyo dada, Hakuna namna unaweza kuyaelezea!
Nakushauri uende tena bila kupoteza muda ukaongee na huyo Mume wake; Unaweza kwenda na kumuomba muende out kwa chakula/kinjwaji ( hii haitaji tena kuendelea kuomba ushauri)
Muelezee hilo tukio mwanzo mwisho, jinsi ulivyo andika hapo juu na kwa kuwa ilikuwa ni kweli, utakuwa umempa huyo mwanamme nafasi ya kufikiria maamuzi yake upya. Muombe msamaha kuwa ulikuwa mgeni hivyo ulipata woga kumjulisha
Tofauti na hapo, hayo machozi ya huyo mwanamke yatakufuata.....
Kwamba na mo atakuwa shabiki wa yanga maana sio kwa kuwapa pointi 4, ngao na mapinduzi cupMbunge ni shabiki wa Wananchi, na huyohuyo ni ndio leader wa Dom jiji.
amua wewe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aisee hata mm nimeshtuka, ila nimeshtuka zaidi boxer yenye maji kuruka kwenye neti kisha ikadunda na kwenda chumba cha pili [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Naona itakua chai[emoji23][emoji23][emoji23]Huo ukuta ni mfupi kiasi gani mpaka Bukta iweze kudondokea upande Wa pili? Ama uliirusha kwa Ku Dank?
Angalia ID yake anaitwaje utastaajabuHuu upuuzi ulishaletwa humu
Iyo bukta yako mkuu nmemuona nayo jamaa kwenye basi la Saratoga sijui anaenda nayo kigoma kukufanyaje
Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
Ndio,Kwamba na mo atakuwa shabiki wa yanga maana sio kwa kuwapa pointi 4, ngao na mapinduzi cup
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kama haimake sense hiviimagine unakung'uta bukta inarukia chumba cha pili tena ikiwa imeloa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]