Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,677
- 45,532
HahahahaaMimi siwezi mkuu.
Labda kwa Nguvu ya limbwata...hata mwanamke sitaki anifanyie.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahaaMimi siwezi mkuu.
Labda kwa Nguvu ya limbwata...hata mwanamke sitaki anifanyie.
Aiseh![emoji134][emoji134][emoji134]haya mambo ya kubadirisha bed kuwa meza ya chakula ni wendawazimu mkuu😀
Akikujibu nitaggKanuni gani ya afya imekiukwa?
Vipi tena Rafiki, hebu sema neno[emoji23] [emoji23] [emoji23] wanaume bwana!
Passport ninayo.You are beautiful...
Ngoja nitafute hela X Mass twende mahali nikufanyie mambo hayo.
Una passport?
Na Mzigua pia unampeleka?Wewe na mimi tunajua wapi tutaenda ku-practice hii kitu.
Nishafungua account ya vacation.
Kafanyaje tena uyo mrembo
Hii kanuni ya mazingira stahiki imewekwa na nani na kwa misingi ipi?Kula chakula katika mazingira yasiyo stahiki
Jamani Mimi nipo napanga nguo muda huu. Safari hii naomba mniachie Mimi nikafanyiwe hayo mambo wewe mwakanii.Hahahaahaaaa.. tutaenda wapi? Visiwanj, bagamoyo au Magoroto? Tunajipanga Nyerere day twende Magoroto wenzio. Wale wale tuloenda Dom
Passport ninayo.
Ila mbona xmass mbali sana.
Fanya mapema nione unavyojituma kama kiben10 cha fey tz ( sister fey)
Sawa mama nenda nae tu. Mimi December zamu yangu...Jamani Mimi nipo napanga nguo muda huu. Safari hii naomba mniachie Mimi nikafanyiwe hayo mambo wewe mwakanii.
Hahahaha hahaha napanda ndege mwenzio.Wivu mi visiwani wakati cute b naona kabisa unataka kumpeleka Maldives
Na Mzigua pia unampeleka?
Hapana Mimi sitakiiiiiiiiiiiiii
We we we mdanganye ni utani wa jf na wakati Mimi nishawaaga mashosti kwamba x mass sitakuwa Tanzania.Utani wa JF tu huo.
Wewe jipange, ukimaliza safari na rafiki zako, mwisho wa mwaka ni yetu.
Asee mambo ya Vacation ,kuna memba humu natamani niiende nae Vacation japo Nairobi tu au Serengeti mbugani ,hakika nitafanya zaidi ya hy kwa ajiri yakeWewe na mimi tunajua wapi tutaenda ku-practice hii kitu.
Nishafungua account ya vacation.
Sasa mbona unamwambia mzigua kwamba unanitania.Hahaha, haya mambo kipindi hiki siyo marahisi, unaweka malengo ya muda mrefu kabla ya kufanya.
Enzi za Mstaafu ungeshangaa tu hata ndani ya wiki nimekutafuta.