The branding
Senior Member
- Apr 17, 2022
- 186
- 320
Vita ni ushirika, hiyo ndo kanuni, kwani waarabu wamezuiwa kupeleka majeshi? Kwani Iran hana washirika?Kuna sehemu nimesema israhell ipo hovyo?
Ila pia kama nikisema israhell ipo hovyo ntakua sawa pia
Israhell iko pale ilipo kwasababu ya walioieka ila yenyewe kama yenyewe hata dakika tano haiwezi ikawepo pale ilipo
Unajua meli vita ngapi na zana na wanajeshi wamepelekwa na marekank uingereza ujerumani canad na wengine kwenda kuihami israhell baada ya iran kutishia kulipa kisasi cha haniyeh?
Kumbe hata nikisema israhell haina lolote ntakua niko sawa pia
Nenda telegram utaona picha sio picha tu mpaka videoMindset ya ajabu kwamba mpinzani lazima apinge tu, hata kama anawaambia ukweli msiopenda kuuskia, hao Hizbollah rockets zao nyingi zinakuwa intercepted wanajifurahisha tu, kama mnazo picha zikiua waisrael tuwekeeni hapa tuzione msilete story za "upinzani"
Uko nyuma ya keyboard unaenjoy maisha. You don't care.Asitupangie, akae mkao wa kula.
Huyu kiongozi ni puppet wa mayahudi.
Lebanon itaendelea kugawanywa, upande mmoja ukitawaliwa na Hezbollah na mwingine serikali
Ndio ujue kama israhell haina jambo bila washirikaVita ni ushirika, hiyo ndo kanuni, kwani waarabu wamezuiwa kupeleka majeshi? Kwani Iran hana washirika?
Sawaaa wee waingizee wenzanko kwenye moto alafuAsitupangie, akae mkao wa kula.
Huyu kiongozi ni puppet wa mayahudi.
Lebanon itaendelea kugawanywa, upande mmoja ukitawaliwa na Hezbollah na mwingine serikali
Aya anaemdhrau mwenzie yupo wapi now? Anajivinjari na bikira tuHuyo unajua wa Lebanon wanamuita nini Jaajah yani kuku 😄
Huyo ni kibaraka wa Israel nani atamsikiliza? Tena Nasurlah huwa ana mdharau sana bora hata yule Michael Owen anaheshimika upande wa wakristo.