Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,074
Tatizo ni kuwa unamtokea mtu ili unyandue umuache lakin yeye anakuja na mbinu za kukuweka karibu zaidi na ww unakuwa karibu kweli mnatengeneza bond ambayo si rahis kuivunja
Sio ulimbo tu na moments na care za mtu mnapokuwa kwenye mahusiano zinaweza kukufanya usiweze kumuachaIle mbinu ya kusema nagonga kisha naingia mitini unakutana na ulimbo unagonga unaganda hapo hapo
Hi mahondaw😘 , mimi ntaendelea kukuita Mahondaw wa smart no matter what! , how's your weekend?Nimesoma komments zote mpaka hapa!
Hivi mpaka sasa bado hajatokea mtu wa kumreplace yule jamaa?Amen napokea ila pia yawezekana kuna malipo hapa hapa duniani eeh huenda nalipia kwa wale niliowagaragaza pia hii dunia hii[emoji3]
Sometimes huwa tunawadanganya kwa ajili ya mapenzi, amani, furaha na kupunguza muda wa kujibu maswali.Ngumu mkuu,imagn yy anakir mwenyew kwamba amecheat na moyon hana aman,dawa ni kuachana nae tu japo ndo ivo natakiwa nijipe muda
Amen napokea ila pia yawezekana kuna malipo hapa hapa duniani eeh huenda nalipia kwa wale niliowagaragaza pia hii dunia hii[emoji3]
Sasa ndiyo unifokee mkuu, nishaomba msamaha kwa wote niowagaragaza mioyo yao namimi nisamehewe pia basii 😛Kumbe umeshajua hujui [emoji16][emoji16] ni vizuri pia waswahili husema jambo usilopenda kufanyiwa usimfanyie mwenzio
Ndiyo hajatokea mkuuHivi mpaka sasa bado hajatokea mtu wa kumreplace yule jamaa?
manake ni muda tangu uliposimulia hiyo break up
Mbaka saiz hakuna demu nileyekutana naye,, nika fall in love ,
Kiasi kwamba nikiachw naumia,
Huwa nawashangaa Sana watu wanaolia kisa mapenzi,
Yaan mm nikion dalili tu n mtoa moyoni fasta yaani naheshimu Sana hisia zangu ,
Nazi protect Sana, afu viti vidog Kama mapenz vije viniumize,
tupo pamoko man man!!Mbaka saiz hakuna demu nileyekutana naye,, nika fall in love ,
Kiasi kwamba nikiachw naumia,
Huwa nawashangaa Sana watu wanaolia kisa mapenzi,
Yaan mm nikion dalili tu n mtoa moyoni fasta yaani naheshimu Sana hisia zangu ,
Nazi protect Sana, afu viti vidog Kama mapenz vije viniumize,
Anywe soda popote alipoMimi mwenyewe niliwahi kumuacha demu fulani alikua ananipenda balaa. Aisee alibembeleza huyo, alilia mpaka mwishoni nikamuonea huruma nikaamua kumrudia. Alipoona nimekolea kisawasawa kwenye mapenzi akanipiga chini, kanilamba block mitandao yote, simu hapokei na akakata mawasiliano full!! Nilidata.
Sasa ndiyo unifokee mkuu, nishaomba msamaha kwa wote niowagaragaza mioyo yao namimi nisamehewe pia basii [emoji14]
Usijali kufokewa na msemo tu mkuu, sikua serious sana 🤔Basi umefanya vyema ila sijakufokea nilikua natilia msisitizo tu mkuu wangu
Usijali kufokewa na msemo tu mkuu, sikua serious sana [emoji848]
Ahsante usiku mwema pia rafiki[emoji6] ok lala Mama uwe na usiku mwema
Nipo kwenye situation iyo kwa Sasa mkuu mazoea ni mabaya sanaKama ilivyo adha na taadhima kwenye mapenzi hakuna bingwa!unaweza ukawa bingwa leo lakini hauwezi kuwa bingwa milele!
Kabla haujafa hujaumbika!katika maisha usije ukasema kamwe sitafanya kitu fulani!
Bali sema Mwenyezi Mungu naomba nisaidie ama niepushe nisifanya jambo fulani maana binadamu ni kiumbe dhaifu ana mapungufu yake!
Mimi niliwahi kuapa kamwe sitawahi kuja kurudiana na Ex girlfriend yeyote yule kwa namna yeyote ile!
Na kweli nilikuwa bingwa kwa muda fulani ila baada ya miaka 15 ya ulimwengu wa mapenzi na wanawake tofauti tofauti sikuwahi kumrudia ex girlfriend!
Ila sasa iliwahi kunitokea nikamuacha demu mmoja bila sababu za msingi kwa kujua mimi nipo fiti tu mapenzi hayanababaishi aisee gafla nilianza kukonda kila nikimsahau hasahuliki (labda uchawi ulitumika,maana wanawake wachawi sana wa mapenzi)mara demu baada ya miezi miwili akaanza kumpost baby wake nikazidi kuumia futa picha zote tulizopiga,block moja matata lakini aah!wapi maumivu per day vile vile!
Niliteseka miezi mitatu nikaona cha kufia nini!
Nikaenda kumuomba turudiane kwa vile alikuwa na yeye bado ananipenda jamaa akachezea kibuti matata!
Kipindi hicho cha miezi mitatu nilikuwa na girlfriend mwingine ile nilikuwa sijusikii chochote hata nikilazimisha kumpenda nashindwa!
Je? Na wewe ulishawahi kushindwa ku move on!?ilikuwaje?