KERO BRELA huduma zao mbovu hadi uwahonge pesa ndio wanakamilisha kazi yako

KERO BRELA huduma zao mbovu hadi uwahonge pesa ndio wanakamilisha kazi yako

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Nadhani Kuna mahala unakosea katika kuandaa nyaraka zako. Kama haujakamilisha niPM Wakati mwingine sisi watanzania tunakwama kwa sababu mambo yenye wataalam tunataka kufanya wenyewe na tunakuwa tukiogopesshwa kuhhsu mkopo. Kuna jamaa aliwah kuambiwa kusajili kampuni ni milion 5 akaona afanye yeye lakin ikawa inamsumbua. BRELA wana Changamoto ya staff lakini mengine ni sisi wenyewe
Kweli kabisa ni miezi miwili tangu nitumie maombi ya kufungua kampuni wanaleta masahihisho moja moja mpaka sasa mwezi wa pili masahihisho hayaishi! Brela ifunuliwe ipo hovyo kabisa!
 
Kuna mtu nimemfungulia kampuni hii ni wiki ya 4


Hii nchi sijui tunaenda wapi!


Siku nyingine piga simu rekodi halafu tupia humu iwe evidence kabisa
Nashauri tumieni consultant wenye uhakika wa kufanya kazi na kumaliza. Kuna consultant hana tofauti na mteja
 
Back
Top Bottom