KERO BRELA huduma zao mbovu hadi uwahonge pesa ndio wanakamilisha kazi yako

KERO BRELA huduma zao mbovu hadi uwahonge pesa ndio wanakamilisha kazi yako

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Nilichojifunza kuhusu BRELA ni kuwa: Watumishi wengi hawajawa na ujuzi wa kutoa huduma kupitia mtandao. Kipindi cha JPM ndio walikuwa wanapewa "Tuition" wakiwa kazini, hata hivyo hadi leo wachache wanaojua kidogo huishia kutoa huduma kwa malipo ya pembeni.
Mfumo wenyewe wa OBRS haufanyiwi "Update" hata kama una computer yako, ukituma maombi mfumo unajibu kupokea lakini hutapata mrejesho. Kwenye malipo ndio kabisa, pesa ukilipa hata kwa makosa hairudi hiyo, ukienda kudai wanakwambia ujaze fomu ya marejesho.
Kifupi tu ni kuwa BRELA ni tatizo zaidi kuliko kuwa suruhisho la urahisi wa kufanya biashara. Kwa usumbufu uliopo kwenye taasisi hiyo niliamua kuachana nao kabisa kwa miaka mitatu hadi juzi nilipowafuata kwenye maonyesho yao Mlimani City. Wengine wanaofuata mtindo usioeleweka kama BRELA ni mamlaka ya leseni. Huko nako hali ni hiyo hiyo ya kurubuni watu watoe rushwa.
 
Katika taasisi za hovyo hapa Tanzania BRELA inaongoza!
Hata huyo CEO wao Geofrey Nyaisa ni useless sijui hata Hayati Magufuli alimuokota BOT kitengo gani?!
Wawekezaji wengi wamekimbilia Rwanda kwani Tanzania kusajili tu Kampuni inaweza kuchukua Mwaka mzima pale BRELA!
Nilikuwa Mkoani nikachukua Mwaka mzima kubadili tu jina la Kampuni na MEMART ili niweze kupeleka BOT nipewe leseni ya kukopesha fedha!
Nikaomba nipewe Certified copy ya MEMART na nikalipia elfu 30, BRELA wakanitumia Document niliyosajilia Kampuni ambayo Haina mabadiliko yoyote!!!
Niliposafiri kwenda BRELA Dar es Salaam kufuatilia kuna Dada mmoja mweupe pale mapokezi mpuuuzi sana ananiambia sikuomba kupewa Certified copy, nikamwambia fungua system nikuonyeshe!
Kafungua system inaonyesha requested certified copy lakini bado akabishana na system eti sikuomba certified copy nikamuona mjinga sana!
Mwisho kwa aibu ananiambia niombe tena nikamwambia acha ujinga usidhani wengine hatujasoma!!
Mwisho kwa aibu akani printia document tena faint ambayo Haina ubora kabisa aka certify akanipa!
BRELA ni WA hovyo sana, Rushwa imetamalaki na Mteja kwao ni ADUI!
 
Brela hovyo kabisa ,Mimi niliwahi kwenda pale Posta ,,wakanitaka 1,500,000/= kubadilisha wamiliki .

Nimesusa kanisa .

Mjasiliali ndiyo naanza maisha kibiashara ili kupambana na umasikini lakini watu walio ofisini Kwa kwaajili yetu na wanalipwa mshahara wanakwamisha juhudi hizo za watanzania
 
Mbona kila sehemu zimeoza???
Acha zioze mzee, wa Tanzania wakiambiwa CCM haifai kuendelea kupumua hawataki kuelewa utadhani wamelishwa limbwata!
Na sasa hali ndio inazidi kuwa mbaya huku dharau ikikomaa. Bila kuamua kuipiga chini ccm tumekwisha
 
Watumishi njaa njaa tu unasubiri kitu miezi mitatu ?, eti mpgie flani dawa yao inachemka ipo siku ntawapa fedha za PCCB najua watanasa tu
PCCB nao ni wapumbavu eti wanasubiri kiongozi flani awambie nenda kachunguze pale, sasa ni lini waziri mkuu au mkuu wa wilaya atasajiri kampuni ili ajionee hayo madudu.
 
Usiniambie hao Brera, ukitaka kuongea nao kwa simu upange siku 2 au 3 za kutofanya kazi nyingine, muda wote huo hawapokei simu, hao pamoja na NEST japo NEST wameanza kujitahidi kwa siku za karibuni.Nashauri BRERA labda huo mfumo upelekwe TRA au hao waliopo wafukuzwe wote tuanze upya, ilinichukua miezi 6 kusajiri kampuni wakati mwingine ulipishwa kodi mara 2 ukiuliza hawakupi majibu, ukipiga simu hawapokei.Pale pameoza.
 
Ndugu zangu watanzania, sisi wajasiriamali tunaojaribu kufuata sheria na kuwa complied na sheria za Nchi tunapitia mengi sana.

Wakati wa JPM ulikuwa ukifanya returns BRELA au mabadiliko yoyote kwenye kampuni yako ulikuwa unapata huduma kwa haraka sana.

Nina miezi mitatu nimefile BRELA returns bila mafanikio, mwezi October mwanzoni Afisa mmoja wa BRELA akaniomba ili aweze kunikamilishia haraka nitoe 200,000. kwa kuwa kazi yangu ilikuwa imekaa muda mrefu nikawa sina msaada nikampatia.

Akaweza tu kunitengenezea Control Number nikalipa, baada ya hapo wananiambia kazi iko kwenye final stage, ili iweze kuwa approved inabidi nitoe 200,000 nyingine, just for a stupid and irresponsible person to press an approved button.

Nchi hii sijui tunaipeleka wapi, yaani mfumo wa Brela Online Registration System una urasimu mkubwa kuliko hata ule wa manual.

Mheshimiwa Waziri wa Viwanda na Biashara, na Maafisa wengine wote wanaohusika waingilie kati, wajaribu tu kuingia kwenye Online Portal ya Brela kujionea kazi ambazo zimewekwa pending bila sababu ya msingi.

Kwa kuwa wao wamekaa wanalipwa kwa kodi zetu hawajali kama wanatukwamisha katika shughuli za uzalishaji Mali au la.
Washikishe za moto hao pimbi
 
Nilichojifunza kuhusu BRELA ni kuwa: Watumishi wengi hawajawa na ujuzi wa kutoa huduma kupitia mtandao. Kipindi cha JPM ndio walikuwa wanapewa "Tuition" wakiwa kazini, hata hivyo hadi leo wachache wanaojua kidogo huishia kutoa huduma kwa malipo ya pembeni.
Mfumo wenyewe wa OBRS haufanyiwi "Update" hata kama una computer yako, ukituma maombi mfumo unajibu kupokea lakini hutapata mrejesho. Kwenye malipo ndio kabisa, pesa ukilipa hata kwa makosa hairudi hiyo, ukienda kudai wanakwambia ujaze fomu ya marejesho.
Kifupi tu ni kuwa BRELA ni tatizo zaidi kuliko kuwa suruhisho la urahisi wa kufanya biashara. Kwa usumbufu uliopo kwenye taasisi hiyo niliamua kuachana nao kabisa kwa miaka mitatu hadi juzi nilipowafuata kwenye maonyesho yao Mlimani City. Wengine wanaofuata mtindo usioeleweka kama BRELA ni mamlaka ya leseni. Huko nako hali ni hiyo hiyo ya kurubuni watu watoe rushwa.
Jamani hata kupokea simu kunahitaji uzoefu?
 
Ndugu zangu watanzania, sisi wajasiriamali tunaojaribu kufuata sheria na kuwa complied na sheria za Nchi tunapitia mengi sana.

Wakati wa JPM ulikuwa ukifanya returns BRELA au mabadiliko yoyote kwenye kampuni yako ulikuwa unapata huduma kwa haraka sana.

Nina miezi mitatu nimefile BRELA returns bila mafanikio, mwezi October mwanzoni Afisa mmoja wa BRELA akaniomba ili aweze kunikamilishia haraka nitoe 200,000. kwa kuwa kazi yangu ilikuwa imekaa muda mrefu nikawa sina msaada nikampatia.

Akaweza tu kunitengenezea Control Number nikalipa, baada ya hapo wananiambia kazi iko kwenye final stage, ili iweze kuwa approved inabidi nitoe 200,000 nyingine, just for a stupid and irresponsible person to press an approved button.

Nchi hii sijui tunaipeleka wapi, yaani mfumo wa Brela Online Registration System una urasimu mkubwa kuliko hata ule wa manual.

Mheshimiwa Waziri wa Viwanda na Biashara, na Maafisa wengine wote wanaohusika waingilie kati, wajaribu tu kuingia kwenye Online Portal ya Brela kujionea kazi ambazo zimewekwa pending bila sababu ya msingi.

Kwa kuwa wao wamekaa wanalipwa kwa kodi zetu hawajali kama wanatukwamisha katika shughuli za uzalishaji Mali au la.
Hiki kitu nilikuwa Sikijui kabisa!
KUMBE KIPO NA NI KWELI!!!

TIC?
Mko wapi???

Hawa wanakwamisha Juhudi zote za Investment!

Wizara ya Viwanda na Biashara Mko wapi??

Hawa ni Wahuni kabisa!

Haichukui hata nusu saa kuwafyek Hawa wahusika!!!

Mh Waziri Ashantu aliongea vizuri sana kuhusu Leseni-Kila Mtu alifurahia LAKINI KWA MTINDO WA BRELA WAFANYABIASHARA Watahamisha mitaji licha ya Juhudi za Mama SSH.

WIZARA AMKAAAAAA

TIC AMKENIII!
 
Simba wamefukuza kocha nyie mnaleta mijadala yenye kuzua taharuki na kukwamisha juhudi za serikali yetu pendwa

Emu sherekeeni ushindi wa kitaifa maana ndiyo kwanza siku ya tatu ya goli za Aziz ki na Ngo’mbe wetu watano wa maziwa kutoka kwa Semaji Baba Kegan



Lakini na wewe unakubalije kupigwa kizembe na kuna Control No ya kulipia? Weka ushahidi tushughulike na huyo mtu, unaaambiwa lipa kwa Control No wewe unalipa kwa Lipa Namba huo ni uzwazwa.

#KATAA VISHOKA
 
Hiki kitu nilikuwa Sikijui kabisa!
KUMBE KIPO NA NI KWELI!!!

TIC?
Mko wapi???

Hawa wanakwamisha Juhudi zote za Investment!

Wizara ya Viwanda na Biashara Mko wapi??

Hawa ni Wahuni kabisa!

Haichukui hata nusu saa kuwafyek Hawa wahusika!!!

Mh Waziri Ashantu aliongea vizuri sana kuhusu Leseni-Kila Mtu alifurahia LAKINI KWA MTINDO WA BRELA WAFANYABIASHARA Watahamisha mitaji licha ya Juhudi za Mama SSH.

WIZARA AMKAAAAAA

TIC AMKENIII!
Ni sahihi wanakatisha tamaa na kuharibu dhamira ya uwekezaji na utengenezaji mzuri wa mazingira ya uwekezaji.
 
Simba wamefukuza kocha nyie mnaleta mijadala yenye kuzua taharuki na kukwamisha juhudi za serikali yetu pendwa

Emu sherekeeni ushindi wa kitaifa maana ndiyo kwanza siku ya tatu ya goli za Aziz ki na Ngo’mbe wetu watano wa maziwa kutoka kwa Semaji Baba Kegan



Lakini na wewe unakubalije kupigwa kizembe na kuna Control No ya kulipia? Weka ushahidi tushughulike na huyo mtu, unaaambiwa lipa kwa Control No wewe unalipa kwa Lipa Namba huo ni uzwazwa.

#KATAA VISHOKA
Control number unalipia. Kisha unaambiwa Ili iende haraka utoe pesa. Usipotoa inaenda kawaida.

Kama Brela ilinunua Online Registration System kwa 2.6 bilioni na service fee 600m kila mwaka kwanini haifanyi kazi automatically?

Ni uhuni na tamaa tu. Ndio mtu akiona muda unazidi kwenda na hao watu hawana hofu ya kuwajibishwa inabidi tu atoe pesa aweze kuendelea na kazi zake
 
Nilichojifunza kuhusu BRELA ni kuwa: Watumishi wengi hawajawa na ujuzi wa kutoa huduma kupitia mtandao. Kipindi cha JPM ndio walikuwa wanapewa "Tuition" wakiwa kazini, hata hivyo hadi leo wachache wanaojua kidogo huishia kutoa huduma kwa malipo ya pembeni.
Mfumo wenyewe wa OBRS haufanyiwi "Update" hata kama una computer yako, ukituma maombi mfumo unajibu kupokea lakini hutapata mrejesho. Kwenye malipo ndio kabisa, pesa ukilipa hata kwa makosa hairudi hiyo, ukienda kudai wanakwambia ujaze fomu ya marejesho.
Kifupi tu ni kuwa BRELA ni tatizo zaidi kuliko kuwa suruhisho la urahisi wa kufanya biashara. Kwa usumbufu uliopo kwenye taasisi hiyo niliamua kuachana nao kabisa kwa miaka mitatu hadi juzi nilipowafuata kwenye maonyesho yao Mlimani City. Wengine wanaofuata mtindo usioeleweka kama BRELA ni mamlaka ya leseni. Huko nako hali ni hiyo hiyo ya kurubuni watu watoe rushwa.
ORS ilinunuliwa kwa 2.6 B na service fee kwa mwaka ni 600m. Sasa wanakosaje update wakati kila mwaka wanalipia 600m. Though ni ufujaji bado
 
ORS ilinunuliwa kwa 2.6 B na service fee kwa mwaka ni 600m. Sasa wanakosaje update wakati kila mwaka wanalipia 600m. Though ni ufujaji bado
Mkuu hujaweka namba kama ulivyoahidi jana
 
Control number unalipia. Kisha unaambiwa Ili iende haraka utoe pesa. Usipotoa inaenda kawaida.

Kama Brela ilinunua Online Registration System kwa 2.6 bilioni na service fee 600m kila mwaka kwanini haifanyi kazi automatically?

Ni uhuni na tamaa tu. Ndio mtu akiona muda unazidi kwenda na hao watu hawana hofu ya kuwajibishwa inabidi tu atoe pesa aweze kuendelea na kazi zake
Maombi hatumi mtu mmoja kwenye mfumo ninaamini hivyo, na wanao chakata hayo maombi si roboti huwenda ni binadamu kama wewe, unataka irudi BRELA ya shamba la bibi kama pale Ushirika foleni hapa na Mwandege? Muda mwingine kupongeza juhudi kunasaidia kuliko kutaka haraka na kuwatumia watu wa kati wanao wapiga.

BN ni 20,000/= na inasajiliwa kwa mfumo, Mtu anatafuta haraka anatoa Laki 2 kusajili BN hata kuangalia kama jina lipo au lah hafanyi, process inakwama hela kapigwa mzigo kwa wachakata maombi..... (BRELA)

#KATAA VISHOKA.............na weka ushahidi watu waruke na muhusika.
 
Katika taasisi za hovyo hapa Tanzania BRELA inaongoza!
Hata huyo CEO wao Geofrey Nyaisa ni useless sijui hata Hayati Magufuli alimuokota BOT kitengo gani?!
Wawekezaji wengi wamekimbilia Rwanda kwani Tanzania kusajili tu Kampuni inaweza kuchukua Mwaka mzima pale BRELA!
Nilikuwa Mkoani nikachukua Mwaka mzima kubadili tu jina la Kampuni na MEMART ili niweze kupeleka BOT nipewe leseni ya kukopesha fedha!
Nikaomba nipewe Certified copy ya MEMART na nikalipia elfu 30, BRELA wakanitumia Document niliyosajilia Kampuni ambayo Haina mabadiliko yoyote!!!
Niliposafiri kwenda BRELA Dar es Salaam kufuatilia kuna Dada mmoja mweupe pale mapokezi mpuuuzi sana ananiambia sikuomba kupewa Certified copy, nikamwambia fungua system nikuonyeshe!
Kafungua system inaonyesha requested certified copy lakini bado akabishana na system eti sikuomba certified copy nikamuona mjinga sana!
Mwisho kwa aibu ananiambia niombe tena nikamwambia acha ujinga usidhani wengine hatujasoma!!
Mwisho kwa aibu akani printia document tena faint ambayo Haina ubora kabisa aka certify akanipa!
BRELA ni WA hovyo sana, Rushwa imetamalaki na Mteja kwao ni ADUI!
Aisee. Pole sana . Tunafukuza wawekezaji kwa ujinga wetu
 
Back
Top Bottom