nokwenumuya
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 820
- 2,896
- Thread starter
- #21
MAMA TANO TENADuuh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MAMA TANO TENADuuh
Hehe! Ondoka na kwenye Uzi Sasa ukalijenge kanisa au msikiti...😂siko tayari kupata mapato ya aibu. kila mtu ana standard zake.
TRA nao wanakungoja wakupe makadirio makubwa ili baadae mkae chini uwape pesa wayapunguze, yaani wanafikiri mambo ni rahisi sana.ndio namimi nimeshangaa mkuu miaka ya zamani ilikuwa ukishapata control. number ulipe basi certificate unapata. inashangaza kudaiwa rushwa wakati wewe ni mlipa kodi tarajiwa kabisa. maana ukitoka hapo unaenda TRA maana yake hawa wanahujumu mapato ya nchi.
Hivi kwenye "eazy to do business index",..tz tuko nafasi ya ngapi?Ndugu zangu watanzania, sisi wajasiriamali tunaojaribu kufuata sheria na kuwa complied na sheria za Nchi tunapitia mengi sana.
Wakati wa JPM ulikuwa ukifanya returns BRELA au mabadiliko yoyote kwenye kampuni yako ulikuwa unapata huduma kwa haraka sana.
Nina miezi mitatu nimefile BRELA returns bila mafanikio, mwezi October mwanzoni Afisa mmoja wa BRELA akaniomba ili aweze kunikamilishia haraka nitoe 200,000. kwa kuwa kazi yangu ilikuwa imekaa muda mrefu nikawa sina msaada nikampatia.
Akaweza tu kunitengenezea Control Number nikalipa, baada ya hapo wananiambia kazi iko kwenye final stage, ili iweze kuwa approved inabidi nitoe 200,000 nyingine, just for a stupid and irresponsible person to press an approved button.
Nchi hii sijui tunaipeleka wapi, yaani mfumo wa Brela Online Registration System una urasimu mkubwa kuliko hata ule wa manual.
Mheshimiwa Waziri wa Viwanda na Biashara, na Maafisa wengine wote wanaohusika waingilie kati, wajaribu tu kuingia kwenye Online Portal ya Brela kujionea kazi ambazo zimewekwa pending bila sababu ya msingi.
Kwa kuwa wao wamekaa wanalipwa kwa kodi zetu hawajali kama wanatukwamisha katika shughuli za uzalishaji Mali au la.
nilifikiri ni mimi peke yangu nimekutana na thread kibao watu wanalalamika humu kuhusu huduma mbovu za brela, wakitaka kukomesha ujinga huo basi waje systems analyst wafanye analysis na utendaji kazi, wote wanaohujumu brela waondolewe kazini.Kwa kweli hali ni mbaya sana sana
malalamiko dhidi ya brela kumbe ni mengi sana aisee.BRELA huduma kwa wateja pokeeni simu za wateja
Habarini wadau, BRELA ni moja ya taasisi muhimu kwenye sekta ya uchumi wa nchi hii lakini imeoza kabisa kwa utoaji huduma hasa kwenye mawasiliano. Huduma kwa wateja hawapokei simu kabisaaa tangu jana pasipo sababu za msingi na baadhi ya huduma ka kufungua makampuni hawashughulikii kabisa...www.jamiiforums.com
brela kumeoza kama sehemu zingine zilivyooza.BRELA imerudi ilikotoka kwa kutoa huduma mbovu
BRELA mmerudi kulekule enzi za Mwalimu za huduma mbovu. Kipindi Rais Magufuli hajafariki ilikuwa huwezi kukaa zaidi ya siku tatu baada ya kufile application yoyote bila kufanyiwa kazi na namba ya bosi ilikuwa kwenye website yao kwa sasa hadi mwezi watu hawajitingishi. Kuna umuhimu mkubwa wa...www.jamiiforums.com
aliokota uRAIS, yuko kimya anakula kwa urefu wa kamba yake.KIZIMKAZI nchi hii inanuka rushwa na Wala hajali kabisa. Takataka tu
mnoooo. mtu unasubiri majibu miezi mitatu hakuna majibu na wameshakuomba pesa nje ya utaratibu lakini bado hawafanyi kazi yako, tena wanataka cash in advance, hawataki mkopo.Kwa kweli hali ni mbaya sana sana
huenda viwango vyetu sio vya dunia hii tena, tutakuwa kuzimu kabisa.Hivi kwenye "eazy to do business index",..tz tuko nafasi ya ngapi?
Watumishi njaa njaa tu unasubiri kitu miezi mitatu ?, eti mpgie flani dawa yao inachemka ipo siku ntawapa fedha za PCCB najua watanasa tunilifikiri ni mimi peke yangu nimekutana na thread kibao watu wanalalamika humu kuhusu huduma mbovu za brela, wakitaka kukomesha ujinga huo basi waje systems analyst wafanye analysis na utendaji kazi, wote wanaohujumu brela waondolewe kazini.
sio njaa, waliambiwa wale kwa urefu wa kamba yao, wanatimiza maagizo ya amiri jeshi mkuu, maana bila hivyo ni utovu wa nidamu kwa mkuu wa nchi, bora hata wakati wa jk, sasa hivi nchi ni kama gari bovu liko kwenye mteremko na steering imekatika.Watumishi njaa njaa tu unasubiri kitu miezi mitatu ?, eti mpgie flani dawa yao inachemka ipo siku ntawapa fedha za PCCB najua watanasa tu
😂😂😂huenda viwango vyetu sio vya dunia hii tena, tutakuwa kuzimu kabisa.
Ndugu zangu watanzania, sisi wajasiriamali tunaojaribu kufuata sheria na kuwa complied na sheria za Nchi tunapitia mengi sana.
Wakati wa JPM ulikuwa ukifanya returns BRELA au mabadiliko yoyote kwenye kampuni yako ulikuwa unapata huduma kwa haraka sana.
Nina miezi mitatu nimefile BRELA returns bila mafanikio, mwezi October mwanzoni Afisa mmoja wa BRELA akaniomba ili aweze kunikamilishia haraka nitoe 200,000. kwa kuwa kazi yangu ilikuwa imekaa muda mrefu nikawa sina msaada nikampatia.
Akaweza tu kunitengenezea Control Number nikalipa, baada ya hapo wananiambia kazi iko kwenye final stage, ili iweze kuwa approved inabidi nitoe 200,000 nyingine, just for a stupid and irresponsible person to press an approved button.
Nchi hii sijui tunaipeleka wapi, yaani mfumo wa Brela Online Registration System una urasimu mkubwa kuliko hata ule wa manual.
Mheshimiwa Waziri wa Viwanda na Biashara, na Maafisa wengine wote wanaohusika waingilie kati, wajaribu tu kuingia kwenye Online Portal ya Brela kujionea kazi ambazo zimewekwa pending bila sababu ya msingi.
Kwa kuwa wao wamekaa wanalipwa kwa kodi zetu hawajali kama wanatukwamisha katika shughuli za uzalishaji Mali au la.
Kila mahali uvundo umerudi kama zamani kipindi cha Jk. Mahakama imejaa majaji wala rushwa kama Jaji Salma Maghimbi, ambao walipaswa kuisaidia hii nchi. Urasimu nchi hii ni wa kiwango cha kutisha sana.
Kuna ka business name kangu nilikuwa nasajiri naona week imekata bado sijapata majibu. Status iko waiting for final decision. Brela sikuhizi imekuwa ya kipumbavu sana.
mama anaupiga mwingi
siko tayari kupata mapato ya aibu. kila mtu ana standard zake.
ndio namimi nimeshangaa mkuu miaka ya zamani ilikuwa ukishapata control. number ulipe basi certificate unapata. inashangaza kudaiwa rushwa wakati wewe ni mlipa kodi tarajiwa kabisa. maana ukitoka hapo unaenda TRA maana yake hawa wanahujumu mapato ya nchi.
ndugu yangu usipowapa pesa kila siku ni masahihisho kama unarudia QT, leo utaambiwa ondoa muhuri wa wakili kwenye memorandum, mara fanya hivi na vile, ilimradi ujiongeze ukampe pesa huku wewe unazidi kudhoofika, pesa umewalipa na kazi zako zinakwama.Kweli kabisa ni miezi miwili tangu nitumie maombi ya kufungua kampuni wanaleta masahihisho moja moja mpaka sasa mwezi wa pili masahihisho hayaishi! Brela ifunuliwe ipo hovyo kabisa!
mbona miezi miwili bado? usipowapa pesa wewe jiandae kuanza business operations zako 2025.Kweli kabisa ni miezi miwili tangu nitumie maombi ya kufungua kampuni wanaleta masahihisho moja moja mpaka sasa mwezi wa pili masahihisho hayaishi! Brela ifunuliwe ipo hovyo kabisa!