KERO BRELA huduma zao mbovu hadi uwahonge pesa ndio wanakamilisha kazi yako

KERO BRELA huduma zao mbovu hadi uwahonge pesa ndio wanakamilisha kazi yako

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
ndio namimi nimeshangaa mkuu miaka ya zamani ilikuwa ukishapata control. number ulipe basi certificate unapata. inashangaza kudaiwa rushwa wakati wewe ni mlipa kodi tarajiwa kabisa. maana ukitoka hapo unaenda TRA maana yake hawa wanahujumu mapato ya nchi.
TRA nao wanakungoja wakupe makadirio makubwa ili baadae mkae chini uwape pesa wayapunguze, yaani wanafikiri mambo ni rahisi sana.
 
Ndugu zangu watanzania, sisi wajasiriamali tunaojaribu kufuata sheria na kuwa complied na sheria za Nchi tunapitia mengi sana.

Wakati wa JPM ulikuwa ukifanya returns BRELA au mabadiliko yoyote kwenye kampuni yako ulikuwa unapata huduma kwa haraka sana.

Nina miezi mitatu nimefile BRELA returns bila mafanikio, mwezi October mwanzoni Afisa mmoja wa BRELA akaniomba ili aweze kunikamilishia haraka nitoe 200,000. kwa kuwa kazi yangu ilikuwa imekaa muda mrefu nikawa sina msaada nikampatia.

Akaweza tu kunitengenezea Control Number nikalipa, baada ya hapo wananiambia kazi iko kwenye final stage, ili iweze kuwa approved inabidi nitoe 200,000 nyingine, just for a stupid and irresponsible person to press an approved button.

Nchi hii sijui tunaipeleka wapi, yaani mfumo wa Brela Online Registration System una urasimu mkubwa kuliko hata ule wa manual.

Mheshimiwa Waziri wa Viwanda na Biashara, na Maafisa wengine wote wanaohusika waingilie kati, wajaribu tu kuingia kwenye Online Portal ya Brela kujionea kazi ambazo zimewekwa pending bila sababu ya msingi.

Kwa kuwa wao wamekaa wanalipwa kwa kodi zetu hawajali kama wanatukwamisha katika shughuli za uzalishaji Mali au la.
Hivi kwenye "eazy to do business index",..tz tuko nafasi ya ngapi?
 
 
 
Kwa kweli hali ni mbaya sana sana
nilifikiri ni mimi peke yangu nimekutana na thread kibao watu wanalalamika humu kuhusu huduma mbovu za brela, wakitaka kukomesha ujinga huo basi waje systems analyst wafanye analysis na utendaji kazi, wote wanaohujumu brela waondolewe kazini.
 
malalamiko dhidi ya brela kumbe ni mengi sana aisee.
 
brela kumeoza kama sehemu zingine zilivyooza.
 
Kwa kweli hali ni mbaya sana sana
mnoooo. mtu unasubiri majibu miezi mitatu hakuna majibu na wameshakuomba pesa nje ya utaratibu lakini bado hawafanyi kazi yako, tena wanataka cash in advance, hawataki mkopo.
 
nilifikiri ni mimi peke yangu nimekutana na thread kibao watu wanalalamika humu kuhusu huduma mbovu za brela, wakitaka kukomesha ujinga huo basi waje systems analyst wafanye analysis na utendaji kazi, wote wanaohujumu brela waondolewe kazini.
Watumishi njaa njaa tu unasubiri kitu miezi mitatu ?, eti mpgie flani dawa yao inachemka ipo siku ntawapa fedha za PCCB najua watanasa tu
 
Watumishi njaa njaa tu unasubiri kitu miezi mitatu ?, eti mpgie flani dawa yao inachemka ipo siku ntawapa fedha za PCCB najua watanasa tu
sio njaa, waliambiwa wale kwa urefu wa kamba yao, wanatimiza maagizo ya amiri jeshi mkuu, maana bila hivyo ni utovu wa nidamu kwa mkuu wa nchi, bora hata wakati wa jk, sasa hivi nchi ni kama gari bovu liko kwenye mteremko na steering imekatika.
 
Kweli kabisa ni miezi miwili tangu nitumie maombi ya kufungua kampuni wanaleta masahihisho moja moja mpaka sasa mwezi wa pili masahihisho hayaishi! Brela ifunuliwe ipo hovyo kabisa!
Ndugu zangu watanzania, sisi wajasiriamali tunaojaribu kufuata sheria na kuwa complied na sheria za Nchi tunapitia mengi sana.

Wakati wa JPM ulikuwa ukifanya returns BRELA au mabadiliko yoyote kwenye kampuni yako ulikuwa unapata huduma kwa haraka sana.

Nina miezi mitatu nimefile BRELA returns bila mafanikio, mwezi October mwanzoni Afisa mmoja wa BRELA akaniomba ili aweze kunikamilishia haraka nitoe 200,000. kwa kuwa kazi yangu ilikuwa imekaa muda mrefu nikawa sina msaada nikampatia.

Akaweza tu kunitengenezea Control Number nikalipa, baada ya hapo wananiambia kazi iko kwenye final stage, ili iweze kuwa approved inabidi nitoe 200,000 nyingine, just for a stupid and irresponsible person to press an approved button.

Nchi hii sijui tunaipeleka wapi, yaani mfumo wa Brela Online Registration System una urasimu mkubwa kuliko hata ule wa manual.

Mheshimiwa Waziri wa Viwanda na Biashara, na Maafisa wengine wote wanaohusika waingilie kati, wajaribu tu kuingia kwenye Online Portal ya Brela kujionea kazi ambazo zimewekwa pending bila sababu ya msingi.

Kwa kuwa wao wamekaa wanalipwa kwa kodi zetu hawajali kama wanatukwamisha katika shughuli za uzalishaji Mali au la.

Kila mahali uvundo umerudi kama zamani kipindi cha Jk. Mahakama imejaa majaji wala rushwa kama Jaji Salma Maghimbi, ambao walipaswa kuisaidia hii nchi. Urasimu nchi hii ni wa kiwango cha kutisha sana.

Kuna ka business name kangu nilikuwa nasajiri naona week imekata bado sijapata majibu. Status iko waiting for final decision. Brela sikuhizi imekuwa ya kipumbavu sana.

mama anaupiga mwingi

siko tayari kupata mapato ya aibu. kila mtu ana standard zake.

ndio namimi nimeshangaa mkuu miaka ya zamani ilikuwa ukishapata control. number ulipe basi certificate unapata. inashangaza kudaiwa rushwa wakati wewe ni mlipa kodi tarajiwa kabisa. maana ukitoka hapo unaenda TRA maana yake hawa wanahujumu mapato ya nchi.
 
Kweli kabisa ni miezi miwili tangu nitumie maombi ya kufungua kampuni wanaleta masahihisho moja moja mpaka sasa mwezi wa pili masahihisho hayaishi! Brela ifunuliwe ipo hovyo kabisa!
ndugu yangu usipowapa pesa kila siku ni masahihisho kama unarudia QT, leo utaambiwa ondoa muhuri wa wakili kwenye memorandum, mara fanya hivi na vile, ilimradi ujiongeze ukampe pesa huku wewe unazidi kudhoofika, pesa umewalipa na kazi zako zinakwama.
 
Kweli kabisa ni miezi miwili tangu nitumie maombi ya kufungua kampuni wanaleta masahihisho moja moja mpaka sasa mwezi wa pili masahihisho hayaishi! Brela ifunuliwe ipo hovyo kabisa!
mbona miezi miwili bado? usipowapa pesa wewe jiandae kuanza business operations zako 2025.
 
Back
Top Bottom