Briffault's Law inasema Mwanamke hawezi kuwa na mahusiano ya aina yoyote na mwanaume kama hafaidiki

Briffault's Law inasema Mwanamke hawezi kuwa na mahusiano ya aina yoyote na mwanaume kama hafaidiki

Screenshot_20241006-002349.png

Mtaalamu anakukataa, tafiti zake hazihusiani na binadamu
 
Siyo kweli..nina mwanamke ambae kila nikitafakari waga nakosa majibu.
Hakuna cha maana nampa,kuna muda makofi yanamhusu ila yupo na mimi..
Sina kazi ya maana,ila till now kanizalia watoto wawili
Ni jeuri na mbishi tukigombana but she is royal to me hata nikitaka pesa kwake napata
Anachopata kwangu ni mapenzi mawazo yangu coz almost matatizo yake huniambia,nampanga na kumshauri adi anaenjoy coz ananiamini to the maximum
Tuna miaka 8 sasa,since 2016.
nmepanga mwaka kesho nifike kwao,mungu anipe tu wepesi kwenye harakati zangu za kila siku.
So the guy was wrong,mwanamke akikuamini na ukaweza kumfanya afurahi utakula vyote vyake.
Yeah bro but am too broke kias kwamba ambacho nina uhakika wa kumpa ni vocha tu....Ninahangaika huku na kule kuna muda nakata tamaa namwambia akipata me aolewe tu, majibu yake ye yupo tayari kuvumilia na kusubiri hajachoka kusubiri hapo mwanaume napewa booster ya kupambana ila kitaa kwa moto sana..

Ningekuwa na pesa huyu kwangu ni mwanamke wa kufanya nae maisha,ila sasa hili jaribu au majaribu ya kukosa shilingi kwangu ni kipengele
Ila mimi ndo nilimtoa bikra wazee😀
 
Siyo kweli..nina mwanamke ambae kila nikitafakari waga nakosa majibu.
Hakuna cha maana nampa,kuna muda makofi yanamhusu ila yupo na mimi..
Sina kazi ya maana,ila till now kanizalia watoto wawili
Ni jeuri na mbishi tukigombana but she is royal to me hata nikitaka pesa kwake napata
Anachopata kwangu ni mapenzi mawazo yangu coz almost matatizo yake huniambia,nampanga na kumshauri adi anaenjoy coz ananiamini to the maximum
Tuna miaka 8 sasa,since 2016.
nmepanga mwaka kesho nifike kwao,mungu anipe tu wepesi kwenye harakati zangu za kila siku.
So the guy was wrong,mwanamke akikuamini na ukaweza kumfanya afurahi utakula vyote vyake.
Dah! muheshimu sana huyo mkeo,ni adimu kupata wa hivyo kwa generation z,otherwise awe anatoka familia ya kitajir kwamba anachotaka kwako ni mapenzi ya dhati.
 
Faida ni nini ? Ukishafahamu hilo basi hakuna mahusiano yoyote ya maana ambayo hayana faida kwa walengwa na kama yapo at any given time hao watu wanapotezeana muda ni bora kila mtu akakata kona....

Quid Pro Quo sio lazima iwe material things...
 
Back
Top Bottom