Bro hafai kabisa. Ukweni wamechoka sana. Hawana hamu

We jamaa kila kitu unataka kuprove watu unakiweza?[emoji23][emoji23]

Mie huwa napuuzia mpaka wanashangaa
 
Mahari mmetoka kutoa last week,leo wana 2kids,,ni chizi pekee atakaeisoma hii utumbo yako,,,,chizi wa hed
Hata kama story yakutunga ila wewe BICHWA lako zito SANA kauze Skrepa tu
 
Daaaah huo ndo uanaume. Binafsi nachukia sana familia inayowafanya mabinti zao kuwa kitega uchumi. Kuoana ni kitendo cha kuunganisha familia sasa unapanga mahari ili kuikomoa halafu siku mnapata shida mnakimbilia wapi?

Ifike hatua wazazi wajifunzee. Loooh maamuzi yake mwamba kama ya brother Deepond

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa ndio wanaume wanaotakiwa Sasa,hao wapuuzi Wakome kama walidhani mtoto wao ni asset itawatoa ndio imeshawakata hivyo..

Kwanza Mimi nilishasema siwezi toa magari zaidi ya mil.2.
 
Hawa ndio wanaume wanaotakiwa Sasa,hao wapuuzi Wakome kama walidhani mtoto wao ni asset itawatoa ndio imeshawakata hivyo..

Kwanza Mimi nilishasema siwezi toa magari zaidi ya mil.2.
Bro huwa namkubali sana... Mnaweza mkawa mnajadiliana kitu akawa kimya.... Wana ndugu mtajadiliana weeeeee. Akiona hamfikii hitimisho anaamka zake anaenda fanya maamuzi aliyoona yeye yanafaa.
 
Nipo nawaza bro ajengewe sanamu mkoa gani.
 
Wanaushenzi sana huko kati wanadhani pesa zinachumwa hapo kwenye miti.

Hio ndio dawa yao

Kingole kwa bro wako.

Hata Mimi ninaye mmoja wa pande hizo tutaenda kwa formula hio tu
Sana jamaa me nilikuwa naye nimepiga chini wa Arusha halafu mmbulu
 
Stori nzuri.... Ila last week mlienda kutoa mahari na sasa hivi bro wako ana 2 kids, serious[emoji23][emoji23][emoji23]
Huenda walioana sogea tukae so hapo walienda wakiwa wameshaoana kienyeji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…