Pangamalsy
Member
- Nov 22, 2021
- 40
- 37
Tofauti ni zito Kabwe alikutana na Samia akaanza kuzungumzia kuhusu Chadema badala ya kuzungumzia maada waliyoendea pale Dodoma!Lissu kakutana na Samia wamezungumzia ya Chadema na Ccm au serikali, ktk hilo hamna shida yeyote