Pangamalsy
Member
- Nov 22, 2021
- 40
- 37
Sasa kama alikubali kosa anatokaje?Ile lugha iliyotumika pale ni watu wachache waliielewa, huoni baada ya kunyoosha mkono kesho yake serikali iliona hakuna haja ya kuleta mashahidi wengine.
Mbowe alikubali kosa hivyo serikali imeona haina haja ya kuendelea kumshtaki, hivyo hivi karibuni anatoka mahabusu.
Punguwani Kaumia sana....roho mbaya na YAKIMASKINI....hili jambo limekuumiza sana eehhYaani kitu kidogo tu tuanasahau madhira yanayotukumba kila mwaka nenda rudi. Tumeshakuwa kama maboya yasiyojitaambua kabisa.
Leo naona kila kona mayoweee kibao. Makelele kibao mkiulizwa je kuna tija gani kwa chama chetu na watanzania kwa ujumla hakuna jibu.
Mnatia aibu sana.
Hivi mawaziri vivuli wa zito wamefikia wapi? Zito anamikwala Sana, siasa inaanza mkataa,View attachment 2121279
Samia ni mtu mwema! Sasa zamu ya mbowe kutoka jela! na kutumbuliwa mapolisi wakiofanya uhuni huu
We jamaa una roho za kimaskini sana.Yaani kitu kidogo tu tuanasahau madhira yanayotukumba kila mwaka nenda rudi. Tumeshakuwa kama maboya yasiyojitaambua kabisa.
Leo naona kila kona mayoweee kibao. Makelele kibao mkiulizwa je kuna tija gani kwa chama chetu na watanzania kwa ujumla hakuna jibu.
Mnatia aibu sana.
Watu maskini huwaza kuumiza wenzao tu Maskini wa Roho.Punguwani Kaumia sana....roho mbaya na YAKIMASKINI....hili jambo limekuumiza sana eehh
Swadakta.Chadema ilihitaji WIN WIN situation na sio alivyotaka zitto na serikali yao. Zitto n mshirika wa serikali ya CCM so far hawezi kuwa sehemu ya kutatua changoto za chadema. Ndio maana chadema waliomba mkutano mapema sana, changamoto walizokutana nazo chadema huwezi kulinganisha na chama cha zitto wala mbatia.
Kwa hili chadema wameongeza imani kwa wananchi kwa walichokisimamia.
Kwa lugha nyepesi tunasema pande Zote zinanufaika na hili jambo, na sio alivyotaka zitto kuonekana yeye ndio mwema wakati n mnafiki wakufa.Swadakta.
Mh Tundu Lissu na Mh Samia wamekuwa mifano bora wa maridhiano. Sisi wananchi ni kufuata yote mema.
Zitto alishaga poteza matumaini kwa watanzania amebaki anajitwangia twangia tu.Kwa lugha nyepesi tunasema pande Zote zinanufaika na hili jambo, na sio alivyotaka zitto kuonekana yeye ndio mwema wakati n mnafiki wakufa.
ACT watakupinga kwa hili hahahaZitto alishaga poteza matumaini kwa watanzania amebaki anajitwangia twangia tu.
Lissu/chadema waliomba kukutana na mama Samia tangu mwaka jana kabla ya bwana yako Zitto hajaanza.Wale waliokuwa wanagomea vikao na serikali hapa nchini wanachanganyikiwa, Lissu level nyingine, anajua maana ya Siasa, tofauti na mburura zilizo hapa nchini. Zitto kabwe alisema mapema, Chadema wakambeza...
Hatuna umeme siku ya 10 Dogo hayo mengine ni ya kawaida tuYaani kitu kidogo tu tuanasahau madhira yanayotukumba kila mwaka nenda rudi. Tumeshakuwa kama maboya yasiyojitaambua kabisa.
Leo naona kila kona mayoweee kibao. Makelele kibao mkiulizwa je kuna tija gani kwa chama chetu na watanzania kwa ujumla hakuna jibu.
Mnatia aibu sana.