Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,939
- 10,403
Sijui wale walomtendea maovu na wanaomtukana TL kisa siasa za vyama huko waliko wanajisikiaje...Hiki ni kitendo cha kiuungwana mno, kwa hili mama kula TANO za kwangu.
Ni mwanzo mzuri mno wa Lissu kukutana na IKULU ya Tanzania 🇹🇿 kwa mazunguzo; siasa si uadiu kama vile baadhi ya wana CCM walituaminisha.
Kwa aliyopitia Lissu ni haki yake kupata neno fupi la matumaini toka kwa Rais wa nchi.
Niumie kitu gani?wananilisha mimi hao?we vp nna mambo kibao ya kufanya kuliko kufatilia huo upumbavu.Unaonekana unaumia sana kwa Rais kukutana na Tundu Lisu, vumilia tu bado kuna mengi yanakuja.
Cc johnthebaptist
Balozi wa Tz huko Belgium na Staff wako Mjitafakari. Ina maana mmeshindwa kupata furnitures zinazoendana na hadhi ya Rais!!? Viti gani hivyo sasa. Halafu ona jinsi Picha ya Rais ilivyowekwa, yaani ilivyoegeshwa inaonyesha kama imeletwa kwa kushitukizwa tu. Rais wetu hapendi makuu lakini ni vema kuutendea haki Urais alionao.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia, amekutana na kufanya Mazungumzo na Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) Tundu Lissu.
Ni baada ya Lissu kuomba kuonana naye.
Walizungumzia mambo mbalimbali kuhusu ustawi wa Tanzania.
Pia, soma
1). Makamu wa Rais, Samia Suluhu amtembelea Tundu Lissu hospitalini Nairobi
2). Tundu Lissu afutiwa kesi zote za uchochezi
3). Summary ya Maongezi ya Rais Samia na Tundu Lissu
View attachment 21215341. Ajenda ilikuwa "hali ya siasa ya nchi yetu." mazungumzo yamechukua takribasi saa moja, na mojawapo ya mambo niliyozungumza nae ni juu ya mwenendo wa kesi ya Mbowe
View attachment 2121277
View attachment 2121284View attachment 2121285
View attachment 2121326
Picha: Rais Samia alipokutana na Tundu Lissu nchini Ubelgiji
UPDATES: LISSU AELEZA MAMBO SABA (7) ALIYOZUNGUMZA NA RAIS SAMIA
2. Ajenda ya pili ni suala na la vyama vya upinzani kufanya shughuli za kisiasa kwa mujibu wa sheria.
3. Jambo la tatu ni suala la Katiba Mpya na nimemwambia Mh. Rais ana nafasi ya kuhakikisha tunapata Katiba Mpya na anatengeneza mfumo wa kidemokrasia.
4. Ajenda ya nne, ni inayonihusi mimi na wenzangu tuliolazimika kuikimbia nchi yetu sababu ya vitisho. Nimemwambia Rais kwa mamlaka yake, nina haki ya kupatiwa matibabu kwa mujibu wa sheria, na mazingira yanayohusu kuondolewa kwangu Tundu A. Lissu bungeni na kutokulipwa mafao yangu.
5. Nimemwambia Mh. Rais kuwa mimi Tundu A. Lissu ninahitaji kurudi nyumbani na ninahitaji atoe kauli ya kunikaribisha nyumbani na nitakuwa salama, nimehakikishiwa nitapata hati ya kusafiria, kwa kuwa yangu iliibiwa Ujerumi. Nimewaongelea pia wenzangu Wenje Ezekiah na Godbless Lema
6. Nimemweleza mh. Rais sisi Chadema hatuna wabunge Bungeni kwa kuwa wale wabunge tumewafukuza uanachama. Nimemwomba Mh. Alishughulikie hilo.
7. Ajenda ya mwisho nimemwomba Mh. Rais atuongoze katika kuliponya Taifa kutokana na majeraha tuliyonayo, kwa kutekeleza ahadi yake ya kukutana na viongozi wa vyama vya upinzani.
Pia soma: Summary ya Maongezi ya Rais Samia na Tundu Lissu yaliyofanyika Ubelgiji
Hata asipotengeneza kabla ya 2025, anaweza kutengeneza kabla ya 2030, Tanzania bado ipo sana mkuu.
CCM hatuna shida ya kukutana na upinzani Ila upinzani no shida hawataki hasa Chadema kumbuka Raisi Samia alikutana na vyama vyote vya upinzani Ila kikao Chadema peke yao walisusa!!!Kuna wana CCM baadhi hawatapenda kitendo cha kiuungwana alichoonyesha mama kukutana na Lissu huko ughaibuni.
Wao wanataka tubakie na siasa zilezile za chuki, kuwindana mitaani mchana mchana na kuundiana kesi za kubambika.
Sasa wana CCM wenzangu ni kwamba hizo siasa zishaondoka; sote ni watanzania na ni ndugu.
Katiba mpya oyeee
CCM hatuna shida ya kukutana na upinzani Ila upinzani no shida hawataki hasa Chadema kumbuka Raisi Samia alikutana na vyama vyote vya upinzani Ila kikao Chadema peke yao walisusa!!!
Wenzao walikutana Rais hapo mshari nani kama sio Chadema?
Chadema ndani inaonekana kuna makundi mawili kundi taka Shari chini ya Mbowe ,Mnyika na genge lao na kundi lisilotaka Shari LA Tundu Lisu
Msimamo aliionyesha Lisu nje kukutana na Raisi Samia uko tofauti na msimamo wa hawa viongozi wa Chadema walioko ndani ya nchi
Hawa wa ndani hopeless kabisa ona sasa wanavyochekelea Lisu kukutana na Raisi wao kiliwashinda nini kukutana naye alipokutana na vyama vyote vya siasa? hata hapa ndani ya nchi ingwezekana mbona na opportunity Raisi aliitoa walioitikia akakutana nao
Niseme wazi chadema hawaelewi sasa hivi kuwa wanasimamia nini.Sababu kuu ni Chadema kujiona wao ndio pekee upinzani wengine wote hna kitu matokeo yake sasa wanaanza kupitwa hata na ACT wazalendo ambayo ilikuwa na wanachama wachache tu waha was kigoma sasa hivi imekamata baraza LA wawakilishi na serikali ya Zanzibar na kina wanachama kibao nchi ya Zanzibar sababu wako makini kisiasa.Na ndio chama kikuu cha upinzani kwa sasa sababu kinashika serikali Zanzibar chadema Zanzibar hawana kiti hats mjumbe tu wa nyumba kumi hawana
Njoo unguja na siku unapanda chombo please niPM fasta nije.Wewe sema ni wapi tukutane,utaniona bila shida
Kabisa Crimea, ingekuwa nchi zingine moja ya issue kama, umeme, maji, kumtafutia mtu kesi ya ugaidi, kisa kaomba katiba mpya.Siasa za Tanzania ni kituko mkuu
Mkuu ULIJUWAJE....ShikamooThe next thing ni hakimu wa kesi ya Mbowe atamuachia huru Mbowe soon
This was well known before.
Tunataka amani kwa taifa letuAsante Lissu Asante Samia....
Mnama Nakusalimia Mkuu....Hii habari chungu sana kwa Bavicha
Niko Babati Smart bar laga zinashuka kama mvua....Tunataka amani kwa taifa letu
Hongera sn mkuu wasalimie hapoNiko Babati Smart bar laga zinashuka kama mvua....
Zimefika Mkuu Babati imezizima kwa furahaHongera sn mkuu wasalimie hapo