BRUSSELS, UBELGIJI: Rais Samia akutana na Tundu Lissu na kufanya mazungumzo mafupi

Halafu si unajua hili gazeti na chief sio kivile?
 
Elewa jambo, Lissu kaomba kuonana na Samia akakubaliwa, Chadema Tz licha ya kumuandikia barua Samia ya kuonana nae walijibiwa watapangiwa siku lakini hiyo siku haikuwahi kufika, usikurupuke tafakari kwanza ndio uandike.
 
Good,

Yule shetani alikuwa na roho mbaya Sana, picha yake ya mwisho karibia na siku chache au mwezi mmoja kabla ya kifo chake Mungu alimbadilisha Hadi sura lake likawa Kama iblis,

Hile picha alipiga akiwa somewhere kwenye uzinduzi wa kituo Cha usafiri sijui wanini
 
Sukumagangs na Mataga ni wanafiki sana. Hivi walishindwa kabisa kumwambia kuwa zile picha zake hasa za kampeni hazikufaa kuwa public!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…