Kashishi yetu
JF-Expert Member
- Mar 22, 2014
- 3,509
- 3,741
Unachuki na Walimu we bumunda.Tujifunze kutenga muda wa kuongea na watoto wetu
Siku hizi wanapitia mengi sana huko shuleni. Huenda kuna mwl anamnyima Amani, au kuna wenzie wanamfanyia bullying hana pa kushtaki maskini. R.I.P mtoto mzuri
Fundi akili ndogo.Fundi kajiingiza kwenye msala ambao mpaka aje aruhusiwe kuondoka, atajieleza sana.
Yaani haipiti siku mbili tatu, lazima nimuulize dogo, kuna mtu anakusumbua shuleni iwe mwalimu au mwanafunzi nikamshughulikie......Tujifunze kutenga muda wa kuongea na watoto wetu
Siku hizi wanapitia mengi sana huko shuleni. Huenda kuna mwl anamnyima Amani, au kuna wenzie wanamfanyia bullying hana pa kushtaki maskini. R.I.P mtoto mzuri
Gone too soon little star.. The room has a story to tell..!Habari za usiku wakuu! Kuna mtoto wa miaka 10 amekutwa amejinyonga chumbani kwake hapa Buguruni.
Maelezo ya kina hayajapatikana ila kwa maelezo ya awali ni kwamba mtoto katoka shule mida ya saa tisa jioni na baada ya kufika nyumbani amefanya shughuli ndogo ndogo na baada ya muda umeingia chumbani na kujifungia humo.
Dada wa kazi baada ya kuona huyu mtoto kajifungia ndani kwa muda mrefu akaanza kupiga hodi ili mtoto afungue mlango.
Amepiga hodi sana baada ya kuona kimya na tayari hapo ni jioni kama saa 11 ikabidi atafutwe fundi avunje kitasa waingie ndani.
Baada ya kuingia ndani ndipo wakamkuta mtoto amejinyonya kwa kufunga kamba kwenye dirisha.
Polisi wamekuja wameuchukua mwili wa mtoto, dada wa kazi, kaka wa marehemu na fundi aliyevunja kitasa cha mlango.
Maelezo zaidi watakuwa nayo polisi baada ya kufanya uchunguzi wao
Mama ni psychopath, ni hatari sana kuwa na mama mwenye afya mbovu ya akili.Dah 🙆🏿♂️
Hata Watoto huwa wanapitia nyakati ngumu pia nakumbuka nilipokuwa na miaka 11 kuna mtoto mwenzetu alichukua uamuzi kama huo. Alichukua zile kamba za nailon za kufungia marobota ya mitumba akafunga kwenye mbao iliyokuwa inashikiria roof ya velandar bahati nzuri alipojiachia tu ile mbao ikavunjika maana ilikuwa imeshaliwa na dumuzi ilikuwa imebaki na muonekano mzuri lakinj ndani ilikuwa imebaki unga tu.
Sababu kubwa ilikuwa ni manyayaso ya Mama yake mzazi alikuwa anamtumikisha sana na maneno ya kumtukana yaani hakuna jambo alilolitenda lilikuwa jema mbele ya Mama yake.
13 at least tutasema keshaingi kwenye teen age. Anaweza kupata depression
Lkn 10 ni mdogo maskin
Na kwa nini arudi shule na kufanya shughuli zake kama kawaida! Then ndio achukue maamuzi ya kujinyonga?
Sidhani kama ana akili ya kufanya yote hayo. Huyo inawezekana sn kanyongwa then kawekwa tu ionekame ka commit suicide
Rip mtt mzuri
auma kwa mtoto wa miaka kumi? Ni post traumatic trauma kwa miaka kumi huyu mtoto ameexperince nini cha kumuumiza hisia yake?Trauma
?????Mama ni psychopath, ni hatari sana kuwa na mama mwenye afya mbovu ya akili.
Kwenye kifo tata maiti huwa haiguswi hadi waje police, na wabongo wengi hilo wanalijua,sasa nashangaa hao majirani wenye kiherehere cha kushusha maiti kwenye kamba na kuiweka chini kabla ya police kufika! Nazani kuna watu wana engineer hiko kifo kwa kupoteza ushahidi! Maiti iliyojinyonga hakuna mtu anaweza akaisogolea bila police kuwepo!!kabla ya askari kufika watu kibao wamesha jazana ndani pale.
Si unajua mazingira ya uswahilini na elimu kwenye haya mambo ni kama hatuna.
Walichukua kisu wakakata ile kamba aliyojinyongea marehemu (nimesikia wanasema hili ni kosa lilifanyika)
Kwamba ilitakiwa askari ndiyo waje wamtoe pale kwenye kitanzi.
Msaada gani huo wakushusha maiti kutoka kwenye kamba ya kujinyongea bila ya jeshi la polisi kuwepo!? Labda mngesema mtoto mmemkuta kwenye kamba anapaparika ikabidi mumuwai kukata kamba hapo kidogo mnaweza mkaeleweka, tena na lazima mtoto angekua hai sema taabani!!Waafrika utafikiri bila fikra za uchawi tungeishi milele. Mtoto anaweza kukerwa kufanyiwa ukatili wa kijinsia na mwalimu wake na kutishwa akisema atauawa akaachoka akaamua kujinyonga.
Sasa maamuzi ya polisi kuweka lock up watoa msaada unafanya sisi tunaosikia hayo kukataa kutoa msaada maana unatoa msaada halafu unawekwa ndani.
Inamaana walivunja tu mlango kabla hata ya kuanza kuchungulia dirishani!!??Fundi kazi anayo, tumeshinda wote leo tunapiga stori akaja kuchukuliwa mida ya jioni kwamba kuna mlango umefungwa kwa ndani aende akafungue.
Kwenda kuvunja ndiyo kakutana na huo msala.
Ni jamaa hivi ana masikio mazito (kama hasikii vizuri hivi) kazi anayo.
Ila namtakia kila la heri liwe upande wake
Tr
auma kwa mtoto wa miaka kumi? Ni post traumatic trauma kwa miaka kumi huyu mtoto ameexperince nini cha kumuumiza hisia yake?
Huyo fundi ,dada wa kazi ,kaka wa marehemu wamekurupuka kuvunja mlango bila kufuata process za kuita mjumbe/mwenyekiti wa mtaa then wao ndiyo wawaite polisi then wajke kuvunja mlango ,kimasihara masihara unaweza kwenda kuisaidia polisi hata miaka 7 kwa uzembe tu.Polisi wamekuja wameuchukua mwili wa mtoto, dada wa kazi, kaka wa marehemu na fundi aliyevunja kitasa cha mlango.
Ilitakiwa kabla ya kuvunja mlango wamuite na balozi wa mtaaHabari za usiku wakuu! Kuna mtoto wa miaka 10 amekutwa amejinyonga chumbani kwake hapa Buguruni.
Maelezo ya kina hayajapatikana ila kwa maelezo ya awali ni kwamba mtoto katoka shule mida ya saa tisa jioni na baada ya kufika nyumbani amefanya shughuli ndogo ndogo na baada ya muda umeingia chumbani na kujifungia humo.
Dada wa kazi baada ya kuona huyu mtoto kajifungia ndani kwa muda mrefu akaanza kupiga hodi ili mtoto afungue mlango.
Amepiga hodi sana baada ya kuona kimya na tayari hapo ni jioni kama saa 11 ikabidi atafutwe fundi avunje kitasa waingie ndani.
Baada ya kuingia ndani ndipo wakamkuta mtoto amejinyonya kwa kufunga kamba kwenye dirisha.
Polisi wamekuja wameuchukua mwili wa mtoto, dada wa kazi, kaka wa marehemu na fundi aliyevunja kitasa cha mlango.
Maelezo zaidi watakuwa nayo polisi baada ya kufanya uchunguzi wao
Ushawahi kupitia bullying ukiwa mdogo??Miaka 10 mkuu apate akili ya kujiua.