Buguruni, Dar: Mtoto wa miaka 10 akutwa amejinyonga chumbani kwake

Kama Mama yangu tu. Hakuwahi kuwa mwema wala kuwa na jema. apumzike kwa amani.
 
Ameacha ujumbe gani mkuu? Huyo atakuwa kanyongwa sio bure. Mtoto mdogo ana changamoto gani hadi kujinyonga? Serikali ifanye uchunguzi wa kina.
 
Ameacha ujumbe gani mkuu? Huyo atakuwa kanyongwa sio bure. Mtoto mdogo ana changamoto gani hadi kujinyonga? Serikali ifanye uchunguzi wa kina.
Mpaka jana begi lake la shule limepekuliwa kuona kama kuna ujumbe wowote kauacha lakini hakuna ujumbe wowote.
 
Wabanwe kende ukweli ujulikane.
Miaka 10 anajinyonga kwa sababu ipi?
Hana mpenzi hana stress za pesa nk
Hawa madada wa kazi nao wengine ni wa ajabu. Isije ikawa mtoto ameuawa, kisha akafungiwa ndani. Kuna wadada wa kazi wakiudhiwa na waajiri wao, wanaenda kulipizia kwa watoto.

Wazazi kuweni makini sana katika kuwapata wadada wa kazi, hasa unapokuwa na watoto.
 
niliwahi kujaribu kujiua nikiwa na miaka 11 nilimimina madawa ya mifugo kwenye soda fanta lakini sikuumwa hata tumbo. sishangai kwa huyo mtoto inawezekana kabisa. stress sio watu wazima pekee. mimi ilikua nina ugonjwa fulani ukawa unanipa shida sana kwenye maisha ya kila siku.
 
Unachuki na Walimu we bumunda.

Kwanini USISEME wazazi wake?

Kama aliuziwa na Mwalimu SI angejinylngea vyoo vya shuleni??

Tumia akili bichwa kubwa akili kisoda
No sio chuki mkuu,Mimi mwenyewe mwalimu ila alichoongea huyo mdau Yuko sahihi ,hawa watoto wanapitia magumu sana huku shuleni bila ya mzazi kujenga ukaribu na mtoto wake haya yaweza mkuta,

Yawezekana mtoto kabakwa/kanajisiwa na mwalimu na kutishiwa adhabu ikiwa atafichua Siri,Sasa kutokana na fadhaa kaamua kujiua,huoni kesi za walimu kubaka/ kunajisi wanafunzi ni nyingi sana siku hizi!?
 
Au sambusa zake zilipotea?Dada aseme tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…