Buguruni kunalemaza sana wakuu, hebu angalia nguvu ya 500!

Dah!.... Kalikuwa na inshu taiti kwelikweli!

Ile kojoleo sio ya nchi hii!.... Uzuri kalikuwa na hati punguzo...

Katikati ya show kama mlikubaliana viwili 5000, ukitaka cha 3 kwa kukaongeza Buku... Kanakubali hakana choyo!
Watu walikafaidi sana, walikuwa wanakatoa pate kwenye gest chafu ya Sewa,
Wanakapeleka White Horse nyuma ya Rozana ka Edwini, kanaoga vizuri halafu ndio show inaanza,
Asubuhi supu nzito, unakatoa twenty,
 
Hivi hili neno buguruni linaweza kuwa lina maanisha nn 😀
 
Kipindi nasoma, nilimaliza pesa yote ya Kutumia, Pale ndipo niligundua chocho flani ipo keko kule ndani ndani kwa mafundi wa kuranda,
Ugali nyama, na mboga za majani 250tsh,
Note, sio zamani ni chini ya miaka 10....
Tulikua tunaenda usiku, tukifika tunamuambia mama ntilie zima taa, lengo tusione tunachokula.

Tulikua mtu tatu, Jamaa yetu mboga Saba alisanda pale maduka mawili wakati tunatoka location akawa hawezi kutembea, aliendesha wiki tatu kasoro..
Baada ya ile term kuisha ndio mwanzo wangu wa nidhamu na pesa.
 
Halafu hapo nyuma ya soko....kulala buku 3....kitanda chake...kondomu yake na asubuhi maji ya kuoga unapelekewa bafuni...ukiongeza buku mbili unapata na staftahi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…