4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Kassim Majaliwa ndo anakuja Bukoba Muda huu
Not only kukosa hewa huwezi jua pengine kulikuwa na leakages maji yakaanza kujaa kwenye cabin.PM anapaswa kujiuzuru haraka kwa kuwa sehemu ya uzembe na aibu hii ya kushindwa kunusuru maisha ya watu katika umbali wa mita 100 kutoka nchi kavu.
Hii inatuonyesha hatuna utayari wowote kwenye majanga yenye kuhitaji akili, vitendea kazi na uharaka matokeo tunajikita kupiga ramli na blah blah nyiiingi..
inamaana hapo Bukoba kama mkoa hatuna hata Tag boat moja ya ton kadhaa yenye uwezo wa kuvuta hiyo kitu pamoja na team ya rescue inayoweza kufanya immediate response kwenye matukio kama haya?
kilichowaua waliokufa bila shaka ni kukosa hewa kwa kukaa muda mrefu bila uokozi, team yenye utalaam ilishindwa kufika haraka na kuangalia uwezekano wa kusupply hewa, na wengine wakiendelea na procidure nyingine za rescue kama kuivuta kwenda maji madogo nk.
Aliyetuambia JPM yuko busy ofisini anachapa kazi!!!Huyo lazima awepo maana yaonekana waliokufa ni wengi na yeye ndo atatoa taarifa kamili kwani Maafa yako Ofisi yake
Haya Mambo sijui huwa KWa faida ya nani aiseeTaarifa alizotoa Mganga wa mkoa na taarifa nilizonazo kutoka hapo Hosptali ya mkoa Government zinakinzana sioni umuhimu wa kutoa Taarifa za uongo.
AiseeTaarifa alizotoa Mganga wa mkoa na taarifa nilizonazo kutoka hapo Hosptali ya mkoa Government zinakinzana sioni umuhimu wa kutoa Taarifa za uongo.
Nadhani ukumbuki kilichotokea kwa MV Bukoba baada ya kuitoboa/kuikata ili kuokoa watu.Hapo wanapoivuta wanaokoa ndege au watu?
Labda sielewi mimi ila kwa akili tu ndege hiyo ilikuwa inaonekana bado na ipo kwenye kina kifupi
Swali kwanini hawakufanya jitihada za kukata juu ili waokoe watu?
Ndege inavyutwa utafikiri wanavuta nyangumi
Nasubiri comment za waliookolewa waseme walivyokuwa wanavutwa
Anaenda kufanya nini kwamba yeye ndio anaenda kuvuta hio ndege ambao kuanzia asubuhi mpaka saa hizi haijatoka kwenye maji huyo inatakiwa ajiuzulu maana ofisi za maafa ziko chini yakeNi jambo jema
Unasema eti ajiuzuru?Anaenda kufanya nini kwamba yeye ndio anaenda kuvuta hio ndege ambao kuanzia asubuhi mpaka saa hizi haijatoka kwenye maji huyo inatakiwa ajiuzulu maana ofisi za maafa ziko chini yake
bado na marubani na wahudumu.Hapo ina maana 14 bado. Yaani 26 wameokolewa, 3 marehemu bado 14 ambao mpaka sasa itakuwa ni miracles kama bado wako hai
Sasa ndio ivutwe na mikonoUnajua hiyo ndege ina tani ngapi?
Vitu vingine usiongee bila kujua
Bahati mbaya wote waliokuwa wanavutwa ni maiti. Corpses do not talk.Hapo wanapoivuta wanaokoa ndege au watu?
Labda sielewi mimi ila kwa akili tu ndege hiyo ilikuwa inaonekana bado na ipo kwenye kina kifupi
Swali kwanini hawakufanya jitihada za kukata juu ili waokoe watu?
Ndege inavyutwa utafikiri wanavuta nyangumi
Nasubiri comment za waliookolewa waseme walivyokuwa wanavutwa
Kwenye hiyo idadi ndiyo waliobaki. Which means that Rubani, wahudumu na abiria waliobaki jumla ni hao 14bado na marubani na wahudumu.
Ukiikata kwa juu unakuwa unaichinja ni hasara kwa shirika.Hapo wanapoivuta wanaokoa ndege au watu?
Labda sielewi mimi ila kwa akili tu ndege hiyo ilikuwa inaonekana bado na ipo kwenye kina kifupi
Swali kwanini hawakufanya jitihada za kukata juu ili waokoe watu?
Ndege inavyutwa utafikiri wanavuta nyangumi
Nasubiri comment za waliookolewa waseme walivyokuwa wanavutwa