4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Kabla ya kuondoka kutoka bk anakiwa tumbua watu , Uongozi wa Mkoa hata Kama vifaa maalum vya uokozi havipo, walishindwa pata hata magereda manne kuivuta ndege nchi kavu mpaka kuwaachia watu kuvuta kweli , Kama yanakosa mikoani hata wangejaribu ivuta KWa scania
Kassim Majaliwa ndo anakuja Bukoba Muda huu