Bukoba: Ndege ya Precision Air yapata ajali Ziwa Victoria, watu 19 wafariki dunia

Bukoba: Ndege ya Precision Air yapata ajali Ziwa Victoria, watu 19 wafariki dunia

PM anapaswa kujiuzuru haraka kwa kuwa sehemu ya uzembe na aibu hii ya kushindwa kunusuru maisha ya watu katika umbali wa mita 100 kutoka nchi kavu.

Hii inatuonyesha hatuna utayari wowote kwenye majanga yenye kuhitaji akili, vitendea kazi na uharaka matokeo tunajikita kupiga ramli na blah blah nyiiingi..

inamaana hapo Bukoba kama mkoa hatuna hata Tag boat moja ya ton kadhaa yenye uwezo wa kuvuta hiyo kitu pamoja na team ya rescue inayoweza kufanya immediate response kwenye matukio kama haya?

kilichowaua waliokufa bila shaka ni kukosa hewa kwa kukaa muda mrefu bila uokozi, team yenye utalaam ilishindwa kufika haraka na kuangalia uwezekano wa kusupply hewa, na wengine wakiendelea na procidure nyingine za rescue kama kuivuta kwenda maji madogo nk.
Not only kukosa hewa huwezi jua pengine kulikuwa na leakages maji yakaanza kujaa kwenye cabin.
 
Poleni sana
 

Attachments

  • IMG-20221106-WA0065.jpg
    IMG-20221106-WA0065.jpg
    27.9 KB · Views: 3
Hapo wanapoivuta wanaokoa ndege au watu?
Labda sielewi mimi ila kwa akili tu ndege hiyo ilikuwa inaonekana bado na ipo kwenye kina kifupi
Swali kwanini hawakufanya jitihada za kukata juu ili waokoe watu?

Ndege inavyutwa utafikiri wanavuta nyangumi
Nasubiri comment za waliookolewa waseme walivyokuwa wanavutwa
 
Hapo wanapoivuta wanaokoa ndege au watu?
Labda sielewi mimi ila kwa akili tu ndege hiyo ilikuwa inaonekana bado na ipo kwenye kina kifupi
Swali kwanini hawakufanya jitihada za kukata juu ili waokoe watu?

Ndege inavyutwa utafikiri wanavuta nyangumi
Nasubiri comment za waliookolewa waseme walivyokuwa wanavutwa
Nadhani ukumbuki kilichotokea kwa MV Bukoba baada ya kuitoboa/kuikata ili kuokoa watu.
 
Hapo wanapoivuta wanaokoa ndege au watu?
Labda sielewi mimi ila kwa akili tu ndege hiyo ilikuwa inaonekana bado na ipo kwenye kina kifupi
Swali kwanini hawakufanya jitihada za kukata juu ili waokoe watu?

Ndege inavyutwa utafikiri wanavuta nyangumi
Nasubiri comment za waliookolewa waseme walivyokuwa wanavutwa
Bahati mbaya wote waliokuwa wanavutwa ni maiti. Corpses do not talk.
 
Hapo wanapoivuta wanaokoa ndege au watu?
Labda sielewi mimi ila kwa akili tu ndege hiyo ilikuwa inaonekana bado na ipo kwenye kina kifupi
Swali kwanini hawakufanya jitihada za kukata juu ili waokoe watu?

Ndege inavyutwa utafikiri wanavuta nyangumi
Nasubiri comment za waliookolewa waseme walivyokuwa wanavutwa
Ukiikata kwa juu unakuwa unaichinja ni hasara kwa shirika.
 
Back
Top Bottom