Bukoba: Ndege ya Precision Air yapata ajali Ziwa Victoria, watu 19 wafariki dunia

Wana wezesha jeshi la polisi kwa sababu polisi wanawasaidia kwenye mambo yao ya kisiasa, hao wengine ni dana dana tu!
 
Imenifikirisha pia😪
 

Ishakuwa bayana sasa kwamba walipita kutokea ule mlango wa dharura unakuwa karibu na mkia wa ndege...

Kama umewahi panda ndege utakuwa umewahi shuhudia huwa kuna mlango wa dharura nyuma mara nyingi ndege ikiwa inakaribia kutua au inapopaa mhudumu hukaa hapo karibu...
 
Mafuta ya reserve huenda alikuwa hana na akajua kurudi MZA hatoboi! Akaona bora aitupe majini tu
 
Mkuu wa mkoa ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama anahusika moja kwa moja na huu uzembe.

Basi tu hatuna utaratibu wa kuchukuliana hatua lakini angetakiwa kujiuzuru kwa kusababisha yote haya
 
Taarifa mpya vip jmn nilikuwa offline takribani 4hr
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…