Bukoba: Ndege ya Precision Air yapata ajali Ziwa Victoria, watu 19 wafariki dunia

So wengine ilikua vipi wasipite pale? au unapitwa KWa viza ? Mpaka inasemekana mapilot wamekufa , acheni zungumzia Mambo mepesi kwenye Mambo muhim, mfano ajali imeisha tokea unaficha Ili iweje, hamjui kuficha kitu ni kurutubisha tatizo,?

Waliofariki wanasema ni wale waliokuwa mbele

Wa nyuma waliwahi kutolewa na wananchi
 
Kwa maelezo hayo, unahitajika uchunguzi wa kina sana
Shida naiona hapa ni kwa response unit. Kuna fire brigade (kikosi cha Zimamoto) kipo muda wote standby (tayar) kwa uokozi. Inakuwaje................. hadi wavuvi pekee waokoe wote wale......

Kitu kingine, Huu uwanja mara nyingi umekuwa na changamoto ya hali ya hewa. Kwann usipewe kipaombele kufungiwa taa za kuongoza ndege kutua na kuruka muda wote.
 
So ndege ilikuwa itoke Bukoba iende mwanza then Tabora. Too sad. Maana hawa watumishi hawakuwa na haja ya kwenda Bukoba. Mzunguko usio na Maana na umecost maisha yao.
Mzunguko huo hauna tatizo kabisa kwenye hili. Kuna direct flights na kuna roaming flights. Wao kama waliona hiyo ya kuzunguka still kwao ni option nzuri huwezi kuwalaumu. Imekuwa ikitokea hivyo na all is well.
Tatizo kubwa lipo kwenye emergency preparedness and response mechanisms!

Nakumbuka kuna ndege ya Ethiopian iliwahi kuanguka pale Arusha airport. Rubani did everything right ndege ikafika ardhini Salama nje ya runway lakini control unit walimwambia kwa kuwa ndege yake ni kubwa, ndeefuuu kwenda juu uwanja hauna ngazi asubirie iletwe from KIA ndo waje washushwe. KIA to Arusha unazungumzia 50+Kms... Nahisi ushaanza kuona tatizo lipo!
1996 mkasa mkubwa wa MV BUKOBA hadi leo miaka 26 baadae bado hatujajipanga kikamilifu kukabiliana na dharura, ajali na majanga.
Serikali imejisahau sana imebaki kuwekeza kwenye vitu vya fahari badala ya kuimarisha mifumo ya kulinda usalama wa wananchi.

Factors za route na mizunguko ingekuja kwenye equation kama ndege ingekosa uwezo au mafuta ya kuzunguka kukamilisha ratiba zake!
Tusifumbie macho wala kunyamaza. Serikali imefanya uzembe.
Tuishurutishe ibadilike!
 
So ndege ilikuwa itoke Bukoba iende mwanza then Tabora. Too sad. Maana hawa watumishi hawakuwa na haja ya kwenda Bukoba. Mzunguko usio na Maana na umecost maisha yao.
Lakini kwenye Maelezo hayo, hajasema hiyo ndege ilikuwa ifuate huo mzunguzuko ( Mwanza - Bukoba- Tabora.
Ila watumishi wa MDH ndio walikuwa na Safari hiyo.
 
Umesahau Nairobi.
Ndege zimetengenezwa kukaa angani kuliko ardhini
 
All in all Cockpit Voice Recorder zitasema ukweli....

Yawezekana kabisa alijaribu shusha ndege ila visibility ilikuwa mbaya na ule uwanja hauna ILS, hivyo akajikuta tayari kwenye maji
 
Hizi taa za kuongezea ndege huwa ni shillingi ngapi?? Kwa nini baadhi ya viwanja havina hizi taa?!
 
My take.Kuna technical faults za uendeshaji wa ndege na TCAA na TAA hawana pa kujifichia(wao being the cause)
1.Runway length ya BK ni fupi sana--being 1325metres-hii ni distance ya kutua na kupaa kwa vindege vidogo kama grand caravan--marubani wetu huwa wanajitahidi sana hasa wakati wa kutua kutokana na eneo uwanja ulipo---1 mistake unapita na fence.
2.Runway lights-Pale BKZ hakuna taa za kuongozea ndege--hivyo hali ya hewa ikiwa mbaya ni ngumu mno kukadiria--the same kwenye vingine vingi.

Aftermath baada ya ajali
Zimamoto na uokoaji(useless).
Coast guard na police(mafuta ya kukimbizana na wavuvi wanayo--ila ya kuokoa hawana)
Wananchiii(Very useful)
 
Lakini kwenye Maelezo hayo, hajasema hiyo ndege ilikuwa ifuate huo mzunguzuko ( Mwanza - Bukoba- Tabora.
Ila watumishi wa MDH ndio walikuwa na Safari hiyo.
Jiongeze na wewe. Safari yao ni Tabora imekuwaje wamefia Bukoba ?Kwa akili zako no wonder CCM mpaka leo inatawala. Akili zako na akili za watanzania majority.
 
Ratiba
 

Attachments

  • 314A08A4-3DAF-4213-8DFD-F84036E2C62A.jpeg
    64.4 KB · Views: 5
All in all Cockpit Voice Recorder zitasema ukweli....

Yawezekana kabisa alijaribu shusha ndege ila visibility ilikuwa mbaya na ule uwanja hauna ILS, hivyo akajikuta tayari kwenye maji
Kaangalie Global online tv .Yule Majaliwa muokoaji mvuvi kaeleza. Alishuhidia na mpaka aliongea kwa ishara na mapilot wakimwambia avunje dirisha la cockpit. Afisa mmoja akamzuia eti wanafanya mawaliano na pilot.What a stupid idea. Yule dogo Majaliwa ana akili sana yaani ikiwezekana apate ajira jeshi la uokoaji.
 
Kama ndio hivyo basi basi tutegemee nyingine kutokea
 
Toka enzi za MV Bukoba hatujawahi kua na boti/meli ya uokoaji kweli? Labda hii kitu itabadilisha mtazamo wa umuhimu wakua nayo maana dah aise hapana. Mungu atupe busara kama nchi kuzingatia hivi vitu kabla hayajatokea.

Ingekuwa nchi ya wenzetu kuna kiongozi angejiuzulu kutokana na maafa ya aina hii.
 
Your browser is not able to display this video.
 
We mnduku nimekuuliza wewe hili swali? Na hata kama ningekuuliza huwezi kujibu bila kutukana?

Mav.i kabisa[emoji57][emoji57]
Unaona ufahari gani kujinadi kama mwanamke? Unataka kumtapeli nani hapa? Mas.hoga mmekuwa huru sana nchi hii
 
Sahihi kabisa naunga mkono hoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…