Bukoba: Ndege ya Precision Air yapata ajali Ziwa Victoria, watu 19 wafariki dunia

Kuna mtu alitabiri kutokea ajali ya ndege aisee☹️

 
Aseme tu hitilafu sio kukosa mawasiliano
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]hapo mwishon
 
Miaka mitano nyuma ndege zilizonunuliwa wakati JPM akiwa Rais zilikua zimeshafika?
 
Alisema Ndege itakayoanguka 'itakatika Vipande Viwili' na Ina Logo nyekundu!
Yote hayo hayajatokea Kwa Precision!
Msimpe TU Sifa za Kijinga!!
Mbona kama unamaind vitu vidogo sana au unaumia jamaa kupewa hata hizo credit ndogo za maneno tu ya hapa jukwaani?
 
Nime google labda nitapata breaking news update nimeingia site yao hakuna habari yoyote napata mashaka na hizi habari jambo kama hili kweli hakuna sehemu tukapata habari za uhakika
Wee unadhani ni uongo had video ipo
 
Sijawahi kuiziamini ndege za precision, mara mwisho kusafiri nayo nilivyofika salama nikaiga rasmi. Poleni wahanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…