Bukoba: Ndege ya Precision Air yapata ajali Ziwa Victoria, watu 19 wafariki dunia

Bukoba: Ndege ya Precision Air yapata ajali Ziwa Victoria, watu 19 wafariki dunia

Zoezi la utayari
Et eeh
JamiiForums695725462.jpg
 
Hapo tushukuru Mungu airport ya Bukoba ipo karibu na ziwa bila ya hivyo saizi tungekua tunazoa majivu
 
Hacha ubishi mkuu soma hata maandiko kama wewe ni muamin wa biblia.
Nebkadreza aliwahi ota habari za mti mkubwa, lkn ikawa mti ule ni yeye Daniel alivyo tafsiri ile ndoto mti ukawa ni yeye mfalme.

Soma habari za Falao kuota ng'ombe na Masuke lkn Yusufu anamwambia ng'ombe ni miaka saba ya njaa nk. Kwahyo kwa mtazamo wako hapa Yusufu alitakiwa aseme ng'ombe hao watakuja kula mazao?.

Ktk suala hili huwezi kuota kitu tafsiri ikatoka kama ilivyo, sababu inahitaji kutafsiri maana lakini zaidi huwa inaangaliwa dhima iliyobeba hayo yaliyoonwa. So shika ni ajali ya ndege na imetokea over. kigezo cha wewe huamini sio kigezo cha wengine kutokuamin.
 
hivi hapo hakuna "coast guard" maana hao bila shaka wangefanya mambo ya kitalaam na kwa haraka kunusuru abiria na ndege.

Ninachoona hapo ni juhudi za wananchi kuokoa wananchi wenzao kwa mbinu za kitaa.

Kuwepo uwanja karibu na ziwa tayari ni alert tosha ya mamlaka kuwa na rescue team uwanjani hapo yenye umahiri katika uokozi wa majini pamoja na vifaa.
 
Huwezi amini vyombo vya habari vya Tz breaking news wameipata hapa Jamiiforums na wengine zinapita dk kadhaa hapa lakini bado hakuna breaking news la tukio hili. Tupo nyuma sana ndugu zangu watanzania
Watatangaza kwenye HABARI ZA SAA au saa 2 usiku
 
hivi hapo hakuna "coast guard" maana hao bila shaka wangefanya mambo ya kitalaam na kwa haraka kunusuru abiria na ndege.

Ninachoona hapo ni juhudi za wananchi kuokoa wananchi wenzao kwa mbinu za kitaa.

Kuwepo uwanja karibu na ziwa tayari ni alert tosha ya mamlaka kuwa na rescue team uwanjani hapo yenye umahiri katika uokozi wa majini pamoja na vifaa.
Mamlaka wana defenders za kuzuia nandamano.
Hata ule moto mount Kilimanjaro, NI mvua ilinyesha , ikasaidia moto kuzima.
Ila niliona zima Moto wakizima Moto Kwa fimbo, mapanga,majembe, mafekeo,
 
Back
Top Bottom