Uchaguzi 2020 Bulembo aahidi kumng'oa Zitto Kabwe kwa udi na uvumba

Hasira za mtoto wake kuzalishwa n ZZK Kisha kutupwa[emoji3]
 
Makubwa, kumbe dada Halima Bulembo ana mtoto wa Zitto Kabwe?
 
Pascal uoga wako sio wa kubeza hata kidogo. Si unamkumbuka Mudhihir wa Mchinga jaribio lake pale Bungeni LA kumuuazimia Zitto Kabwe kilichofuata ni nini
 
Kwa Mujibu wa Mwanaharakati huru Cyprian Musiba alituambia Harusi ilifanyika kwa Prof Assad na Mshenga akawa Dr Dau, sasa sijui ni au ni uongo
Harusi kwa Prof. Assad.
Mshenga ni Dr. Dau.
Hahahaaa,watu wa karibu na Mh. ZZK ni watu "makini" sana,wenye misimamo mikali kama Mh. ZZK mwenyewe.
Kongole jirani yangu Zitto.
 
Bulembo hana adabu
 
Hivi Bulembo amewahi kushinda uchaguzi? Achana na huu ubunge wa viti maalumu aliozawadiwa
Udiwani hapa Kijitonyama alishindwa akaenda mahakamani akaangukia pua ndiyo akaambulia uenyeki wa Wazazi huko CCM ambako alipiga mabilioni kadhaa yanayompa jeuri hadi leo.
 
Arafu yeye ndiye atakayechukua jukuma la kulipa ada za shule za mjukuu wake...huyu jamaa akili kumkichwa hamna kabisa....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…