Kaka mbona unaandika kwa hisia za wivu, hawa bila hela, werevu, smartness, maneno matamu utaishia kuwaangalia tu!! lah kupata wapika chapati maana Mungu kaumba levels. !!
Na ndiyo maana wanawake wapo wengi ili wa level yako ukiwataka usiwakose hata kama ukitaka 3 wa mafungu wewe tu.
Sasa mbona tunaandikia mate na wakati wino upo? Wewe pambana tu kutafuta HELA au MAMLAKA halafu uone na wewe utakavyogeuka na kuwa SOKWE pasipo kujitambua.
sasa mbona wameishazaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hii inaitwa usiyemtaka kaja kuowa kwenu
Mbunge wa kuteuliwa mstaafu alhaj Bulembo amesema hana mkwe anayeitwa Zitto na kwamba " wao" wanafanya starehe zao vichakani hivyo hawezi kuwa mkwe katika familia yake.
Alhaj Bulembo alikuwa akijibu swali la mtangazaji wa Clouds 360 aliyetaka kujua kama Halima Bulembo ni mke wa Zitto na familia imebariki.
Chanzo: Clouds TV
Pia soma - Elections 2020 - Bulembo aahidi kumng'oa Zitto Kabwe kwa udi na uvumba
Maendeleo hayana vyama!
Zitto, CCM na bulembo lao moja ukitaka kuamini angalia hukumu aliyopewa kwenye kijikesi chake cha juzi
Kitanda hakizai haramu yakheUtakuwa ni uzao wa vichakani!
Zitto aache tamaa, ana mke mzuri na huyu tena anamchukua dah, maisha hayako sawa kabisa aisee
Mwaambieni
Mbunge wa kuteuliwa mstaafu alhaj Bulembo amesema hana mkwe anayeitwa Zitto na kwamba " wao" wanafanya starehe zao vichakani hivyo hawezi kuwa mkwe katika familia yake.
Alhaj Bulembo alikuwa akijibu swali la mtangazaji wa Clouds 360 aliyetaka kujua kama Halima Bulembo ni mke wa Zitto na familia imebariki.
Chanzo: Clouds TV
Pia soma - Elections 2020 - Bulembo aahidi kumng'oa Zitto Kabwe kwa udi na uvumba
Maendeleo hayana vyama!
Kitanda = kichaka!Kitanda hakizai haramu yakhe
Sasa huyu mzee nae anazeeka vibaya akimwondoa zito mjukuu wake na mwanae haoni kama atapata taaaabu sanaHahahahahah[emoji23][emoji23][emoji23]yahhh
Mzee naona kawaza afu akashikwa na hasira sana[emoji23][emoji23]
Inakuwaje ZZK anamnanii mwanangu hivi[emoji28]
Ndio kichakani kwenyewe huko bwashee!Mwaambieni
Walienda Hotelini na sio vichakani kama dingi anavyodai
Wa vichakani ni madogo wale waliopo shuleni
Alizibukia kwako?Zitto Amekuja kuzibuka ukubwani
wahuni si watu wazuri π π π
Mbunge wa kuteuliwa mstaafu alhaj Bulembo amesema hana mkwe anayeitwa Zitto na kwamba " wao" wanafanya starehe zao vichakani hivyo hawezi kuwa mkwe katika familia yake.
Alhaj Bulembo alikuwa akijibu swali la mtangazaji wa Clouds 360 aliyetaka kujua kama Halima Bulembo ni mke wa Zitto na familia imebariki.
Chanzo: Clouds TV
Pia soma - Elections 2020 - Bulembo aahidi kumng'oa Zitto Kabwe kwa udi na uvumba
Maendeleo hayana vyama!
Mwislam jina ...mkewe ni mkristo..ndoa ya serikali.. na Halima kama ni kweli..ajipange kwanza asingojee kupangwa!Zitto ni mwislamu!
Kwani kuoa mkristo ni dhambi bwashee?Mwislam jina ...mkewe ni mkristo..ndoa ya serikali.. na Halima kama ni kweli..ajipange kwanza asingojee kupangwa!
Zito ni mjanja sana..ana target yule...
Amina chifupa... ... mnakumbuka?
Kwa mama yako mkuuAlizibukia kwako?
ZZK alishamzalisha HALIMA kisha akampiga na chini[emoji3]