Bulembo: Sina mkwe anayeitwa Zitto, wao wanafanya starehe zao vichakani hawezi kuwa mkwe wangu!

Bulembo: Sina mkwe anayeitwa Zitto, wao wanafanya starehe zao vichakani hawezi kuwa mkwe wangu!

Kaka mbona unaandika kwa hisia za wivu, hawa bila hela, werevu, smartness, maneno matamu utaishia kuwaangalia tu!! lah kupata wapika chapati maana Mungu kaumba levels. !!

Na ndiyo maana wanawake wapo wengi ili wa level yako ukiwataka usiwakose hata kama ukitaka 3 wa mafungu wewe tu.


Jungle man, no rhyme or reason!
 
Sasa mbona tunaandikia mate na wakati wino upo? Wewe pambana tu kutafuta HELA au MAMLAKA halafu uone na wewe utakavyogeuka na kuwa SOKWE pasipo kujitambua.


Lengo la Binadamu hapa Duniani siyo kulala na Wanawake wengi, hilo wanafanya Masokwe na Nyani, kama ingekuwa hivyo Rostam, Bakhresa au Dewji au hata Mengi (RIP) angeacha kesi za wake za watu kila mahali kwa kulala na Dar nzima na kila siku ungesikia wamelala na wake za watu na kuzaa nao kwa maana kama pesa wanazo labda kama Serikali lkn utakuta wana wake zao na wako waaminifu kwao na Familia zao, ...
 
Naona mfano mzuri wa masokwe ni namna mnavyonitungia utaratibu wa kuishi, kujitawala, kanuni za watawala na watawaliwa yaani Katiba..lakini unakuta utaratibu haifuatwi mambo ni hivyo hovyo tu kama masokwe ya mwituni.
 


Mbunge wa kuteuliwa mstaafu alhaj Bulembo amesema hana mkwe anayeitwa Zitto na kwamba " wao" wanafanya starehe zao vichakani hivyo hawezi kuwa mkwe katika familia yake.

Alhaj Bulembo alikuwa akijibu swali la mtangazaji wa Clouds 360 aliyetaka kujua kama Halima Bulembo ni mke wa Zitto na familia imebariki.

Chanzo: Clouds TV

Pia soma - Elections 2020 - Bulembo aahidi kumng'oa Zitto Kabwe kwa udi na uvumba

Maendeleo hayana vyama!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hii inaitwa usiyemtaka kaja kuowa kwenu
 


Mbunge wa kuteuliwa mstaafu alhaj Bulembo amesema hana mkwe anayeitwa Zitto na kwamba " wao" wanafanya starehe zao vichakani hivyo hawezi kuwa mkwe katika familia yake.

Alhaj Bulembo alikuwa akijibu swali la mtangazaji wa Clouds 360 aliyetaka kujua kama Halima Bulembo ni mke wa Zitto na familia imebariki.

Chanzo: Clouds TV

Pia soma - Elections 2020 - Bulembo aahidi kumng'oa Zitto Kabwe kwa udi na uvumba

Maendeleo hayana vyama!
Mwaambieni
Walienda Hotelini na sio vichakani kama dingi anavyodai

Wa vichakani ni madogo wale waliopo shuleni
 
Hahahahahah[emoji23][emoji23][emoji23]yahhh

Mzee naona kawaza afu akashikwa na hasira sana[emoji23][emoji23]

Inakuwaje ZZK anamnanii mwanangu hivi[emoji28]
Sasa huyu mzee nae anazeeka vibaya akimwondoa zito mjukuu wake na mwanae haoni kama atapata taaaabu sana
 


Mbunge wa kuteuliwa mstaafu alhaj Bulembo amesema hana mkwe anayeitwa Zitto na kwamba " wao" wanafanya starehe zao vichakani hivyo hawezi kuwa mkwe katika familia yake.

Alhaj Bulembo alikuwa akijibu swali la mtangazaji wa Clouds 360 aliyetaka kujua kama Halima Bulembo ni mke wa Zitto na familia imebariki.

Chanzo: Clouds TV

Pia soma - Elections 2020 - Bulembo aahidi kumng'oa Zitto Kabwe kwa udi na uvumba

Maendeleo hayana vyama!

wahuni si watu wazuri 😀 😀 😛
 
Mwislam jina ...mkewe ni mkristo..ndoa ya serikali.. na Halima kama ni kweli..ajipange kwanza asingojee kupangwa!

Zito ni mjanja sana..ana target yule...

Amina chifupa... ... mnakumbuka?
Kwani kuoa mkristo ni dhambi bwashee?

Mzee Makamba alikuwa anaingia hadi Kanisani na maisha yaliendelea katika uislamu wake!
 
Zitto ametuwakilisha vyema Mabaharia..
Safi sana!
 
Mkuu sidhani kama starehe zao za vichakani zimeisha. Huyo binti ni mrembo sana na jamaa bado huonekana naye japo kwa siri kubwa.

ZZK alishamzalisha HALIMA kisha akampiga na chini[emoji3]
 
Back
Top Bottom