Kigera Kwetu
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 1,448
- 1,311
Mdau..kwani kuna mahali kamtaja Membe..? Au mie sijaelewa hapa...Mkuu, hebu muwe mnatumia akili hata kidogo na kuacha propaganda na utapeli wa wazi. Hivi Membe anachukuaje fomu huko CCM ikiwa alifukuzwa uanachama na sasa si mwanachama wa CCM?
Kusoma na kuandika tu ndiyo shida ya bunge letu kuwa na watu wa aina ya Bulembo
Aliyekuwa mbunge wa kuteuliwa, Abdallah Bulembo, amesema taratibu haziruhusu mwanachama mwingine kuchukua fomu ya kugombea urais zaidi ya John Magufuli.
“Kwa mujibu wa sheria kama wewe ni mwana CCM, Rais anatakiwa awe katika vipi viwili sasa unatokea wapi kuchukua fomu? Unajadiliwa kikao gani?,” amesema Bulembo
Bulembo amesema hataki kugombea licha ya kwamba anajua atashinda na kwamba haiwezekani nyumba nzima wawe wabunge.
“Nataka niondoke salama, mtoto wangu Halima yupo kwenye jimbo, mke wangu naye yupo kwenye jimbo anagombea Viti maalum, haiwezekani nyumba yote kuwa wabunge haileti picha nzuri,” amesema Bulembo.
Aisee kumbe kuna kikundi kidogo cha watu wanaoitafuna nchi hii baba,mama,mtoto ni hatari sana
Aliyekuwa mbunge wa kuteuliwa, Abdallah Bulembo, amesema taratibu haziruhusu mwanachama mwingine kuchukua fomu ya kugombea urais zaidi ya John Magufuli.
“Kwa mujibu wa sheria kama wewe ni mwana CCM, Rais anatakiwa awe katika vipi viwili sasa unatokea wapi kuchukua fomu? Unajadiliwa kikao gani?,” amesema Bulembo
Bulembo amesema hataki kugombea licha ya kwamba anajua atashinda na kwamba haiwezekani nyumba nzima wawe wabunge.
“Nataka niondoke salama, mtoto wangu Halima yupo kwenye jimbo, mke wangu naye yupo kwenye jimbo anagombea Viti maalum, haiwezekani nyumba yote kuwa wabunge haileti picha nzuri,” amesema Bulembo.
Bulembo ametoa somo zuri
We jamaaa wewe huwaga ni mtata sana
Kwahiyo hao wanapiga makwaya na mafilimbi???
Ilo somo lipo kwenye katiba yenu ya CCM?Bulembo ametoa somo zuri
Huyu mgombea ni miongoni mwa wanachama wa ccm ambao ni mbishi na aliapa kugombea urais wa JMT akimpinga rais anaemaliza kipindi chake cha miaka mitano ya awali.
CCM ina tamaduni yake, mgombea wake kutoshindanishwa kwa muda wa miaka kumi,akimaliza ndipo wengine hugombea hiyo nafasi.
Lakini Membe alipinga na akaahidi kuuvunja utamaduni huo ,kulikoni yupo kimya?,na muda unayoyoma wa kutafuta wadhamini nchini?,au kakubali yaishe baada ya kichwa kuelekezwa kibla ?,
Je?anao uwezo wa kupambana na ccm nje ya ccm?,anaejua habari za huyu gwiji na kachero mbobezi atujuze tafadhali
Tetesi zinadokeza kwamba tayari kishatua Dodoma , kesho saa 4 asubuhi anachukua fomu
Kwamba CCM anyetakiwa kuchukua fomu ya kugombea urais kisheria ni mmoja tuuuuu???????
Bahati mbaya sana sheria za nchi, katiba na kanuni za CCM hazisemi hivyo!!!!. Sasa kafundisha somo gani zuri?????
Laiti angesema kuwa kwa mazoea yetu CCM mgombea urais ni mmoja na fomu imechapishwa moja tuuuuuu.
Lisu auTetesi zinadokeza kwamba tayari kishatua Dodoma , kesho saa 4 asubuhi anachukua fomu
Adabu au uwoga?!?!CCM adabu buana!! Na ndiyo Maana kuna watu kule! Kwingine unalazimika kupaisha sifa za Chama ili ruzuku ziwe nyingi kumnufaisha mmoja?
Hovyo kabisa
Anachukua fomu ipi wakati nakala ilikuwa moja na imeshakuliwa na MagufuliTetesi zinadokeza kwamba tayari kishatua Dodoma , kesho saa 4 asubuhi anachukua fomu
Mkuu, hebu muwe mnatumia akili hata kidogo na kuacha propaganda na utapeli wa wazi. Hivi Membe anachukuaje fomu huko CCM ikiwa alifukuzwa uanachama na sasa si mwanachama wa CCM?
teh teh..Hao ndio wenye nchi sasa,hawa wengine humu wanaimbaga tu CCM ni nambari wani tu mfukoni ni bila bila.
Mkuu kadri siku zinavyozidi kwenda wana CDM mnachanganyikiwa na kupoteza kumbu kumbu,
Agombee uraisi kwani Membe ni mwanachama wa CCM ?
Tetesi zinadokeza kwamba tayari kishatua Dodoma , kesho saa 4 asubuhi anachukua fomu