Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watampa kesi ya uhujumu uchumi au ugaidiBulendu tumjengee Mnala njiapanda ya kuingia Ikulu Dodoma.
Akili za akina Siro amekulia Tarime kaja mjini na train kwa bahati atajulia wapi?Kuna tatizo kubwa katika mawasiliano kati ya Taasisisi, no communication at all. Labda ni kweli hawa wasaidizi wake hawana exposure, mtalii yupo atachagua kwenda Afghanistan asiende Morocco? Asiende Kenya aje Tanzania kwenye ugaidi? Utalii kitu namba moja ni usalama; wa vyote hata mahali watakapolala.
Siyo pale Nyerere square?Bulendu tumjengee Mnala njiapanda ya kuingia Ikulu Dodoma.
Tanzania au Star tv?Watangazaji Tz ni hawa 1. Dotto Bulendu 2. Aloyce Nyanda 3. Edwini Odemba
Waabudu vyeo waogope sana hawaAkili za akina Siro amekulia Tarime kaja mjini na train kwa bahati atajulia wapi?
Tanzania wanaojielewaTanzania au Star tv?
Upo sahihiNyumba haina Baba kiongozi mama haelewi nini kifanyike ana haha tu!!!
hatari snWaabudu vyeo waogope sana hawa