inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Hamzidi babu wa loliondo,ujinga ni mtajiWanabodi,
Huyu Pasta Bulldoser, Mwamposa.. sio mchezo...
inaendelea...
Paskali
Watu wagumu mno kuelewaHakuna atakacho pata, zile shuhuda nu Fabricated hakuna shuhuda ya ukweli pale.
Ana mzidi wingi wa watu Babu wa Loliondo? make na yule ni alikuwa tapeli wa karine ya 21.Hakika huu mji una watu wengi. Mi.nilisikia tu tangazo mtaani nikapuuzia tu. Nilichukulia tu kama matangazo mengine ya serikali za mtaa au promo. Watu kumbe walifurika? Hata kipindi kile uwanja wa Mkapa, sikuwahi kusikia tangazo ila baadae nasikia tu uwanja ulifurika. Haya bana
Hapana, sina swali lingineNdio. Unaswali lingine?
Anaingiza fweza nyingi Sana kwa siku kupitia utapeli wake wa kimkakatiWanabodi,
Huyu Pasta Bulldoser, Mwamposa.. sio mchezo...
inaendelea...
Paskali
Mkuu Ulitaka Kujaribu kumchezea?.,.Wanabodi,
Huyu Pasta Bulldoser, Mwamposa.. sio mchezo...
inaendelea...
Paskali
Mambo 😎😅🤣🤣🤣
Wanabodi,
Huyu Pasta Bulldoser, Mwamposa.. sio mchezo...
1. Nyomi!.
Kiukweli kabisa watu ni wengi ajabu, sijui hata walitoka wapi, mabasi yote yalijaa, watu kwa makundi wanatembea kwa miguu, tumekaa foleni masaa 3!.
Hii maana yake Bulldozer Mwamposa, ana upako wa mvuto wa watu!. Mimi pia japo ni Mkristo wa lile kanisa moja kuu, Takatifu la Mitume, hatuamini imani za wokovu, ila wife ni mlokole fulani hivi, hivyo from time to time huwa namsindikiza, na kuwafuatilia wahubiri mahubiri yao kwenye TV, na humu nimeisha wahi kupandisha threads zaidi ya 10 kuwahusu wahubiri mbalimbali na miongoni mwake ni hizi
inaendelea...
Paskali
Uko sahihi kabisa kuna wenye shida ambazo ukifatilia kwa makini utagundua ni maswala ya kisheria tu yangemsaidia, kuna wenye shida ambazo msaada wa matibabu ungemsaidia lakini yote hayo yanabebwa kama uko na uchumi mzuri je uchumi mzuri utakujaje wakati anaenda kwa mwamposa anataka muujiza wakupata kazi au hata kibarua na anadegree yake hii no ishu ya ukosefu wa ajira.Kwa mantiki hio Watanzania wana matatizo mengi sana ambayo yamekosa utatuzi wa kiserikali na kukimbilia kwenye Imani, Nadhani pia viongozi wasishangae kujaza kwa Mwamposa bali watumie kusanyiko hilo kama evaluation ya kinachoendelea kwa ground.
Hata TB Joshua alikuwa hivyo hivyo ila alichojuwa anawafanya Watumishi wake utajua haujuiWanabodi,
Huyu Pasta Bulldoser, Mwamposa.. sio mchezo...
1. Nyomi!.
Kiukweli kabisa watu ni wengi ajabu, sijui hata walitoka wapi, mabasi yote yalijaa, watu kwa makundi wanatembea kwa miguu, tumekaa foleni masaa 3!.
Hii maana yake Bulldozer Mwamposa, ana nguvu za upako wa mvuto wa watu kwenye mikutano yake!, nisichokijua ni the source of those powers if they are the powers of light, or the powers of darkness, hivyo, wanachofanyiwa hao the multitudes is nothing but hypnosis, watu wanafanyiwa hypnotism, wanakuwa hypnotized, hivyo huwaambii kitu kuhusu Mchungaji wao.
Mimi pia japo ni Mkristo wa lile kanisa moja Kuu, Takatifu la Mitume, ambao tunaamini kwenye Utatu Mtakatifu na asili ya binadamu ni dhambi hivyo tunaamini kwenye ubatizo mmoja, kuungama na maondoleo ya dhambi, hivyo hapa duniani hatuamini imani za wokovu.
Ila Maza wangu (RIP), alikuwa mlokole na kunichagulia wife aliyeokoka, hivyo wife ni mlokole fulani hivi, from time to time huwa namsindikiza, na kuwafuatilia wahubiri mahubiri yao kwenye TV, na humu nimeisha wahi kupandisha threads zaidi ya 10 kuwahusu wahubiri mbalimbali na miongoni mwake ni hizi
- Askofu Kakobe Asipuuzwe: Ni kama David Koresh na Camp Davidians!
- Chonde Chonde CCM!, Kakobe Has Powers!, Akisema CCM ni adui wa Mungu, 2020 CCM Haitapata Kura Milioni 10 za Walokole!.
Faida na Hasara ya Mkesha wa Mwamposa.
inaendelea...
Paskali
Hiki ndicho kilichotokea, PA iliotumika ilikuwa too powerful kwa usiku mkubwa hivyo kuleta noise pollution na nuisance trespass kwa majirani na maeneo ya karibu.LAKINI...
Mbili; Umesema nyote mmekesha mmekesha mliokwenda au kelele zimesababishia hata wasiohusika kukesha kwa bughudha ? Hio sio Kosher (furaha yako / yenu isiwe kero kwa wengine)
Kuna mtu alishasema multiracial can mix lakini multicultural can not mix..., chuki baina ya imani inaweza kutokea sio sababu watu hawapendi sura au wengine waamini tofauti bali kero zinazosababishwa na wao kwa hao wengine...,Hiki ndicho kilichotokea, PA iliotumika ilikuwa too powerful kwa usiku mkubwa hivyo kuleta noise pollution na nuisance trespass kwa majirani na maeneo ya karibu.
Mimi naishi Mbezi Juu, Goba Rd. Usiku sikulala kwa kelele za mahubiri.
Itambidi Mwamposa awatumie watu wa sound technician wamashauri PA ya kufunga na sound set up ya speaker za aina moja, na zikae equal distance kwa kuangaliana at 90 degree angles ili sauti zigongane at the centre na kusambaa hapo watu wanapokesha bila kuwakera majirani.
Mkesha wa jana, wafuasi wake wamekesha, majirani wote, Wakristo na Waislamu wamekesha watake wasitake!.
Hasara za mkesha wa kuwahubiri watu, wakusikilize watake wasitake ni kero kwa waumini wa dini nyingine ambao nao lazima wakeshe watake wasitake!.
Faida za huu mkesha, ukimsikia hata bila kuhudhuria, ukaamini anachohubiri, unaponywa!. Hivyo mahubiri hayo, yanasaidia wengi, wakiwemo ndugu zetu wa imani tofauti!. Faida ni kubwa kuliko kero!.
P
Naunga mkono hoja, haki ya mtu mmoja kuabudu Mungu wake, isiwe kero kwa watu wengine, tena nchi nyingine, hata Adhana ya Waislamu inaratibiwa kwa viwango fulani ili isiwe kero kwa wengine, sambamba na kengele makanisani.Hizi Haki za Kuabudu ziandane na Haki ya kutokuabudu kwa wengine...
Kina mama wa Kiislam walikuwa wengi kwelikweli!Babu wa Loliondo hafiki kwa Mwamposa hata kidogo.Tofautisha kusanyiko la siku moja na kusanyiko la siku nyingi.Hamzidi babu wa loliondo,ujinga ni mtaji