BullDoza Mwamposa Ana Powers za Mvuto wa Ajabu, Aleta Balaa Kubwa Kawe na Maeneo ya Jirani, Mkesha Wake, Kawe, Mikocheni, Mbezi Beach, Wote Tumekesha!

Hata wewe ushaingia huko, unajuaje kama mahubiri yameponya watu wasiotaka kiyasikia??

Mke ana nguvu sana.
 
Kwa watumiaji wa Tigo Pata GB za bure kwa kufuta maelekezo haya.



1. Ingia TigoPesa app (Kama hauna download play store)

2. Ingia Invite & Earn

3. Bonyeza Redeem

4. Weka hii code 2ZJVO8ZK

Baada ya hapo utapata 2GB na DK kibao bure kabisa!!
 
pale wanauziwa shuhuda fake na baadse wanakamuliwa sadaka, baada ya haoi ataandaa jingine na hao hao ndio watakuja.
Shuhuda feki kama hii hapa:-
Your browser is not able to display this video.
 
Pole sana mkuu
 
Nashukuru umeng'ata ukapuliza halafu ukafanya peaceful landing.Mimi pia nilikuwa mji fulani hivi off Goba rd,nilisikia vizuri na nilifurahia zile nguvu za Mungu zilizonifuata pale kitandani nilipolala.
Faida zilikuwa nyingi kuliko hasara
 
Hizi ni dalili za umasikini, maana raia wengi wanaamini katika miujiza kuliko kufanya ibada, kutenda mema na kuacha mabaya na mwisho kufanya kazi kwa bidii.

Hakuna Taifa duniani watu wake wameendelea kwa miujiza baadala yake kufanya kazi kwa bidii na kulinda rasirimali.
Saudia na Uarabuni na Hata Israeli kwenye chimbuko la dini watu hufanya kazi kwa bidii na viongozi kusimamia kwa uaminifu rasirimali za nchi ili zinufaishe kila mtu.

Ni rahisi huo umati wa watu kukusanyika kwa Mwamposa na sio kuwaambia tuandamane kupinga wizi kwenye mifumo, kupambania rasirimali zetu zitunufaishe watanzania wote, kuandamana kupambania elimu Bora Kwa watu wote na huduma Bora za Afya pia.
 
Unabaki unatabasamu au kuchekea chooni..ukishaona una jamii kama hii yetu wewe cheza na fantasies zao tu, alafu uone kitakachotokea, utafurahi...ni rahisi kupata pesa TZ kama ukiamua kujifyatua.
 
Waache 2 si wanachunguza jua☀️☀️☀️ kwa torch 🔦🔦
 
Hata Gwajima na kakobe walianza hivyo so hapa alipo huyu ndipo pale tunasema jua la utosi sasa, ambapo anachuma na kuwekeza nje ya hiyo biashara ya kanisa.

Baadaye anajenga jengo la kanisa na baadaye sana ubunge au anaachana na kila kitu anatulia kwenye kimbweta kama kakobe.

Never trust hawa wa kizazi hiki ni wanakusanya pesa na serikali ikiwa upande wake haiwezi kumpinga au vyovyote sababu wanakula na kipofu.
 
Watu wamekata tamaa na hawasomi maandiko kwa ufasaha!Biblia inajitafsiri yenyewe.Watu wangu waangamia kwa kukosa maarifa.
 
Niliwahi kumuona mtu ninayemfahamu sana , na changamoto alizokuwa anapitia. Siku hiyo namuona ETV anatoa ushuhuda kwa Mwamposa. Yaani walikodi basi zima kwenda Dar, alichokuwa anakishuhudia na ukweli tuliokuwa tunaufahamu vilikuwa vitu viwili tofauti kabisa. Alivyorudi tumekaa grocery tunakula bia namuuliza kwa nini ulienda kushuhudia uongo. Ameishia kukimbia mji na urudi kwao vijijini huko pamoja na ushuhuda wake wa uongo uliopitiliza.
Alijua kuwa kilichomtoa kwenye madeni ni kuuza nyumba yake, lakini siku ile ya ushuhuda anadai ni upako wa mafuta ulimpatia 35M ghafla, ilihali ni mauzo ya nyumba na bado kakimbia madeni lukuki, yuko maporini huko anachoma mkaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…