Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
hata kabla haujaendelea, shikilia hapo hapo kwanza. Februari 2016 !!!Februari mwaka 2016 ....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hata kabla haujaendelea, shikilia hapo hapo kwanza. Februari 2016 !!!Februari mwaka 2016 ....
Halafu simba ndio timu ya kwanza kupigwa tano tano ugenini halafu wanajiita timu kubwaMleta Mada Kwa bandiko lako mbumbumbu fc umewapiga ngumi ya pua, saaizi kamasi zinavuja tu.[emoji1][emoji1][emoji1]
Simba wengi ni waleo walianza kushabikia mpira juzi Ila ukweli miaka Kama kumi kuanzia 2008 mpaka 2028 mwakilishi wa kweli wa nchi alikuwa Yanga scWatu walokuja mjini baada ya Mo Dewj kuimiliki mikia hawawezi kuelewa.Misimu kadhaa Makolo hawakushiriki champions leage Wala confederations .Na hapo jina la kimataifa likazalishwa na Jerry Muro.
Wewe gongowazi hii unaikumbuka au ulikuwa bado unacheza mdako?Halafu simba ndio timu ya kwanza kupigwa tano tano ugenini halafu wanajiita timu kubwa
Unajiabisha bure bora ukae kimya tu.Simba wengi ni waleo walianza kushabikia mpira juzi Ila ukweli miaka Kama kumi kuanzia 2008 mpaka 2028 mwakilishi wa kweli wa nchi alikuwa Yanga sc
Tatizo mpira umevamiwa now!!! Watu wanajifanya hawajui kilichofanyika ligi yetu miaka ya 2007 ilikuwa ya 48 kwa ubora africa lakini by 2018 ilikuwa ya 16 je nani aliipaisha?
Simba ni timu ya kelele na propaganda tu!!!!
Huu ni mwaka 2022 wala hatujafika 2028, hoja kwa Sasa hatutaki wawakilishi Bali tunataka washindani, hata Ihefu inawakilisha eneo lao kwenye ligi kuu, tuachane na ujinga.Simba wengi ni waleo walianza kushabikia mpira juzi Ila ukweli miaka Kama kumi kuanzia 2008 mpaka 2028 mwakilishi wa kweli wa nchi alikuwa Yanga sc
Tatizo mpira umevamiwa now!!! Watu wanajifanya hawajui kilichofanyika ligi yetu miaka ya 2007 ilikuwa ya 48 kwa ubora africa lakini by 2018 ilikuwa ya 16 je nani aliipaisha?
Simba ni timu ya kelele na propaganda tu!!!!
Wewe ni mzima kichwani?Labda hujasoma vizuri andiko Manji aliingia group stage mara mbili 2016 na 2018 na ushahiidi huu hapa
2016 CAF Confederation Cup group stage - Wikipedia
en.wikipedia.org
2018 CAF Confederation Cup group stage - Wikipedia Pimbi wee
Hivi umelazimishwa Kuja kwenye huu uzi au group stage gani unayoiisemsWewe ni mzima kichwani?
Soma ubaoHalafu simba ndio timu ya kwanza kupigwa tano tano ugenini halafu wanajiita timu kubwa
Simba wengi ni waleo walianza kushabikia mpira juzi Ila ukweli miaka Kama kumi kuanzia 2008 mpaka 2028 mwakilishi wa kweli wa nchi alikuwa Yanga sc
Tatizo mpira umevamiwa now!!! Watu wanajifanya hawajui kilichofanyika ligi yetu miaka ya 2007 ilikuwa ya 48 kwa ubora africa lakini by 2018 ilikuwa ya 16 je nani aliipaisha?
Simba ni timu ya kelele na propaganda tu!!!!