Bunda: Lissu atangaza kubadili Sheria ya madini, kwamba atajayeyagundua kwenye ardhi yake yatakuwa yake

Kwani saizi Mali zipi sio za Umma? Na ni za nani? Ardhi ni Mali ya Umma haid keshokutwa na uelewe neneo Ardhi kwanza , mengine hayo ni blaa blaa zako
 
Lissu kachanganyikiwa. Hicho anachokisema ni ujinga mtupu. Bora hata angesema kwamba madini yakigunduliwa kwenye ardhi yako na wewe unakuwa shareholder wa kampuni itakayochimba uwe unapata mrabaha.
Lkn mmiliki wa ardhi yenye uoto wa bangi sio mali ya serikali sio 🤣🤣🤣🤣
 
toka kipindi cha lowasa mlisema hivyohivyo nyie makuwadi ya warabu koko lakin 2020 yule mbwa wa chato akaona chadema mziki mnene akasanda.
Hujaelewa,

Nachosema ni kuwa bila kuwapo Tume huru na Katiba mpya kabla ya Uchaguzi,

CDM kushinda uchaguzi ni ndoto ya mchana, maana Katiba hii haitoi nafasi ya kukata Rufaa mahakamani, na akishatangazwa, ametangazwa.

Jambo hili amekuwa akisisitiza zaidi Mnyika na Lissu, msisituzo unahitajika zaidi Ili kuhamasisha vijana kushiriki uchaguzi.
 
Uko sahihi Lakini shida itakuja kwenye kujua kiasi Cha madini kilichopatikana Ili upate mrabaha wako.
Mpaka serikali yenyewe imekwama inapigwa Kila kukicha
Mkuu hili suala la madini ni zito mno. Lina mikono michafu mingi kuanzia serikalini, wanasiasa, watu binafsi hadi viongozi wa dini. Ni suala tete mno kwenye nchi zetu hizi. Fikiria kiongozi wa dini kama Prophet Bushiri na Uegbert Angel nao huwa wanapiga madili haramu ya dhahabu na mawe mengine ya thamani..!!
 
Lissu kachanganyikiwa. Hicho anachokisema ni ujinga mtupu. Bora hata angesema kwamba madini yakigunduliwa kwenye ardhi yako na wewe unakuwa shareholder wa kampuni itakayochimba uwe unapata mrabaha.
Wewe na Lissu nani kachanganyikiwa.
 
Wewe umekielewa? Unajua maana ya neno Ardhi?Lisu anasema mwenye plot ndio aje a bargain na mwekezaji au serikali Sasa hatujafikia kuweka Ardhi Mali binafsi.
Ni wewe na nani hamjafikia? Na ni kwa nini hamfikii? Jitahidi kumuelewa Lissu anachokiongea. Tuachane na sheria tata za wakoloni na ambazo baadhi tumejitia kurithi bila kuelewa.
Nikiwa na kipande cha ardhi (eneo), ikagundulika kuna madini, automatically mimi ninapaswa kuwa shareholder kwa uwekezaji wowote ule whether govt au mwekezaji yoyote. For each unit of valuable resource extracted,natakiwa kupata % share ya ile total value. Na serikali kama msimamizi Mkuu, atapata siyo kwa niaba yangu ila share yake.
Hicho ndicho anachoongea Lissu. Ilivyo hivi sasa, naambiwa ili ninufaike na madini yanayochimbwa kwenye eneo langu,nifungue mgahawa wa chai niwauzie wachimbaji na wawekezaji.
 
Hayo ndio watu wanataka kuyasikia sio habari za mtu aliyekwisha kwenda mbele ya haki !!
 
Subiria Lisu awe Rais wa Nchi ya kufikilika ndio atafanya huo upuuzi
 
Subiria Lisu awe Rais wa Nchi ya kufikilika ndio atafanya huo upuuzi
Upuuzi tunao sisi. Hatutaki kufungua uelewa. Anachoongea Lissu kina logic. Ni namna gani logic yake iboreshwe kuwa sheria au utaratibu kamili kwa maslahi ya wote ni kazi yetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…