Bunge: Hali ya Utegemezi Nchini inatisha. Katika Watu 100, watu 87 ni Tegemezi

Bunge: Hali ya Utegemezi Nchini inatisha. Katika Watu 100, watu 87 ni Tegemezi

Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bajeti ya Bunge la Tanzania Olan Njezya amesema Haki ya Utegemezi Nchini Tanzania inatosha ambapo watu 87 kati ya 100 ni wategemezi.

Kwamba watu wenye uwezo wa kufanya kazi na Kuzalisha ni 13 tuu ndio wanawalisha watu 87.
===============
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti imesema watu 87 kati ya 100 ni tegemezi nchini, hivyo kushauri itengwe bajeti ya kufanya utafiti wa mapato na matumizi ya kaya, ili kupata takwimu ya hali ya umaskini.

Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Oran Njeza, aliyasema hayo bungeni juzi alipokuwa akisoma maoni ya kamati kuhusu mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2025/26 pamoja na mapendekeo ya mwongozo wa maandalizi ya Mpango na Bajeti ya Serikali kwa Mwaka 2025/26.

Alisema kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022, idadi ya watu ilikuwa 61,741,120 mwaka 2022 na inakadiriwa kuwa ifikapo mwaka 2035 idadi ya watu nchini itakuwa 87,509,630 kutokana na ongezeko la asilimia 3.2 kila mwaka.

“Ongezeko hili la idadi ya watu nchini haliendani na ukuaji wa uchumi. Kamati inaishauri serikali kuhakikisha kwamba, ongezeko la watu linaendana na ukuaji wa uchumi kwa sababu hivi sasa, kati ya watu 100 watu 87 ni tegemezi,”alisema.

My Take
Vijana wa kiume ndio wamegeuka wategemezi hawataki kufanya kazi ngumu za uzalishaji badala yake wanawake ndio wanapambana.

Taifa liko mashakani ikiwa Nguvu kazi haipo na Kasi ya kuzaana inazidi kuongezeka.

View attachment 3142775

Pia soma Tanzania Yashika namba 6 kwenye Orodha ya Nchi 10 Ambazo Zitachangia Idadi Kubwa ya Watu Duniani Mwaka 2037.


Tunarud
Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bajeti ya Bunge la Tanzania Olan Njezya amesema Haki ya Utegemezi Nchini Tanzania inatosha ambapo watu 87 kati ya 100 ni wategemezi.

Kwamba watu wenye uwezo wa kufanya kazi na Kuzalisha ni 13 tuu ndio wanawalisha watu 87.
===============
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti imesema watu 87 kati ya 100 ni tegemezi nchini, hivyo kushauri itengwe bajeti ya kufanya utafiti wa mapato na matumizi ya kaya, ili kupata takwimu ya hali ya umaskini.

Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Oran Njeza, aliyasema hayo bungeni juzi alipokuwa akisoma maoni ya kamati kuhusu mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2025/26 pamoja na mapendekeo ya mwongozo wa maandalizi ya Mpango na Bajeti ya Serikali kwa Mwaka 2025/26.

Alisema kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022, idadi ya watu ilikuwa 61,741,120 mwaka 2022 na inakadiriwa kuwa ifikapo mwaka 2035 idadi ya watu nchini itakuwa 87,509,630 kutokana na ongezeko la asilimia 3.2 kila mwaka.

“Ongezeko hili la idadi ya watu nchini haliendani na ukuaji wa uchumi. Kamati inaishauri serikali kuhakikisha kwamba, ongezeko la watu linaendana na ukuaji wa uchumi kwa sababu hivi sasa, kati ya watu 100 watu 87 ni tegemezi,”alisema.

My Take
Vijana wa kiume ndio wamegeuka wategemezi hawataki kufanya kazi ngumu za uzalishaji badala yake wanawake ndio wanapambana.

Taifa liko mashakani ikiwa Nguvu kazi haipo na Kasi ya kuzaana inazidi kuongezeka.

View attachment 3142775

Pia soma Tanzania Yashika namba 6 kwenye Orodha ya Nchi 10 Ambazo Zitachangia Idadi Kubwa ya Watu Duniani Mwaka 2037.

Mawazo kwa nchi haya hapa mkifuata watu tegemezi kiasi hiki hawatakuwepo

 
Kwamba watu wenye uwezo wa kufanya kazi na Kuzalisha ni 13 tuu ndio wanawalisha watu 87.
Sijawahi kusikia Upuuzi kama huu..., anamaanisha wenye uwezo wa kufanya kazi au walioweza kupatiwa kazi ili wapate ujira kulingana na Ujuzi wao ?

Kuna wauguzi wangapi kitaa hawana kazi ? Kuna waalimu wangapi kitaa hawana kazi wakati bado tuna uhitaji wa wakufunzi ?

Wangapi wanakwenda kulima na mwisho wa siku kukosa masoko ? If anyone ambaye hafanyi kazi yake ni hao so called watunga Sera ambao wapo out of touch....
===============
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti imesema watu 87 kati ya 100 ni tegemezi nchini, hivyo kushauri itengwe bajeti ya kufanya utafiti wa mapato na matumizi ya kaya, ili kupata takwimu ya hali ya umaskini.
.
Yaani Kodi za hawa masikini zitumike ili eti kufanya utafiti wakati mambo yapo wide open ? Ukiweka kazi ya kuhitaji watu kumi wanatokea watu elfu 10,000 kutafuta hio ajira ili wapate ujira..., Tatizo lipo hapo wala halihitaji degree kuweza kuliona unless wewe ni kipofu...
 
Tatizo la viongozi mfu wa Tanzania ni kujadili symptoms za tatizo na si tatizo lenyewe
Tatizo la utegemezi na umasikini ni after effects za ukosefu wa ajira na fursa za kiuchumi za kuwawezesha watu kupata kipato cha kujikimu na chenye muendelezo ili kuendesha maisha yao .
Na hii inachangiwa kwa kiasi kikubwa na mgawanyo mbovu wa cake ya taifa na sera +uongozi mbovu wa kudeal na hili tatizo sugu nchini
 
Kama watu hawana ajira , hawana fursa za masoko ya uhakika kwa bidhaa zao za kilimo , hawana masoko ya uhakika kwa shughuli zao pia wanazifanya kwa dhiki ,hilo ni tatizo ,zaidi ya asilimia 60 ya unaoitwa ujasiriamali kitaa hauna hadhi ya kufaa kuwekwa kwenye ujasiriamali ni shughuli za kufanya ili adife njaa ila si shughuli za kuondoa tatizo la utegemezi na extreme poverty humu nchini
Never
 
 
Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bajeti ya Bunge la Tanzania Olan Njezya amesema Haki ya Utegemezi Nchini Tanzania inatosha ambapo watu 87 kati ya 100 ni wategemezi.

Kwamba watu wenye uwezo wa kufanya kazi na Kuzalisha ni 13 tuu ndio wanawalisha watu 87.
===============
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti imesema watu 87 kati ya 100 ni tegemezi nchini, hivyo kushauri itengwe bajeti ya kufanya utafiti wa mapato na matumizi ya kaya, ili kupata takwimu ya hali ya umaskini.

Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Oran Njeza, aliyasema hayo bungeni juzi alipokuwa akisoma maoni ya kamati kuhusu mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2025/26 pamoja na mapendekeo ya mwongozo wa maandalizi ya Mpango na Bajeti ya Serikali kwa Mwaka 2025/26.

Alisema kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022, idadi ya watu ilikuwa 61,741,120 mwaka 2022 na inakadiriwa kuwa ifikapo mwaka 2035 idadi ya watu nchini itakuwa 87,509,630 kutokana na ongezeko la asilimia 3.2 kila mwaka.

“Ongezeko hili la idadi ya watu nchini haliendani na ukuaji wa uchumi. Kamati inaishauri serikali kuhakikisha kwamba, ongezeko la watu linaendana na ukuaji wa uchumi kwa sababu hivi sasa, kati ya watu 100 watu 87 ni tegemezi,”alisema.

My Take
Vijana wa kiume ndio wamegeuka wategemezi hawataki kufanya kazi ngumu za uzalishaji badala yake wanawake ndio wanapambana.

Taifa liko mashakani ikiwa Nguvu kazi haipo na Kasi ya kuzaana inazidi kuongezeka.

View attachment 3142775

Pia soma Tanzania Yashika namba 6 kwenye Orodha ya Nchi 10 Ambazo Zitachangia Idadi Kubwa ya Watu Duniani Mwaka 2037.
Hivi hata wabunge wenyewe sini tegemezi pia. Maana ili mtu usiwe tegemezi ni lazima uzalishe zaidi ya kile unacho kichukuwa. Kwa mfano kama unashamed la eka tatu ukalilima na kupanda mazao unayo taka yq kuuza . Baada kuuza ukapiga mahesabu ya gharama za kulimisha kupanda na matuzo ya mazo mpaka kuuza ukakuta gharama ni kubwa kuli hela uliyo ipata baada kuuza . Maana yake shamba lake ni tegemezi kwako. Tukija kwa wabunge na mawaziri wa Tanzania tukahesabu gharama zinazo tumika kuwalipa mishahara na marupurupu kwa kipindi chate cha utumishi wao ukalinganisha michango yao kwa maendeleo ya walipa kodi utakuta wabunge ni tegemezi maana kuwapo kwao na kutokuwepo kwa hakuna faida Bali hasara zaidi kwa walipo kodi.
 
Hawa ni viongozi wapuuzi kabisa!
Wanaongea kama hawana vichwa!
Serikali inakopa pesa Kila kukicha lakini utasikia Wakandarasi hawalipwi na wengi wamefilisika!
Pesa haziwekwi ktk miradi yenye kuzalisha ajira bali ni upigaji tu !
Huyu Mbunge anazungumzia wanaowategemea kwa kuwapiga mizinga kwa kuwa wao ndo wanakula keki ya Taifa!
 
Back
Top Bottom