Bunge: Hali ya Utegemezi Nchini inatisha. Katika Watu 100, watu 87 ni Tegemezi

Bunge: Hali ya Utegemezi Nchini inatisha. Katika Watu 100, watu 87 ni Tegemezi

Unawaza ujira badala ya kuwaza uzalishaji? Nyie mbumbumbu ndio mnasababisha Utegemezi
Sasa uzalishaji si ndio utaleta ujira ? Au mwenzangu unawaza nini..., ndio maana nimekwambia inahitajika Sera za kuhakikisha watu wanapata ujira wa kuweza kukidhi basic needs zao..., Cha ajabu hata wengine wanaocheza pata potea (mfano wakulima wa vanila) wanakuta Soko hamna..., au wengine wameshalima wanapelekewa mbolea ambazo hazifai....

Nadhani mpaka hapo utaona common denominator ni ipi.., na kama huwezi kuona takusaidia..., Ni watumishi wetu / walamba asali / watunga sera ambao wameshindwa kuja na sera as well as jinsi ya kuhakikisha hii Keki ya Taifa angalau hata makombo yanamfikia kila mtu...

Ila ndio hivyo wote wameshageuka machawa na madalali
 
Sasa uzalishaji si ndio utaleta ujira ? Au mwenzangu unawaza nini..., ndio maana nimekwambia inahitajika Sera za kuhakikisha watu wanapata ujira wa kuweza kukidhi basic needs zao..., Cha ajabu hata wengine wanaocheza pata potea (mfano wakulima wa vanila) wanakuta Soko hamna..., au wengine wameshalima wanapelekewa mbolea ambazo hazifai....

Nadhani mpaka hapo utaona common denominator ni ipi.., na kama huwezi kuona takusaidia..., Ni watumishi wetu / walamba asali / watunga sera ambao wameshindwa kuja na sera as well as jinsi ya kuhakikisha hii Keki ya Taifa angalau hata makombo yanamfikia kila mtu...

Ila ndio hivyo wote wameshageuka machawa na madalali
Uzalishaji utakuja Kwa kuwaza Ajira za ofisini kama unavyosema?

Sera zinazohitajika na ambazo kimsingi zipo ni za kutimiza watu kujiajiri ,kuwa wabunifu na kuajiri wengine wachache ambao wameshindwa kujiajiri.

Nyie ndio mnasababisha Utegemezi
 
Uzalishaji utakuja Kwa kuwaza Ajira za ofisini kama unavyosema?
Nani kaongelea ofisi ? Nimeongelea wakulima wa Vanila unadhani kama mwenzako kalima kipindi cha mavuno masoko hakuna wangapi watakwenda kulima msimu unaofuata ?

Tena hapo sijaongelea ngonjera za wizara za kuuza na kutokuuza nje mazao yakiwa mengi uzeni popote yakiwa machache ohh mpaka mpate vibali
Sera zinazohitajika na ambazo kimsingi zipo ni za kutimiza watu kujiajiri ,kuwa wabunifu na kuajiri wengine wachache ambao wameshindwa kujiajiri.

Nyie ndio mnasababisha Utegemezi
Hakuna uwezekano wa kila mtu kujiajiri hii ni utopian idea ambayo wanatumia watunga sera kwa kushindwa kutumiza wajibu wao na kuhamishia kwa wananchi..., kwanza sasa hivi wala huitaji kuwa mbunifu everything is out there and its repetition, lakini kwa nchi ambayo watu hawana disposable income competition ya uchuuzi inayofanyika kinachopatika sio fit for purpose...

Naam inabidi watu wachache waweze kuleta vitu ili kuweza kuajiri wengi (sio vice versa kwamba wengi wafanye vitu ili waajiri wachache) mtaani ni pagumu na panahitaji discipline ambayo wachache wanayo... na kipindi hiki ambapo cha teknolojia nguvu kazi inazidi kutohitajika hivyo watunga Sera wangeacha Mipasho na kuangalia ni vipi tunaweza kuvuka hii sintofahamu..., ila ndio hivyo hata bundle wameongeza bei (source ambayo ingeweza kuwa ajira au source ya kupata ujuzi)

 
Katika nchi ambayo watu wake kila sehemu maongezi yao ni Simba na Yanga asubuhi hadi usiku,Katika nchi ambayo bodaboda na betting nazo zimefanywa kazi Kwa vijana,Katika ambayo anaejitahidi ktengeneza gari(Masoud) hatambuliki na watawala lakini madalali WA magari(Dotto) na machawa kina Mwijaku wanapata mialiko kama role model wa vijana. WATU WATAWEZA VIPI KUJITEGEMEA...YAANI BAADA YA KUMUONYESHA KIJANA UTHUBUTU WA KIPANYA KUTENGENEZA GARI UNAMUONYESHA NA HAPA IPO AU UMEPOAAAAAA
 
Katika nchi ambayo watu wake kila sehemu maongezi yao ni Simba na Yanga asubuhi hadi usiku,Katika nchi ambayo bodaboda na betting nazo zimefanywa kazi Kwa vijana,Katika ambayo anaejitahidi ktengeneza gari(Masoud) hatambuliki na watawala lakini madalali WA magari(Dotto) na machawa kina Mwijaku wanapata mialiko kama role model wa vijana. WATU WATAWEZA VIPI KUJITEGEMEA...YAANI BAADA YA KUMUONYESHA KIJANA UTHUBUTU WA KIPANYA KUTENGENEZA GARI UNAMUONYESHA NA HAPA IPO AU UMEPOAAAAAA
Moja hio Simba na Yanga ni Sports industry na watunga Sera wangekuwa na akili wangeweza kutumia hio kuongeza ujira wa watu....

Mbili gari / doli / mwanasesere wa Kipanya nadhani was supposed to be a joke..., sababu kama tunamsifia Kipanya kwa kufanya yale wakati huko nje kuna watoto wapo Kindergarten wanafanya coding coming out with new ideas nadhani tume set objectives zetu too low...,

Na kuwalaumu hao madalali ambao wanajilisha na sio kulaumu watunga Sera ambao wanakamua mwananchi hata kuongeza bundle ambapo wasanii wangekuwa wanapeleka kazi yao Youtube na kuonekana dunia nzima nadhani una misfire....

 
Mimi nadhani kuondoa hii hali ambayo kwa kiasi kikubwa sana inachangiwa na ukosefu wa AJIRA..

Serikali kwa makusudi kabisa ingeandaa mpango wa TAIFA wa kuanisha maeneo yenye uzalishaji kiuchumi na yenye masoko ya wazi kabisa na kuandaa program za kutoa Mikopo ya bila RIBA KWA VIJANA NA WANAWAKE kwenye maeneo ya uchumi zalishi ili Uzalishaji huo unyanyue uchumi wa wakopeshwaji na UCHUMI WA TAIFA KWA UJUMLA

1.SOKO KUBWA LA SOYA CHINA ambalo linataka tani 400,000 kila mwaka ili hali Tanzania inazalisha tani 20,000 tu kwa sasa yaani kuna uhaba wa tani 380,000 kujaza soko hilo tulilopewa tangu 2017...

2.Soko la $387,000,000 kila mwaka la mihogo CHINA ambalo nalo tangu tupewe na China 2017 hadi sasa hatuuzi mihogo hiyo hata 10% tu na wanaihitaji sana..

3.Uzalishaji wa miwese ya kutoa mafuta na kuziba pengo la uhaba wa mafuta ya kula Tanzania ambapo taifa linaagiza kwa pesa ya kigeni $800,000,000 kila mwaka kutoka Malaysia na Indonesia na cha kushangaza Indonesia mwaka 1972 walikuja kigoma na kuchukua mbegu za miwese na sasa wanatuuzia sisi mafuta ya KORIE🤷🏾‍♀️🤷🏾‍♀️

Mifano ni mingi sana ambayo kama Taifa lingeamua kuwekeza kwa nguvu kazi iliyo tegemezi sasa kwa kuwa tu haina mitaji ili hali cha kuzalisha kipo kwa kuwatumia activation ya uchumi wa Taifa ingekuwa kubwa sana

Fikiria tu $ zitakazoingia kwa kuuza tani 400,000 za soya China...

Kuuza muhogo wa $3787M
Kuokoa $800M kwa kuhakikisha tunajitosheleza kwa mafuta ya kula na hata kuyauza nje....

Nchi zetu hizi ambazo hazina viwanda vya uzalishaji na kutoa ajira nchi ambazo hata tooth picks na ndala tunaagiza China na hivyo watu kukosa kuajiriwa viwandani inatakiwa TUJIKITE sana kwenye masoko ya chakula ili tujilishe na tulishe Africa na dunia...

Bara la Africa kila mwaka linatumia
$ bilioni 30 kuagiza chakula nje ya Africa 🤷🏾‍♀️🤷🏾‍♀️ hii ni aibu ukizingatia jiografia ya hali ya hewa ya kiprotokali inayostawi karibia kila kitu..

Tanzania/Africa Iamke na ilishe dunia

Lakini hii aibu ya theluthi moja ya bara la Africa kulishwa na ngano ya UKRAINE NA RUSIA...tusipotoka hapo tutakuwa watumwa kisiasa na kiuchumi milele..

Maana ukiwa na njaa wewe ni Automatically MTUMWA.
 
Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bajeti ya Bunge la Tanzania Olan Njezya amesema Haki ya Utegemezi Nchini Tanzania inatosha ambapo watu 87 kati ya 100 ni wategemezi.

Kwamba watu wenye uwezo wa kufanya kazi na Kuzalisha ni 13 tuu ndio wanawalisha watu 87.

Pia soma zaidi hapa Yusuph Mwenda: Kati ya watanzania Milioni 62, wanaolipa kodi ni Milioni 2 tu
===============
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti imesema watu 87 kati ya 100 ni tegemezi nchini, hivyo kushauri itengwe bajeti ya kufanya utafiti wa mapato na matumizi ya kaya, ili kupata takwimu ya hali ya umaskini.

Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Oran Njeza, aliyasema hayo bungeni juzi alipokuwa akisoma maoni ya kamati kuhusu mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2025/26 pamoja na mapendekeo ya mwongozo wa maandalizi ya Mpango na Bajeti ya Serikali kwa Mwaka 2025/26.

Alisema kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022, idadi ya watu ilikuwa 61,741,120 mwaka 2022 na inakadiriwa kuwa ifikapo mwaka 2035 idadi ya watu nchini itakuwa 87,509,630 kutokana na ongezeko la asilimia 3.2 kila mwaka.

“Ongezeko hili la idadi ya watu nchini haliendani na ukuaji wa uchumi. Kamati inaishauri serikali kuhakikisha kwamba, ongezeko la watu linaendana na ukuaji wa uchumi kwa sababu hivi sasa, kati ya watu 100 watu 87 ni tegemezi,”alisema.

My Take
Vijana wa kiume ndio wamegeuka wategemezi hawataki kufanya kazi ngumu za uzalishaji badala yake wanawake ndio wanapambana.

Taifa liko mashakani ikiwa Nguvu kazi haipo na Kasi ya kuzaana inazidi kuongezeka.

View attachment 3142775

Pia soma Tanzania Yashika namba 6 kwenye Orodha ya Nchi 10 Ambazo Zitachangia Idadi Kubwa ya Watu Duniani Mwaka 2037.
CCM OYEEE
 
Sasa hela zote hizo za serikali wanazoingiza wanashindwaje kutoa hata crisis loan kama watu wakikosa kabisa chakula? Kuna watoto wachanga wanakosa lishe na serikali ipo
Sijui watanipa usajili wa Charity ya food bank niwe nakusanya chakula kwa wanaojiweza halafu napeleka sehemu wakija wahitaji nawapa bure
Hii ni aibu na dhihaka kwa kweli
Kama takwimu za kweli
 
Bado inatakiwa ifike ratio ya 1 kwa 99 ili kusudi lifanyike jambo la kimiujiza.😄
Ikifika ratio hiyo, ndiyo safi, jamii yenyewe itasema sasa inataosha, (mafuvu yatakapo rudishiwa akili)

Silent society, (jamii iliyo nyamazi), ama nyamazisha, swali fikirishi jamii itaendelea kunyamaza hadi lini?, je madhara ya jamii kunyamaza tunayajua?

For how long should society remain silence, in reality though silence surrenders public responsibilities
 
Ijkifika ratio hiyo, ndiyo safi, jamii yenyewe itasema sasa inataosha, (mafuvu yatakapo rudishiwa akili)

Silent society, (jamii iliyo nyamazi), ama nyamazisha, swali fikirishi jamii itaendelea kunyamaza hadi lini?, je madhara ya jamii kunyamaza tunayajua?

For how long should society remain silence, in reality though silence surrenders public responsibilities
Sahizi kuna kundi kubwa ambalo linakula na kusaza ndio maana unaona watu hawana muamko wa kudai haki zao wanaona bora liende tu. Wachache ndio wanaoumizwa na extreme poverty.

Siku zote kuwa kitanzini na njaa ikiuma vizuri ndio huwa inamfanya mtu apate akili ya kujitafuta. Ukilala njaa siku 2/3 huwezi kujiuliza sana lazma utafanya maamuzi ya kujiokoa uhai wako bila kujali lolote lazma upambane na mtesi wako ili uwe huru. Sasa jiulize mkiwa kundi kubwa na similar motive hali itakuwaje? Mabadiliko yatatokea tu.

Sahizi tumegawanywa kimakundi, wengi ni wasaliti wanaopumbazwa na hongo za watesi wetu ili kuwahadaa raia kwamba maisha wanayoishi yako sawa ila kimsingi ni uongo wa dhahiri. Ipo siku watu wataongea lugha moja tu.
 
Mimi nadhani kuondoa hii hali ambayo kwa kiasi kikubwa sana inachangiwa na ukosefu wa AJIRA..

Serikali kwa makusudi kabisa ingeandaa mpango wa TAIFA wa kuanisha maeneo yenye uzalishaji kiuchumi na yenye masoko ya wazi kabisa na kuandaa program za kutoa Mikopo ya bila RIBA KWA VIJANA NA WANAWAKE kwenye maeneo ya uchumi zalishi ili Uzalishaji huo unyanyue uchumi wa wakopeshwaji na UCHUMI WA TAIFA KWA UJUMLA

1.SOKO KUBWA LA SOYA CHINA ambalo linataka tani 400,000 kila mwaka ili hali Tanzania inazalisha tani 20,000 tu kwa sasa yaani kuna uhaba wa tani 380,000 kujaza soko hilo tulilopewa tangu 2017...

2.Soko la $387,000,000 kila mwaka la mihogo CHINA ambalo nalo tangu tupewe na China 2017 hadi sasa hatuuzi mihogo hiyo hata 10% tu na wanaihitaji sana..

3.Uzalishaji wa miwese ya kutoa mafuta na kuziba pengo la uhaba wa mafuta ya kula Tanzania ambapo taifa linaagiza kwa pesa ya kigeni $800,000,000 kila mwaka kutoka Malaysia na Indonesia na cha kushangaza Indonesia mwaka 1972 walikuja kigoma na kuchukua mbegu za miwese na sasa wanatuuzia sisi mafuta ya KORIE🤷🏾‍♀️🤷🏾‍♀️

Mifano ni mingi sana ambayo kama Taifa lingeamua kuwekeza kwa nguvu kazi iliyo tegemezi sasa kwa kuwa tu haina mitaji ili hali cha kuzalisha kipo kwa kuwatumia activation ya uchumi wa Taifa ingekuwa kubwa sana

Fikiria tu $ zitakazoingia kwa kuuza tani 400,000 za soya China...

Kuuza muhogo wa $3787M
Kuokoa $800M kwa kuhakikisha tunajitosheleza kwa mafuta ya kula na hata kuyauza nje....

Nchi zetu hizi ambazo hazina viwanda vya uzalishaji na kutoa ajira nchi ambazo hata tooth picks na ndala tunaagiza China na hivyo watu kukosa kuajiriwa viwandani inatakiwa TUJIKITE sana kwenye masoko ya chakula ili tujilishe na tulishe Africa na dunia...

Bara la Africa kila mwaka linatumia
$ bilioni 30 kuagiza chakula nje ya Africa 🤷🏾‍♀️🤷🏾‍♀️ hii ni aibu ukizingatia jiografia ya hali ya hewa ya kiprotokali inayostawi karibia kila kitu..

Tanzania/Africa Iamke na ilishe dunia

Lakini hii aibu ya theluthi moja ya bara la Africa kulishwa na ngano ya UKRAINE NA RUSIA...tusipotoka hapo tutakuwa watumwa kisiasa na kiuchumi milele..

Maana ukiwa na njaa wewe ni Automatically MTUMWA.
Tatizo letu kubwa ni ubinafsi, hayo masoko wenye rights za export ukifuatilia utakuta ni mafisadi wa Mboga mboga. Wewe kajamba nani huwezi kuruhusiwa kupeleka huko🤣 ili wao wafanye biashara kwa uhuru.

Vitu ambavyo vingefanyika kwa usahihi nchi ingesonga sana mbele kimaendeleo. Dhana za kisasa za kilimo zipo na serikali inamudu kuzileta. Ardhi ipo ya kutosha sana.
 
Na hao ndio wale watu 13 katika watu 100...., Yaani inahitaji upofu wa hali ya juu kutokuona kwamba mambo hayapo sawa na upuuzi wa sasa utalicost taifa na viongozi wa kesho..., Yaani kutokuwa na Sera za kuwezesha nguvu kazi ya sasa kutokuwa na ujira wa uhakika hivyo watu kutokuwa pensionable itapelekea mzigo kwa taifa la kesho kuwa na wazee ombaomba....

Huyo shoga ni chawa wa mbogamboga hana akili hata kidogo, yeye ni kubisha tu bila fact.
 
My Take
Vijana wa kiume ndio wamegeuka wategemezi hawataki kufanya kazi ngumu za uzalishaji badala yake wanawake ndio wanapambana
kwanini usiseme serikali inafail kwenye sera za ajira kwa wananchi wake?

Wewe unalaumu vijana wa kiume hawataki kazi ngumu sasa kila mtu akienda kubeba zege ndio uchumi utakuwa..

Usitupe lawama vijana ambao tupo kwenye nchi yenye sera na sheria zinazokubana usiweze hata kujiajiri.
 
Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bajeti ya Bunge la Tanzania Olan Njezya amesema Haki ya Utegemezi Nchini Tanzania inatosha ambapo watu 87 kati ya 100 ni wategemezi.

Kwamba watu wenye uwezo wa kufanya kazi na Kuzalisha ni 13 tuu ndio wanawalisha watu 87.

Pia soma zaidi hapa Yusuph Mwenda: Kati ya watanzania Milioni 62, wanaolipa kodi ni Milioni 2 tu
===============
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti imesema watu 87 kati ya 100 ni tegemezi nchini, hivyo kushauri itengwe bajeti ya kufanya utafiti wa mapato na matumizi ya kaya, ili kupata takwimu ya hali ya umaskini.

Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Oran Njeza, aliyasema hayo bungeni juzi alipokuwa akisoma maoni ya kamati kuhusu mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2025/26 pamoja na mapendekeo ya mwongozo wa maandalizi ya Mpango na Bajeti ya Serikali kwa Mwaka 2025/26.

Alisema kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022, idadi ya watu ilikuwa 61,741,120 mwaka 2022 na inakadiriwa kuwa ifikapo mwaka 2035 idadi ya watu nchini itakuwa 87,509,630 kutokana na ongezeko la asilimia 3.2 kila mwaka.

“Ongezeko hili la idadi ya watu nchini haliendani na ukuaji wa uchumi. Kamati inaishauri serikali kuhakikisha kwamba, ongezeko la watu linaendana na ukuaji wa uchumi kwa sababu hivi sasa, kati ya watu 100 watu 87 ni tegemezi,”alisema.

My Take
Vijana wa kiume ndio wamegeuka wategemezi hawataki kufanya kazi ngumu za uzalishaji badala yake wanawake ndio wanapambana.

Taifa liko mashakani ikiwa Nguvu kazi haipo na Kasi ya kuzaana inazidi kuongezeka.

View attachment 3142775

Pia soma Tanzania Yashika namba 6 kwenye Orodha ya Nchi 10 Ambazo Zitachangia Idadi Kubwa ya Watu Duniani Mwaka 2037.
Duh! Kazi kweli kweli!
 
Back
Top Bottom