Bunge: Hali ya Utegemezi Nchini inatisha. Katika Watu 100, watu 87 ni Tegemezi

Bunge: Hali ya Utegemezi Nchini inatisha. Katika Watu 100, watu 87 ni Tegemezi

Tatizo la viongozi mfu wa Tanzania ni kujadili symptoms za tatizo na si tatizo lenyewe
Tatizo la utegemezi na umasikini ni after effects za ukosefu wa ajira na fursa za kiuchumi za kuwawezesha watu kupata kipato cha kujikimu na chenye muendelezo ili kuendesha maisha yao .
Na hii inachangiwa kwa kiasi kikubwa na mgawanyo mbovu wa cake ya taifa na sera +uongozi mbovu wa kudeal na hili tatizo sugu nchini
Sasa watu waliovimbiwa cake ya taifa watawezaje kuweka mijadala chanya kwa ajili ya mustakabali wa walalahoi? Hawaujui uchungu wa umaskini kwa sababu wao sio masikini hata kidogo. Wana mahela ya kula wao na vizazi vyao hadi vijukuu
 
Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bajeti ya Bunge la Tanzania Olan Njezya amesema Haki ya Utegemezi Nchini Tanzania inatosha ambapo watu 87 kati ya 100 ni wategemezi.

Kwamba watu wenye uwezo wa kufanya kazi na Kuzalisha ni 13 tuu ndio wanawalisha watu 87.
===============
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti imesema watu 87 kati ya 100 ni tegemezi nchini, hivyo kushauri itengwe bajeti ya kufanya utafiti wa mapato na matumizi ya kaya, ili kupata takwimu ya hali ya umaskini.

Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Oran Njeza, aliyasema hayo bungeni juzi alipokuwa akisoma maoni ya kamati kuhusu mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2025/26 pamoja na mapendekeo ya mwongozo wa maandalizi ya Mpango na Bajeti ya Serikali kwa Mwaka 2025/26.

Alisema kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022, idadi ya watu ilikuwa 61,741,120 mwaka 2022 na inakadiriwa kuwa ifikapo mwaka 2035 idadi ya watu nchini itakuwa 87,509,630 kutokana na ongezeko la asilimia 3.2 kila mwaka.

“Ongezeko hili la idadi ya watu nchini haliendani na ukuaji wa uchumi. Kamati inaishauri serikali kuhakikisha kwamba, ongezeko la watu linaendana na ukuaji wa uchumi kwa sababu hivi sasa, kati ya watu 100 watu 87 ni tegemezi,”alisema.

My Take
Vijana wa kiume ndio wamegeuka wategemezi hawataki kufanya kazi ngumu za uzalishaji badala yake wanawake ndio wanapambana.

Taifa liko mashakani ikiwa Nguvu kazi haipo na Kasi ya kuzaana inazidi kuongezeka.

View attachment 3142775

Pia soma Tanzania Yashika namba 6 kwenye Orodha ya Nchi 10 Ambazo Zitachangia Idadi Kubwa ya Watu Duniani Mwaka 2037.
Chawa wengi kuliko wafanya kazi
 
Sasa watu waliovimbiwa cake ya taifa watawezaje kuweka mijadala chanya kwa ajili ya mustakabali wa walalahoi? Hawaujui uchungu wa umaskini kwa sababu wao sio masikini hata kidogo. Wana mahela ya kula wao na vizazi vyao hadi vijukuu
Wazungu akiwa tajiri kile kinachozidi anatoa misaada na kujengea uwezo wengine.

Kwa mwafrika ni tofauti kabisa. Hatuzuii mtu kuwa tajiri lkn utajiri wa mtu mweusi ni shida
 
Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bajeti ya Bunge la Tanzania Olan Njezya amesema Haki ya Utegemezi Nchini Tanzania inatosha ambapo watu 87 kati ya 100 ni wategemezi.

Kwamba watu wenye uwezo wa kufanya kazi na Kuzalisha ni 13 tuu ndio wanawalisha watu 87.
===============
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti imesema watu 87 kati ya 100 ni tegemezi nchini, hivyo kushauri itengwe bajeti ya kufanya utafiti wa mapato na matumizi ya kaya, ili kupata takwimu ya hali ya umaskini.

Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Oran Njeza, aliyasema hayo bungeni juzi alipokuwa akisoma maoni ya kamati kuhusu mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2025/26 pamoja na mapendekeo ya mwongozo wa maandalizi ya Mpango na Bajeti ya Serikali kwa Mwaka 2025/26.

Alisema kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022, idadi ya watu ilikuwa 61,741,120 mwaka 2022 na inakadiriwa kuwa ifikapo mwaka 2035 idadi ya watu nchini itakuwa 87,509,630 kutokana na ongezeko la asilimia 3.2 kila mwaka.

“Ongezeko hili la idadi ya watu nchini haliendani na ukuaji wa uchumi. Kamati inaishauri serikali kuhakikisha kwamba, ongezeko la watu linaendana na ukuaji wa uchumi kwa sababu hivi sasa, kati ya watu 100 watu 87 ni tegemezi,”alisema.

My Take
Vijana wa kiume ndio wamegeuka wategemezi hawataki kufanya kazi ngumu za uzalishaji badala yake wanawake ndio wanapambana.

Taifa liko mashakani ikiwa Nguvu kazi haipo na Kasi ya kuzaana inazidi kuongezeka.

View attachment 3142775

Pia soma Tanzania Yashika namba 6 kwenye Orodha ya Nchi 10 Ambazo Zitachangia Idadi Kubwa ya Watu Duniani Mwaka 2037.
Ndio maana watu wameamua kuwa Chawa
 
Wazungu akiwa tajiri kile kinachozidi anatoa misaada na kujengea uwezo wengine.

Kwa mwafrika ni tofauti kabisa. Hatuzuii mtu kuwa tajiri lkn utajiri wa mtu mweusi ni shida
Utajiri wa mtu mweusi ni kuoneshana umwamba 😂 "unanijua mimi nani?"
Mtu ni billionaire ila ukoo wake umejaa maskini wa kutupwa. Anaona fahari tu kila anapopigwa mizinga ya elf 50/50. Sio akupe mtaji uondokane na umaskini ila anataka mrudi kumuomba omba assist awavimbie vimbie yeye ndio starehe yake.


Wenzetu ngozi nyeupe anzia kwa wahindi na waarabu ni kuinuana tu. Familia moja ni billionaires basi anatafutwa member mmoja kwa kila familia zilizopo chini ili ainue familia zao. Thats how they grow, wanakula pamoja wanafurahia maisha pamoja.
 
Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bajeti ya Bunge la Tanzania Olan Njezya amesema Haki ya Utegemezi Nchini Tanzania inatosha ambapo watu 87 kati ya 100 ni wategemezi.

Kwamba watu wenye uwezo wa kufanya kazi na Kuzalisha ni 13 tuu ndio wanawalisha watu 87.
===============
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti imesema watu 87 kati ya 100 ni tegemezi nchini, hivyo kushauri itengwe bajeti ya kufanya utafiti wa mapato na matumizi ya kaya, ili kupata takwimu ya hali ya umaskini.

Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Oran Njeza, aliyasema hayo bungeni juzi alipokuwa akisoma maoni ya kamati kuhusu mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2025/26 pamoja na mapendekeo ya mwongozo wa maandalizi ya Mpango na Bajeti ya Serikali kwa Mwaka 2025/26.

Alisema kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022, idadi ya watu ilikuwa 61,741,120 mwaka 2022 na inakadiriwa kuwa ifikapo mwaka 2035 idadi ya watu nchini itakuwa 87,509,630 kutokana na ongezeko la asilimia 3.2 kila mwaka.

“Ongezeko hili la idadi ya watu nchini haliendani na ukuaji wa uchumi. Kamati inaishauri serikali kuhakikisha kwamba, ongezeko la watu linaendana na ukuaji wa uchumi kwa sababu hivi sasa, kati ya watu 100 watu 87 ni tegemezi,”alisema.

My Take
Vijana wa kiume ndio wamegeuka wategemezi hawataki kufanya kazi ngumu za uzalishaji badala yake wanawake ndio wanapambana.

Taifa liko mashakani ikiwa Nguvu kazi haipo na Kasi ya kuzaana inazidi kuongezeka.

View attachment 3142775

Pia soma Tanzania Yashika namba 6 kwenye Orodha ya Nchi 10 Ambazo Zitachangia Idadi Kubwa ya Watu Duniani Mwaka 2037.
BADO HATUJA SEMA.
 
Utajiri wa mtu mweusi ni kuoneshana umwamba 😂 "unanijua mimi nani?"
Mtu ni billionaire ila ukoo wake umejaa maskini wa kutupwa. Anaona fahari tu kila anapopigwa mizinga ya elf 50/50. Sio akupe mtaji uondokane na umaskini ila anataka mrudi kumuomba omba assist awavimbie vimbie yeye ndio starehe yake.


Wenzetu ngozi nyeupe anzia kwa wahindi na waarabu ni kuinuana tu. Familia moja ni billionaires basi anatafutwa member mmoja kwa kila familia zilizopo chini ili ainue familia zao. Thats how they grow, wanakula pamoja wanafurahia maisha pamoja.
Hii ni comment Bora na ya muda WOTE (all the time)
 
Uchumi kupaa havihusiani na familia Yako kuwa wategemezi.
Huo Uchumi ambao hau translate kitaa ni Uchumi wa kwenye vitabu..., na ndio maana walamba asali wanazidi kuwalisha matango pori..., huitaji kuambiwa kwamba una njaa au umeshiba wewe mwenyewe utaelewa tu..., Na kinachoendelea I had rather Uchumi huo wa Kimaigizo uwe negative lakini kuwe na sustainability na majority wapate their basic needs...
 
Huo Uchumi ambao hau translate kitaa ni Uchumi wa kwenye vitabu..., na ndio maana walamba asali wanazidi kuwalisha matango pori..., huitaji kuambiwa kwamba una njaa au umeshiba wewe mwenyewe utaelewa tu..., Na kinachoendelea I had rather Uchumi huo wa Kimaigizo uwe negative lakini kuwe na sustainability na majority wapate their basic needs...
Sio kazi ya Uchumi kuwaletea Watoto wako pesa au Ajira wakati wameamua kuwa wavivi.
 
Sio kazi ya Uchumi kuwaletea Watoto wako pesa au Ajira wakati wameamua kuwa wavivi.
Kwahio hii habari inahusu watoto wangu na sio majority ya watanzania (sio watoto tu yaani generation yote) ?

Na nishakwambia kama watu wavivu ingetokea interview ya watu kumi wangetokea watu elfu 10 ?; Sio juzi tu hapa polisi wametoa tangazo la ajira hadi system ikazidiwa na ikabidi waongeze muda ?

Tena kuna upuuzi unaofanyika leo wa kutokutumia hii nguvu kazi ambao utali-cost taifa miaka ijayo..., yaani upuuzi huo wangefanya waasisi wa hii nchi sasa hivi ndio tungekuwa tunavuna kuwa na wazee ombaomba....


Ila ndio hivyo watu wapo busy kuendekeza Uchawa na kufanya propaganda kwa mgongo wa Kodi za masikini...
 
Kwahio hii habari inahusu watoto wangu na sio majority ya watanzania (sio watoto tu yaani generation yote) ?

Na nishakwambia kama watu wavivu ingetokea interview ya watu kumi wangetokea watu elfu 10 ?; Sio juzi tu hapa polisi wametoa tangazo la ajira hadi system ikazidiwa na ikabidi waongeze muda ?

Tena kuna upuuzi unaofanyika leo wa kutokutumia hii nguvu kazi ambao utali-cost taifa miaka ijayo..., yaani upuuzi huo wangefanya waasisi wa hii nchi sasa hivi ndio tungekuwa tunavuna kuwa na wazee ombaomba....


Ila ndio hivyo watu wapo busy kuendekeza Uchawa na kufanya propaganda kwa mgongo wa Kodi za masikini...
Ndio ni wavivu, kazi za kujiajiri ziko lundo ndio wakajiajiri sio kusubiria kuajiriwa.

Mimi siwezi fuga mtoto amemaliza shule nyumbani namtimua.
 
Ndio ni wavivu, kazi za kujiajiri ziko lundo ndio wakajiajiri sio kusubiria kuajiriwa.

Mimi siwezi fuga mtoto amemaliza shule nyumbani namtimua.
Such a Myopic thinking sidhani hata kama unaweza kuona zaidi ya urefu wa pua yako....

Na wale wakulima waliolima Vanila wakakosa masoko ? Na ajira hizo waende kufanya nini kuwa wachuuzi wa bidhaa za mchina ?

Na kwa watu kukosa disposable income hata hao watu wa kuwauzia wanatoka wapi au ndio mwendo wa kwenda kwenye Vicoba kukopa kufanya biashara na kukata mtaji na mwisho wa siku kuingia kwenye debt cycle ?

Hivi unajua pamoja na kazi ya Serikali ni kuhakikisha inakuja na Sera za kuwawezesha wananchi kupata ujira ? Au unadhani kazi yao ni kuzunguka na kuongeaongea bila kuleta vitu concrete ?

Na wauguzi ambao hospitalini hawatoshi na wengine wapio mtaani tuwaambie waende kuuza nyanya wakati walisomeshwa na kodi za mlipa kodi ili waje wawasaidia kwa afya zao ?

Narudia tena calling you myopic takuwa nimekuonea yaani utakuwa blind kabisa...
 
Such a Myopic thinking sidhani hata kama unaweza kuona zaidi ya urefu wa pua yako....

Na wale wakulima waliolima Vanila wakakosa masoko ? Na ajira hizo waende kufanya nini kuwa wachuuzi wa bidhaa za mchina ?

Na kwa watu kukosa disposable income hata hao watu wa kuwauzia wanatoka wapi au ndio mwendo wa kwenda kwenye Vicoba kukopa kufanya biashara na kukata mtaji na mwisho wa siku kuingia kwenye debt cycle ?

Hivi unajua pamoja na kazi ya Serikali ni kuhakikisha inakuja na Sera za kuwawezesha wananchi kupata ujira ? Au unadhani kazi yao ni kuzunguka na kuongeaongea bila kuleta vitu concrete ?

Na wauguzi ambao hospitalini hawatoshi na wengine wapio mtaani tuwaambie waende kuuza nyanya wakati walisomeshwa na kodi za mlipa kodi ili waje wawasaidia kwa afya zao ?

Narudia tena calling you myopic takuwa nimekuonea yaani utakuwa blind kabisa...
Sera zipo tatizo ni uvivu wa matoto yenu mliyoyafuga badala ya kuyalea.

Wanaochangamkia fursa wanazipata na ushahidi ni huu hapa 👇👇

View: https://x.com/TheCitizenTz/status/1853148731945918500?t=li4k5sgCp7ORBxHs_cWPRQ&s=19
 
Sera zipo tatizo ni uvivu wa matoto yenu mliyoyafuga badala ya kuyalea.

Wanaochangamkia fursa wanazipata na ushahidi ni huu hapa 👇👇

View: https://x.com/TheCitizenTz/status/1853148731945918500?t=li4k5sgCp7ORBxHs_cWPRQ&s=19

Na hao ndio wale watu 13 katika watu 100...., Yaani inahitaji upofu wa hali ya juu kutokuona kwamba mambo hayapo sawa na upuuzi wa sasa utalicost taifa na viongozi wa kesho..., Yaani kutokuwa na Sera za kuwezesha nguvu kazi ya sasa kutokuwa na ujira wa uhakika hivyo watu kutokuwa pensionable itapelekea mzigo kwa taifa la kesho kuwa na wazee ombaomba....

 
Na hao ndio wale watu 13 katika watu 100...., Yaani inahitaji upofu wa hali ya juu kutokuona kwamba mambo hayapo sawa na upuuzi wa sasa utalicost taifa na viongozi wa kesho..., Yaani kutokuwa na Sera za kuwezesha nguvu kazi ya sasa kutokuwa na ujira wa uhakika hivyo watu kutokuwa pensionable itapelekea mzigo kwa taifa la kesho kuwa na wazee ombaomba....

Unawaza ujira badala ya kuwaza uzalishaji? Nyie mbumbumbu ndio mnasababisha Utegemezi
 
Back
Top Bottom