Lu-ma-ga
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 4,780
- 3,227
Nchi haitarudi nyuma sababu ya mfumo wa vyama vingi.Tangu 2015 wapinzani hawajafanyakazi zao za kibajeti, wamekuwa wakisusa kufanya maamuzi kama wabunge, bajeti zote za Magufuli zimekuwa xikipitishwa na wabunge wa ccm.
Sisi wananchi hatuoni value addition ya kambi ya upinzani bungeni.Mh Paskali Mayala umeleta hoja nzuri na ya mashiko, lakini kwa upinzani wa nchi hii sidhani kama watakubali, Lipumba tayari ametangaza hatashiriki yeye na chama chake chaguxi zoxote zijazo.Kuingia kwake bungeni utakuwa muendelezo wa misimamo yao ya kupinga hadi kieleweke.
Sisi wananchi hatuoni value addition ya kambi ya upinzani bungeni.Mh Paskali Mayala umeleta hoja nzuri na ya mashiko, lakini kwa upinzani wa nchi hii sidhani kama watakubali, Lipumba tayari ametangaza hatashiriki yeye na chama chake chaguxi zoxote zijazo.Kuingia kwake bungeni utakuwa muendelezo wa misimamo yao ya kupinga hadi kieleweke.