Bunge la Nigeria lajadili wizi mkubwa sana wa mafuta uliofanywa na China

Bunge la Nigeria lajadili wizi mkubwa sana wa mafuta uliofanywa na China

WWe
Mnajua hata ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo ulikuwa una-involve vitu gani hasa au mnajisemea tu mradi CNN,BBC walisha anza muda mrefu kuzulia Wachina kuhusu hasa ujio wa Wachina barani Afrika.

Kinacho wasumbua mabeberu hawa ni wivu na roho mbaya tu - wao waliwahi kuliachia bara la Afrika vitu gani vya kutusaidia kimaendeleo zaidi za wizi wa African vast natural resources na kwenda kujenga kwao, hapa mnajifanya kusahau Wachina vitu walivyo tujengea/achia in a record time, mfano: barabara,madaraja,viwanda,hydro electric dams(Ugand,Ethiopia na Ghana),mashule,vyuo vya ufundi, umeme,mawasiliano, mechanised Agriculture you name it, sasa hawa mabeberu walituachia vitu gani vya maana tangu waje barani Africa kwenye miaka ya 1885/86, nothing to speak about.

Kumbukeni mwaka juzi hapa si the late Dr.Magufuli aliwashika red handed Barrick wakitorosha ma containers ya madini wakijidai ni mchanga - mbona walikubali kulipa fidia - hilo hamlisemi? Badala yake masaa yote mnakalia kuwasema sema vibaya Wachina kwamba ni wezi, wachina ni wezi, wachina ni wezi!! Mnarudia rudia propaganda zile zile za vyombo vya habari vya magharibi - so called Chinese DEBT TRAP, debt trap - wakati nchi za magharibi zinadai Afrika mara kumi ya mikopo na riba lukuki kuliko madeni ambayo Wachina wanaidai Afrika, hilo mabeberu na baadhi yenu huwa hamuyasemi, mnashikilia MANTRA ya Wachina wezi, Wachina WEZI!!.
Wewe huna hoja ni ushabiki maandazi tu unakusumbua na hata useme nini ni kazi bure tu, sisi tunajua wachina ni wezi tu.

Lini mchina akampenda mtu mweusi anayeamini kwamba ni sawa na nyani tu.
 
WWe

Wewe huna hoja ni ushabiki maandazi tu unakusumbua na hata useme nini ni kazi bure tu, sisi tunajua wachina ni wezi tu.

Lini mchina akampenda mtu mweusi anayeamini kwamba ni sawa na nyani tu.
Na ni lini mzungu akampenda mtu mweusi aliyemuuza sokoni kama chupi ya mtumba?
 
Hii China ambayo huonwa kama kimbilio la Afrika, kila mnapoisuta Marekani lazima mtaje China kama mbadala.

Nigerian lawmakers have begun a probe into the sale of stolen 48 million barrels of crude oil to China.

“It is quite alarming that illegal deals with China cost Nigeria $2.4 billion revenue loss from the sale of stolen 48 million barrels,” Nigeria’s Speaker of the House of Representatives Femi Gbajabiamila said in Abuja on Tuesday, at the opening of the ad hoc committee set up to probe the deals.

He said Nigeria loses $700 million monthly to oil theft, a menace that impacts negatively on the country’s national budget.

“Available data suggests that we may lose up to $23 billion to crude oil theft this year and between January and July last year, Nigeria lost $10 billion to the oil theft,” Gbajabiamila added.

He noted that the oil and gas sector remained the main contributors of Nigeria’s economy as it accounted for its 95 percent of foreign exchange earnings and 80 percent of annual budgeted revenue.

The East African
hawachelew kuita propaganda , hawa vichaa wanapenda nchi za watu kuliko kwao bongolala
 
Nasemajeeeeeeeee......"WAIBE MALI ZOOOOTE ZA AFRICA ILA WASITULETEE USHOGA THAMANI YA MALINDA KWETU NI ZAIDI YA MAFUTA NA MADINI" sijui nimesikika au nirudie
kuna mtu anakushikisha ukuta kwa nguvu ? akil zenu fup kila kitu kuiga ndo mnaishia kuwa gays
 
Wasianze kumlaumu China; walaumiane wao kwa wao kwanza. Sisi wazalendo hatupendi chokochoko za Mmarekani dhidi ya huyu ^mfadhili wa kweli.^
duh ndio maana afrika haipig hatua , akil fup sana , unahis kuna nch inakupenda ?
 
Hii China ambayo huonwa kama kimbilio la Afrika, kila mnapoisuta Marekani lazima mtaje China kama mbadala.

Nigerian lawmakers have begun a probe into the sale of stolen 48 million barrels of crude oil to China.

“It is quite alarming that illegal deals with China cost Nigeria $2.4 billion revenue loss from the sale of stolen 48 million barrels,” Nigeria’s Speaker of the House of Representatives Femi Gbajabiamila said in Abuja on Tuesday, at the opening of the ad hoc committee set up to probe the deals.

He said Nigeria loses $700 million monthly to oil theft, a menace that impacts negatively on the country’s national budget.

“Available data suggests that we may lose up to $23 billion to crude oil theft this year and between January and July last year, Nigeria lost $10 billion to the oil theft,” Gbajabiamila added.

He noted that the oil and gas sector remained the main contributors of Nigeria’s economy as it accounted for its 95 percent of foreign exchange earnings and 80 percent of annual budgeted revenue.

The East African
Mchina hana ujanja wa kuingia Nigeria na kuiba mafuta bila msaada wa waNigeria.

Wanze kuangaliana wenyewe waNigeria hapo, nani kawasaidia Wachina kuiba mafuta.
 
Sioni kosa la China hapa MK254 . Shida iko na hao wezi wa Kinijeria ambao watakuwa ndiyo main facilitator na mastermind wa wizi uliotokea.

Hapo Kenya kwani mnamlaumu kwa kuwapiga kwenye SGR? Huo si ni wizi tu uliokuwa coordinated na nyang'au waandamizi wenyewe? Why Blaiming China? Hata mimi nikipata chance kama Wachina nawapiga[emoji1787][emoji1787]
kama huez wasapoti wanaijeria wanadili na hao wez , bas ww huna tofaut na lgbt wengine , huez muunga mkono mchina kisa wapo wanaija wameshiriki pia , badala yake ungewasapot wale wanalipambania bara letu dhid ya hawa wageni wezi
 
Similarly to Tanzania, wizi wa dhahabu uliokuwa ukifanywa na Barrick/ Accacia. Je, tuzilaumu serikali za Canada na Uingereza au tuwalaumu watalaamu na wanasiasa wetu kwa kukosa uzalendo katika mikataba na usimamizi?
tofautisha serikali ya nchi fulani na raia wa nchi fulani
 
China inawezaje kutorosha mafuta Naijeria bila wanijeria wenyewe kuhusika?

China ni kama Oxygen hauwezi kuikwepa. Hata hapo unabofya simu janja yenye patent kibao za Mchina. Kaa kwa kutulia. China hakwepeki
kwahiyo kama wanaijeria wachache wamehusika basi tukalie kimya waendelee kuiba ? Ndio maana tunaitea sokweh
 
Acha hoja za kitoto kwani wachina wameyachukua kichawi usiku wa manane?
akil zako fupi sana , kwahiyi waachwe tu ? kwann hao wez wasiwe waturuki au warusib? hapo bunge linawapinga hao wachina wachache wanaohusika pamoja na wanaijeria wanaohusika , ila kwavile wameshikwa wachina bas wanaanza nao hao ila kwa akili yako hata ukilanja wa shule haukufai
 
Hii habari unaileta kishabiki sana raisi mteule wa Nigeria aliulizwa utakomesha vipi uwizi wa mafuta akiingia madarakani alichojibu kinaakisi vile wa Nigeria walivyoo kwamba kwanza wa Nigeria waache kuwa coordinator wa uwizi wenyewe asilimia kubwa ya wanigiria in wezi na uwizi wenyewe una link hadi na wanasiasa wenyewe unategemea nini apoo
hiyi haiondoi ukwel kuwa wachina wanachukua mafuta ya wiz , hilo lzm likomeshwe , waafrika wachache kama wewe wenye mahab na ngozi nyeupe mpk unasahau bara lenu hamfai kuwepo dunian
 
kuna mtu anakushikisha ukuta kwa nguvu ? akil zenu fup kila kitu kuiga ndo mnaishia kuwa gays
Mwenye akili ndefu unauliza Swali Alafu unajijibu mwenyewe huoni kama wenye tabia kama hizo ni wale wa milembe.
Tuliza mihemko Chief kiushabiki hujalazimishwa kuamini nilichokisema hadi uniattack kwa matusi.
 
Nasemajeeeeeeeee......"WAIBE MALI ZOOOOTE ZA AFRICA ILA WASITULETEE USHOGA THAMANI YA MALINDA KWETU NI ZAIDI YA MAFUTA NA MADINI" sijui nimesikika au nirudie
Wewe nani amewahi kukuletea ushoga ?
 
Nasemajeeeeeeeee......"WAIBE MALI ZOOOOTE ZA AFRICA ILA WASITULETEE USHOGA THAMANI YA MALINDA KWETU NI ZAIDI YA MAFUTA NA MADINI" sijui nimesikika au nirudie
Waafrika ni wanafiki sana!!huu ujinga unaofanywa na ndugu wa damu kwenye familia zetu(kulawiti)watoto halafu wana familia wanakaa na kuyamaliza ni wazungu ndio wameleta?!!huko magerezani mnapowachanganya watoto wadogo na watu wazima kupelekea watoto wadogo kulawitiwa ni wazungu ndio wameleta?Hizo kelele mnazopiga si mngeziweka kwa MAFISADI yanayopiga pesa bila hurumu na kukuathiri ,kiuchumi,na kijamii moja kwa moja?!!Sawa hawajakuletea kwani mashoga hawapo?!?ACHENI UNAFIKI BNANA.
 
Mchina hana ujanja wa kuingia Nigeria na kuiba mafuta bila msaada wa waNigeria.

Wanze kuangaliana wenyewe waNigeria hapo, nani kawasaidia Wachina kuiba mafuta.

Na ndio kitu wanachokifanya, uchunguzi, kuanzia kwa wauzaji hadi mnunuzi.....
 
Wewe nani amewahi kukuletea ushoga ?
Sikutaraji member wa JF kuuliza Swali dhaifu kama hili.
Hivi unahisi kelele zinazopigwa kwenye jamii kuhusu maperfume, lotion zinazosambazwa , seminar zinazoendeshwa na hao wazungu na yaliyojiri huko kigoma bado tu hujashtuka.
Unapitwa Chief hali si salama kama unavyodhani Jamaa wanataka tusiongezeke na hii ni mikakati ya muda mrefu kutimiza malengo yao ya NWO
 
Na ndio kitu wanachokifanya, uchunguzi, kuanzia kwa wauzaji hadi mnunuzi.....
Usishangae kusikia uchunguzi umeundiwa uchunguzi, kwa sababu katika uchunguzi kuna hela zimeibiwa.
 
Back
Top Bottom