Bunge la Nigeria lajadili wizi mkubwa sana wa mafuta uliofanywa na China

Bunge la Nigeria lajadili wizi mkubwa sana wa mafuta uliofanywa na China

Mnajua hata ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo ulikuwa una-involve vitu gani hasa au mnajisemea tu mradi CNN,BBC walisha anza muda mrefu kuzulia Wachina kuhusu hasa ujio wa Wachina barani Afrika.

Kinacho wasumbua mabeberu hawa ni wivu na roho mbaya tu - wao waliwahi kuliachia bara la Afrika vitu gani vya kutusaidia kimaendeleo zaidi za wizi wa African vast natural resources na kwenda kujenga kwao, hapa mnajifanya kusahau Wachina vitu walivyo tujengea/achia in a record time, mfano: barabara,madaraja,viwanda,hydro electric dams(Ugand,Ethiopia na Ghana),mashule,vyuo vya ufundi, umeme,mawasiliano, mechanised Agriculture you name it, sasa hawa mabeberu walituachia vitu gani vya maana tangu waje barani Africa kwenye miaka ya 1885/86, nothing to speak about.

Kumbukeni mwaka juzi hapa si the late Dr.Magufuli aliwashika red handed Barrick wakitorosha ma containers ya madini wakijidai ni mchanga - mbona walikubali kulipa fidia - hilo hamlisemi? Badala yake masaa yote mnakalia kuwasema sema vibaya Wachina kwamba ni wezi, wachina ni wezi, wachina ni wezi!! Mnarudia rudia propaganda zile zile za vyombo vya habari vya magharibi - so called Chinese DEBT TRAP, debt trap - wakati nchi za magharibi zinadai Afrika mara kumi ya mikopo na riba lukuki kuliko madeni ambayo Wachina wanaidai Afrika, hilo mabeberu na baadhi yenu huwa hamuyasemi, mnashikilia MANTRA ya Wachina wezi, Wachina WEZI!!.
Mkuu tulishapigwa sana na wazungu, ktk kukomaa tusipigwe haimaanishi tugeukie mchina atupige, hakuna mtu mbaya kama mchina kwa sasa, let's make efforts to stand alone! Hili ni suluhisho la kututoa
 
Waafrika ni wanafiki sana!!huu ujinga unaofanywa na ndugu wa damu kwenye familia zetu(kulawiti)watoto halafu wana familia wanakaa na kuyamaliza ni wazungu ndio wameleta?!!huko magerezani mnapowachanganya watoto wadogo na watu wazima kupelekea watoto wadogo kulawitiwa ni wazungu ndio wameleta?Hizo kelele mnazopiga si mngeziweka kwa MAFISADI yanayopiga pesa bila hurumu na kukuathiri ,kiuchumi,na kijamii moja kwa moja?!!Sawa hawajakuletea kwani mashoga hawapo?!?ACHENI UNAFIKI BNANA.
WAAFRIKA TUACHE NA UNAFIKI WETU KAMA TULIVYOKUACHA WEWE NA UZUNGU WENU WA KUSAPOTI USHOGA.
Umesema mengi yenye kuegemeza kuwa ndio source ya ushoga jambo ambalo sikatai moja kwa moja ila niseme tu hoja hizo ziko kwa % ndogo mno maana leo ukitafuta walioanzia ushoga magerezani ni adimu na binafsi sijawahi muona ila walioanzia mitaani kea vishawishi vya kijinga ndio waliopo wengi.
Na kukemea ushoga mnaoupigania wazungu haina maana ya kwamba sisi WAAFRIKA tunakubaliana na hao walawiti watoto wa huko kwenu maana huku ninakoishi hamna huo ujinga ila machoko wapo ambao source ni tamaa tu na si vingine to.

Umegusa MAFISADI na hapa ndipo naanza kukutilia mashaka maana wazungumzaji wa mfano wa maneno yako ni kama yale ya watetea ndoa za jinsia moja BBC ambao nimeona chapisho juzi likizungumzia hoja hizo hizo.
Naomba tu utumie akili ya kabisa ambayo ni ile inakusaidia kupeleka tonge mdomoni.

Iko hivi wazungu mnaotaka tusikemee propaganda zenu za kuoana boy kwa boy na kutuambia tuache hilo bali tujadili ufisadi kwa nini MAFISADI hayo hayo yanapokujieni kuwaomba mikopo mnatoa hali ya kuwa mwafahamu mnaowapatia hiyo mihela ni MAFISADI au wakikataa ajenda zenu ni MAFISADI na wakinyamazia uozo wenu ni wasafi.
Hebu tuache kutuona vichaa halo ya kuwa tuko smart na akili zetu ziko sawa ndio maana twapinga UCHOKO.

TAFSIRI YA MAENDELEO NI MTAMBUKA CHIEF NIKUAMBIE TU KITU KIMOJA LABDA YAWEZA ITAKUSAIDIA KUUKUBALI USHOGA HAITAKUFANYA UENDELEE MAANA HATA MASHOGA TUNAOWAONA NA VILE MNAVYOWAPA NYINYI WAZUNGU BADO SISI TWAONA WANAISHI KAWAIDA TU HAMNA WONDERS KAMA MNAYOJARIBU KUTUAMINISHA KWAYO ILI PAONEKANWE USHOGA NI SOURCE YA MAENDELEO KUAMINI HIVYO NI UPOYOYO ULIOCHANGAMKA BILA SHAKA.
 
Nahisi anataka kubadilisha herufi Moja kwenye jina lako, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni tabia za wale wale wenye kubadilishwa badilishwa badala ya kutumia mbele wakawa wanatoa nyuma.
Athubutu kufanya hivyo ayapate majibu yake wamarekani bhaaana
 
Na ni lini mzungu akampenda mtu mweusi aliyemuuza sokoni kama chupi ya mtumba?
Awe mhindi, awe mchina na hata awe mwarabu hadithi ni hiyo hiyo na tena hao ndio wabaya zaidi. Mind that and take care 💅😘
 
Sikutaraji member wa JF kuuliza Swali dhaifu kama hili.
Hivi unahisi kelele zinazopigwa kwenye jamii kuhusu maperfume, lotion zinazosambazwa , seminar zinazoendeshwa na hao wazungu na yaliyojiri huko kigoma bado tu hujashtuka.
Unapitwa Chief hali si salama kama unavyodhani Jamaa wanataka tusiongezeke na hii ni mikakati ya muda mrefu kutimiza malengo yao ya NWO
Acha ujinga wewe, perfume ipi umetumia ikasababisha ugawe puru ?
Mnalishwa mitqzamo ya kijinga jinga na nyinyi mnaipokea kama ilivyo.
 
Kuna watu wanawapenda Sana wachina ila wakafanye vibarua huko wawaone vizuri
 
Acha ujinga wewe, perfume ipi umetumia ikasababisha ugawe puru ?
Mnalishwa mitqzamo ya kijinga jinga na nyinyi mnaipokea kama ilivyo.
Sina haja ya kujaribu kutumia niko timamu Chief na iwe na isiwe hainipunguzii chochote wewe mwenye kutaka kufanya research kafanye KWA kuvitumia uone kinyegereshi kitavyohamia kwenye Anus yako.
 
Sikutaraji member wa JF kuuliza Swali dhaifu kama hili.
Hivi unahisi kelele zinazopigwa kwenye jamii kuhusu maperfume, lotion zinazosambazwa , seminar zinazoendeshwa na hao wazungu na yaliyojiri huko kigoma bado tu hujashtuka.
Unapitwa Chief hali si salama kama unavyodhani Jamaa wanataka tusiongezeke na hii ni mikakati ya muda mrefu kutimiza malengo yao ya NWO
tatizo hufungui , sisi ndo tunawalawiti hao mashoga , sasa kwann tulaumu wazungu ? kama hatutoondoa hv visababishi vya ndan basi ushoga utaendelea milele kwa unafik wetu
 
tatizo hufungui , sisi ndo tunawalawiti hao mashoga , sasa kwann tulaumu wazungu ? kama hatutoondoa hv visababishi vya ndan basi ushoga utaendelea milele kwa unafik wetu
Huwezi KUTENGENEZA jamii yenye ustandard wa aina moja na hamna utokomezaji wa aina hiyo kwenye jamii zetu tumekuta na tunaendelea nayo mapambano ya wezi, wachawi,wauza mihadarati hadi pakawekewa na sheria kabisa ila haijawahi kutokea tabia moja wapo ktk hizo kutokomea KWA sababu twajua wapo wenye hulka zao kwenye hayo mambo pia twapinga UCHOKO kupitia kwa wazungu hatuna maana kwamba tutaweza kuufuta total hapana tunachokataa ni kutaka tuhalalishe paonekanwe ni tabia tu kama tabia nyingine au tuone ni ustaraabu mzuri hilo ndilo twalipinga
 
Huwezi KUTENGENEZA jamii yenye ustandard wa aina moja na hamna utokomezaji wa aina hiyo kwenye jamii zetu tumekuta na tunaendelea nayo mapambano ya wezi, wachawi,wauza mihadarati hadi pakawekewa na sheria kabisa ila haijawahi kutokea tabia moja wapo ktk hizo kutokomea KWA sababu twajua wapo wenye hulka zao kwenye hayo mambo pia twapinga UCHOKO kupitia kwa wazungu hatuna maana kwamba tutaweza kuufuta total hapana tunachokataa ni kutaka tuhalalishe paonekanwe ni tabia tu kama tabia nyingine au tuone ni ustaraabu mzuri hilo ndilo twalipinga
mapambano hayo yawe balanced , sijawai kuona kelele dhidi ya wanaowalawit hao vijana au kuwafanya wake zao ila akili zenu zote zipo kwa mzungu na mnatunga kila aina ya uongo
 
WaNigeria wanaongoza kwa ufisadi dhidi ya nchi yao. Wale haishangazi hao wachina kuchuma hayo mafuta. Sani Abacha alificha mamilioni ya Dollar huko Ulaya kwa wizi wa mafuta.
 
Back
Top Bottom